hip hop uchwara
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 6,054
- 3,867
.
Tunalo shetani la kike kutoka ng'amboRais najua japo wengi wanamchukia ila kuna wachache wanapenda,ila Kauli kama hizi zitamfanya kila mtu amuone kama ni katili na mwenye Roho mbaya sana na wananchi kuzidi kumchuikia.
View attachment 3309871
Heche ni kizazi ambacho kinaweza kuiokoa hii nchi, Taifa linataka watu strong jamii ya Heche sio hawa vijana machawa machawa wanaowaza maisha mepesi mepesi.
Washukuru Rais ni mpole hao kima.Sasa mtu anaetopoka unamfungulia kesho ya uhaini ?....FEAR IS STRONGER THAN LOVE
Anadhani kupiga kelele ni sifaHeche anako elekea atapotezwa.
Atapewa anachokitafuta.Kwa maneno yake mwenyewe mh.Lissu amesema analeta UHAINI kwa kukichafua nchi nzima....
Heche aache ujinga wa kitoto....
#Taifa kwanza vyovyote iwavyo!
Bado mnastory za vijiweni?
La Pili lipi!?Rais najua japo wengi wanamchukia ila kuna wachache wanapenda,ila Kauli kama hizi zitamfanya kila mtu amuone kama ni katili na mwenye Roho mbaya sana na wananchi kuzidi kumchuikia.
View attachment 3309871
Hivi unapoandika namna hii kichwani mwako huwa kumeingiwa na sumu gani, au siku zote uko hivi hivi?Urusi aiweziku kubali kibaraka kama Heche na Lisu wakatawala majukwaa kueneza uongo na porojo amshukuru Rais ni mpole
Waendelee kujidanganya hivyo hivyo
Pumbavu nyie ukombozi wa nchi huu ulishafanyika na kamwe kikundi cha upinde akiwezi vunja ukombozi uliofanywa na TanuHivi unapoandika namna hii kichwani mwako huwa kumeingiwa na sumu gani, au siku zote uko hivi hivi?
Sasa anza kusafisha hiyo sumu iliyo kujaa kichwani, kwani ukombozi wa nchi hii unakuja.
Upumbavu huu. Kwa hiyo wapambe na machawa ndo marais?Rais hana ubaya huo tatizo wapambe na machawa.
Wewe ni takataka tu ambayo ipo tayari kutupiliwa mbali pamoja na uchafu mwingine. Wakati wenu umewadia sasa.Pumbavu nyie ukombozi wa nchi huu ulishafanyika na kamwe kikundi cha upinde akiwezi vunja ukombozi uliofanywa na Tanu
Endeleeni kujidanganya huku mmejificha kwenye keyboard na mikwara ya kishamba
Hao waliopo front mnaowaamin mbona wengi mchele tu
Jiandae kupigwa muhogo dogoWewe ni takataka tu ambayo ipo tayari kutupiliwa mbali pamoja na uchafu mwingine. Wakati wenu umewadia sasa.
Taarifa umekwisha ipata, hangaika nayo mwenyewe. Muda wenu upo ukingoni.Jiandae kupigwa muhogo dogo
Mikwara hii alikua nayo sana akina mawazo na wapumbavu wenzake
kwa hiyo yeye amekatwa kichwa?Rais hana ubaya huo tatizo wapambe na machawa.
100%Unaposikia Taifa strong la USA, China, Russia nk unazungumzia watu shupavu na sio watu laini laini wanaowaza familia zao na wao kuishi vizuri kuliko future ya Taifa
muda wenyewe ndio huu. Sote kwa pamoja kwa Imani zetu tusimame imara kuulaani udhalimu, tukae upande wa hakiUpo muda Mungu atawainua watanzania na dhuruma zitakoma
Popoma weweKwa maneno yake mwenyewe mh.Lissu amesema analeta UHAINI kwa kukichafua nchi nzima....
Heche aache ujinga wa kitoto....
#Taifa kwanza vyovyote iwavyo!
Endelea kuharisha......unabii UTAKUFIKIAHuyo kelele tu
Huyo mdogo wangu anamudu dk 2 hana kauli.
Hao wapumbavu mnadhani kuropokaropoka ndio kuwa strong?