Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Pamoja na Message nzuri MAMLUKI MBWAKUU huyu MASANJA.
watanzania inabd tusaidiane wakati wa shida na sio kitchen party na harusi big up masanja
Ktk waheshimiwa waliotajwa na masanja jee na mm kanitaja?maana mie sijaangalia tbc bcoz nilikua busy najiandaa na safari yangu ya kesho to london na mkuu wa kaya.Najua umeangalia comedy hapa tbc.Masanja kawataka wabunge/waheshimiwa kutoa hela za kumsaidia msanii sajuki.Kila mmoja milion 2 au 1.Na kawataja majina yao.Duh
kiukweli masanja leo kasema ukweli haswaa,hivi kwaheshimiwa wakiamua kuchanga hiyo pesa mbona sajuki atapona haraka!
Amechemka kdgo ndg yang Mkandamizaji!Angewaomba wote wanaoguswa na ugonjwa wa huyu bwana,Wachangie hata via M PESA,tgo pesa,nmb e.t.c not only wabunges.Naamini hata humu humu kuna watu 2ngetuma chochote
Sio robo saa tu, ametumia kipindi kizima cha leo. Ameanzia Halima Mdee mpaka waziri mkuu na makamu wa RaisHapana mkuu sio wote tumeangalia...
Yaani kawataja majina wabunge wote wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania..?, si angetumia kama robo saa nzima?
Kama nimekukera leave me alon
Ktk waheshimiwa waliotajwa na masanja jee na mm kanitaja?maana mie sijaangalia tbc bcoz nilikua busy najiandaa na safari yangu ya kesho to london na mkuu wa kaya.
Nani hao?
kwani wamepata mkataba mpya na tbc.?
Amechemka kdgo ndg yang Mkandamizaji!Angewaomba wote wanaoguswa na ugonjwa wa huyu bwana,Wachangie hata via M PESA,tgo pesa,nmb e.t.c not only wabunges.Naamini hata humu humu kuna watu 2ngetuma chochote