Hii ya Juma Pinto Inatisha


mkuu Pasco kuna siku nilikuwa na mwanahabari wa wizara fulani alikuwa anakuongelea sana sijui kama ni chuki binafsi lakini aliongea kwa msisitizo maneno machafu sana juu yako as if ameshawahi kukushuhudia
 
Last edited by a moderator:
Kwahiyo Watajwa Hapo Juu Ndiyo The Most WANTED au? Ila Unafaa Kuwa Mbana Pua Kwa Kutengeneza Mistari!

Dah! Kweli fasihi ni ngumu.Ina maana hujamwelewa kabisa Chizifureshi? Kama ndio hivyo basi nafikiri Pasco ndio humwelewi kabisa.
 

Waungwana msomeni vizuri Pasco.
 
Waungwana msomeni vizuri Pasco.

Ni jukwaa huru kila mmoja ana kiwango chake cha ufahamu, bt between the lines kila mmoja ana hoja iwe nzuri au mbovu...! Hatuwezi kuwa na mchango mmoja kwenye chochote
Cha muhimu tuangalie constructive posts zenye solutions na uhslisia rather than kupayuka na kutukana
 
wakuu kwa kifupi .. Pasco anachosema ukipata fursa tumia usichezeeeeee
 
Last edited by a moderator:
Nadhani unahitaji uwe na jicho la tatu kumwelewa Pasco, ukiangalia comment yake ni kama anamtetea Juma Pinto lakini si hivyo, kwa comment hii ndo naanza kumwelewa Pasco!

Hata mi nishamsoma na hapo alikuwa hamtetei Juma Pinto ila alikuwa anaeleza jinsi Juma alivyoitumia fursa ya kujipenyeza kwa Mkulu na akaanza kupewa mashavu saiz ni tajiri hayo mambo ya unga hana uhakika nayo.Lada kwa hao wanaosema kuwa kuna watu walofungwa Hong Kong wamemtaja sana wanaweza kutupa ushahidi wa hilo.
 
Umenipa hasira ujue

Acha niendelee kukaza buti


 
Mkuu heshima yako. Kuna namna yoyote unaweza kudhihirisha usahihi wa hili? Imenivutia.

Ni kweli kabisa na Barbara zote ukitoka Kuala Lumpur kwenda Singapore mpaka mji wa Ipoh na kutoka Kuala Lumpur mpaka Surabaya ni miji mingine hilo ndio zao kuu la kibiashara na linafanya vema sana! Ukisoma historia yake inathibitisha kuwa mbegu zake zilitoka Afrika Mashariki nchi ya Tanzania kama sikosei miaka ya 60
 
Mkuu Nkya, sijawahi kuhudhuria "private party" ya kigogo yoyote, na sio bongo tuu, popote!. Sherry Party sio "private party!".

Pasco.

Mkuu Pasco, heshima yako. Ila zote ni party. Nilipitia post zako kadhaa huko nyuma na inaonekana attendance zako kwenye either sherry party na private party za vigogo umehudhuria karibia zote..
 
pole sana ila one day yes!!!
MUNGU huyu huyu km si kwake ht kwenye damu yake

Acha ndugu ndugu yangu, mtoto kabaki kama yatima baba kafa mama kafungwa miaka zaidi ya kumi, kisa ni binadamu kutaka pesa za haraka. na hilo namlaumu pia huyo mwanamke tamaa imemponza, karubuniwa na hilo li pinto mpaka limemuharibia maisha.
 
Mkuu Pasco, heshima yako. Ila zote ni party. Nilipitia post zako kadhaa huko nyuma na inaonekana attendance zako kwenye either sherry party na private party za vigogo umehudhuria karibia zote..
No utakuwa umenichanganya mimi na yule muzeiye wa ku party!, mimi ni mwandishi hivyo kuhudhuria party ni sehemu tuu ya kazi na sii sehemu ya kujirusha!, hata hivyo mwakilishi wetu wa jf kwenye parties zote kubwa kubwa za kujirusha pia yupo!.

Pasco
 

Mkuu, imenibd nigugogugo. History ya palm Malaysia inaanzia 1917. Mbegu zilitolewa na walowezi west africa ambako pia ndi chimbuko la hiyo palm. Unless kuna taarifa tofauti.
 
mkuu Pasco kuna siku nilikuwa na mwanahabari wa wizara fulani alikuwa anakuongelea sana sijui kama ni chuki binafsi lakini aliongea kwa msisitizo maneno machafu sana juu yako as if ameshawahi kukushuhudia
Mkuu illegal migra, inawezekana!.

Mimi ni binadamu na sio malaika, hivyo kama binadamu nina mazuri yangu na madhaifu yangu na mabaya yangu!, ila pia niko very open, very frank, kama umesikia chochote kuhusu mimi, usihofu, unaweza tuu kwenda public, kwenye ukweli nitakuambia huo ni ukweli, kama ni uongo, nitakuambia ni uongo, ila siamini kitu kinachoitwa chuki binafsi, kitu hiki kwangu don't just exist!, mtu hawezi kukuchukia tuu bila sababu kwa kisingizio cha chuki binafsi, there must be a reason, and whatever is the reasons kwangu ni justified!. Huyo amewahi kunishuhudia nikifanya nini?!.

Pasco.
 
Mkuu, imenibd nigugogugo. History ya palm Malaysia inaanzia 1917. Mbegu zilitolewa na walowezi west africa ambako pia ndi chimbuko la hiyo palm. Unless kuna taarifa tofauti.
Fundisi Muhapa, you are very right, nimechanganya kati ya palm oil na coconut palm, coconut palm ndio ilitoka Zanzibar, ililetwa na Sultani Said Said kutoka Oman, mfalme wa Oman ndio hao hao wa Zanzibar na Brunei, ndio walioleta Nazi kule na kuzisambaza!.

Pasco.
 

Shukrani Pasco japo sijui tofauti ya palm ya kawaida n coconut palm. Ama hii ya pili ndo nazi/mnazi?

Hata hivyo, Malaysia ndo wanaongoza duniani kwa palm oil ilhali huko ilopotokea kiasili Afrika magharibi sio kihiivyo. Labda Nigeria.
 

Mkuu Pasco heshima kwako! Naona leo unamwaga madini tu hapa ingawa kuna vijana hapa hawakuelewi! Safi sana kamanda ila huwa unaharibu kutetea ZZk & co.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…