Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,737
- 18,931
AsilaniHausadiki...!!?????
AsilaniHausadiki...!!?????
Unanipa wasi na story zakoSTI ni kelele tupu.
Nazifahamu, nimeshaendesha.
Labda uzishindanishe na kina Noah.
Hakuna kitu mule.
Asilani
Nishaendesha BMWX6 pia.[emoji3][emoji3][emoji3] Ungejaribu na ambazo zinaenda zaidi ya hapo.
By the way kama picha umeipiga mwenyewe na gari iko kwenye huo mwendo uko vizuri...
Na naona dash board yako taa nyingi zinawaka pia ni risk sana
Tungi's huwa wako vizuri kutoka Mwanza kwenda Dar. Ila kutoka Dar to Mwanza huwa wanachelewa. Sijui kwa nini?Tungis kwa sasa kanda ya ziwa hana mpinzani,, hizo kisbo zimebaki jina kwa njia ya mwz-dsm,, anayemfatia Tungi labda Allys, Tungi wanachonifuraisha wako on time,, hawapotez hata mda kabisa,,
Kama huamini jaribu uone,,
Mi nlikuwa mbishi ila kuna siku nikasema ngoja nisafiri nayo nione inakuaje,,
Dodoma stand88 tuliingia saa kumi na dk kama ishirini,, 🍻
Mbona moro saa mbili kasoro ndani ya msamvu,,🍻
Nilikula kumbikumbi waliokaangwa kilo moja na supu ya vyura.Usiku huu umepata mlo kweli?
niliwahi kuliukiza hili siku moja.Tungi's huwa wako vizuri kutoka Mwanza kwenda Dar. Ila kutoka Dar to Mwanza huwa wanachelewa. Sijui kwa nini?
Ligi tamu sana. Unakuta mtu upo na ki-rav 4 chako cha 2006 unashindana na v8. Anakuacha kidogo then baada ya dk 2 huyu hapa.. then wakati nyie mnang'ang'ana kuna mpuuzi na kajibenz kake anaikata v8 kama imesimama.Na mashine yako iwe ya ukweli, na unaofanya nao ligi wawe na mashine nzuri.
Kuna muda uko speed 180km/h, lakini unashangaa kuna mjinga anakuovertake, sio mchezo!!! kwanini mnapenda ligi? [emoji3]
Nazikubali sana Mercedes benz. E classLigi tamu sana. Unakuta mtu upo na ki-rav 4 chako cha 2006 unashindana na v8. Anakuacha kidogo then baada ya dk 2 huyu hapa.. then wakati nyie mnang'ang'ana kuna mpuuzi na kajibenz kake anaikata v8 kama imesimama.
Kuna sisi ambao pia hatupendi ligi but ukiwa high way.. ukipiga hesabu unajikuta kuna km 800 inabidi uzikate.. ukiona jamaa wanalianzisha na wewe unajikuta tu umejoin.Nazikubali sana Mercedes benz. E class
Sipendi ligi hata nikinunua sitakimbia sana
Hii ist inaweza league kwelLigi za barabarani ndio ilikuwa michezo yangu but toka nimeoa na kuwa na familia nimepunguza manake naogopa kupasua nyanya/kupata ajali.....
Hereinbelow is one of my race nikiwa na Crown Athlete....
I was a dumb mthefcker racer...
Mkuu speed 100 utafika leo..labda useme at least 220 Hadi 140.Huo ushamba wenu ndio unawaua kila siku! Bongo hakuna barabara ya kuendesha gari zaidi ya Speed 100/hr watu wanalazimisha tuu kukimbiza magari.
Elewa nilichokoment....nilishatumia kwenye spidi hiyo gari...na BMW X6...ambayo yote ni yanguHii ist inaweza league kwel
Wtffff🙆🏽♀️🙆🏽♀️Ligi za barabarani ndio ilikuwa michezo yangu but toka nimeoa na kuwa na familia nimepunguza manake naogopa kupasua nyanya/kupata ajali.....
Hereinbelow is one of my race nikiwa na Crown Athlete....
I was a dumb mthefcker racer...
Hiyo Speed 220 kwa Barabara zipi??Mkuu speed 100 utafika leo..labda useme at least 220 Hadi 140.
120mkuuHiyo Speed 220 kwa Barabara zipi??