Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,759
- 5,289
Najua umeangalia comedy hapa tbc.Masanja kawataka wabunge/waheshimiwa kutoa hela za kumsaidia msanii sajuki.Kila mmoja milion 2 au 1.Na kawataja majina yao.Duh
Nani hao?Najua umeangalia comedy hapa tbc.Masanja kawataka wabunge/waheshimiwa kutoa hela za kumsaidia msanii sajuki.Kila mmoja milion 2 au 1.Na kawataja majina yao.Duh
Ja ja ja jamboooooooo masanja kafanya safi sana!
Hapana mkuu sio wote tumeangalia...Najua umeangalia comedy hapa tbc.Masanja kawataka wabunge/waheshimiwa kutoa hela za kumsaidia msanii sajuki.Kila mmoja milion 2 au 1.Na kawataja majina yao.Duh
Hasa wale waliotumia comedy kuvuta watu kwenye kampeni.Najua umeangalia comedy hapa tbc.Masanja kawataka wabunge/waheshimiwa kutoa hela za kumsaidia msanii sajuki.Kila mmoja milion 2 au 1.Na kawataja majina yao.Duh
Hapana mkuu sio wote tumeangalia...
Yaani kawataja majina wabunge wote wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania..?, si angetumia kama robo saa nzima?