Best home tutor
Senior Member
- May 8, 2026
- 194
- 264
Tuna Wabunge 393 wakikatwa laki 2 tu! kwa mwezi kwenye mishahara yao kwa miaka 5 ni sawa na Bilioni 4.716 hii ni fedha inajenga Zahanati 15 + au Vituo vya Afya 4 Vifaa Tiba Pamoja na Madawa.
Wastani Mshahara wa Mbunge ni Milioni 14 akitoa laki 2 anabakiwa na milioni 13.8
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lina wabunge 393
Kwa mwezi kama Kila Mbunge akitoa laki 2
200,000 × 393 = 78,600,000
Kwa Mwaka 1
78,600,000 ×12= 943,200,000
Kwa miaka 5
943,200,000×5 = 4,716,000,000
Kwa Miaka 5 ni sawa na Bilioni 4.7
Hiyo ni asilimia 1.43 tu ya mshahara kwa Kila Mbunge.
Hizo Bilioni 4.7 Zinajenga Nini
1. Zahanati kamili ya kijiji gharama takriban
Tsh 300,000,000
4.716B÷300M = Zahanati 15 kamili
2. Kituo cha Afya kamili gharama takriban
Tsh1,000,000,000
4.716B ÷ 1B = Vituo vya Afya 4 kamili na
Salio linabaki Milioni 716,000,000 la kununua dawa na Vifaa Tiba.
Mkuu hesabu imetulia, Unaona je!
kama tungeliingiza na madiwani 2,318 wakatoa laki 1 tu, tungejenga zahanati ngapi zaidi?
Hitimishi......N.B
Maoni ninayo andika hapa ni uchambuzi wangu binafsi kama mwananchi anayejali maendeleo ya taifa.
Hayana uhusiano wowote na taasisi, chama, au mamlaka yoyote ya serikali.
Lengo ni kuchochea majadiliano ya kitaaluma kuhusu sera za umma kwa maslahi ya taifa, kwa mujibu wa Ibara ya 18 ya Katiba ya JMT - Haki ya Kutoa Maoni Sio wito wa vurugu, wala si uanaharakati.
Sauti yangu isinyamaze kwa hofu, Lakini silaha yangu iwe kalamu ya mtaalamu, sio mawe ya mtaani.
Ahsanteni sana 🙏🙏🙏🙏
Wastani Mshahara wa Mbunge ni Milioni 14 akitoa laki 2 anabakiwa na milioni 13.8
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lina wabunge 393
Kwa mwezi kama Kila Mbunge akitoa laki 2
200,000 × 393 = 78,600,000
Kwa Mwaka 1
78,600,000 ×12= 943,200,000
Kwa miaka 5
943,200,000×5 = 4,716,000,000
Kwa Miaka 5 ni sawa na Bilioni 4.7
Hiyo ni asilimia 1.43 tu ya mshahara kwa Kila Mbunge.
Hizo Bilioni 4.7 Zinajenga Nini
1. Zahanati kamili ya kijiji gharama takriban
Tsh 300,000,000
4.716B÷300M = Zahanati 15 kamili
2. Kituo cha Afya kamili gharama takriban
Tsh1,000,000,000
4.716B ÷ 1B = Vituo vya Afya 4 kamili na
Salio linabaki Milioni 716,000,000 la kununua dawa na Vifaa Tiba.
Mkuu hesabu imetulia, Unaona je!
kama tungeliingiza na madiwani 2,318 wakatoa laki 1 tu, tungejenga zahanati ngapi zaidi?
Hitimishi......N.B
Maoni ninayo andika hapa ni uchambuzi wangu binafsi kama mwananchi anayejali maendeleo ya taifa.
Hayana uhusiano wowote na taasisi, chama, au mamlaka yoyote ya serikali.
Lengo ni kuchochea majadiliano ya kitaaluma kuhusu sera za umma kwa maslahi ya taifa, kwa mujibu wa Ibara ya 18 ya Katiba ya JMT - Haki ya Kutoa Maoni Sio wito wa vurugu, wala si uanaharakati.
Sauti yangu isinyamaze kwa hofu, Lakini silaha yangu iwe kalamu ya mtaalamu, sio mawe ya mtaani.
Ahsanteni sana 🙏🙏🙏🙏