sun wu
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 2,020
- 1,418
Mkuu yaani wewe kutoa mchango mpaka uambiwe / uombwe..?Amechemka kdgo ndg yang Mkandamizaji!Angewaomba wote wanaoguswa na ugonjwa wa huyu bwana,Wachangie hata via M PESA,tgo pesa,nmb e.t.c not only wabunges.Naamini hata humu humu kuna watu 2ngetuma chochote
Duh sasa kama hakakuomba kunakukataza nini kuchangia..?, wewe toa tu mkuu