Hii Tabia ya Kupenda ligi barabarani

Hii Tabia ya Kupenda ligi barabarani

Sauli afu weka na majinja ile volvo ya sumbawanga hakuna anayefuata hizo gari boss...huyo dereva wa sauli ingekosa vizibiti mwendo siku ingekutwa kitonga bondeni miguu juu
licha ya changamoto za barabarani, kwa upande wa ligi za mabasi ya abiria nasikia kwa sasa anayesumbua route ya dar - mwanza ni tungis express na anayesumbua route ya dar - mbeya ni sauli express. imefika kipindi mpaka watu wanabet kuhusu haya mabasi.

View attachment 1222485View attachment 1222488
 
Tungi anakuwa mchovu akianzia dsm,, lakini mkijichanganya anawaacha pia Tungis



Ila akianzia mwanza kwenda dsm ni shidaaaaaaaa,, hiyo ni ndege ya ardhini mkuu, wenyewe wanaita ni cha pombe [emoji482]
waambie hao.
na huu ni msimamo wa leo wa basi za mwanza dar. tizama huyo kibo(sijui ndio kisbo?) alivyoachwa.

tungis kaingia msamvu saa mbili na dakika saba usiku. yupo namba moja.
Screenshot_2019-10-03-23-51-04-219_com.instagram.android.jpeg
 
Usiku sio salama kwa ligi.

Si rahisi kuona zaidi ya 200M, ukiwa speed zaidi ya 100kph, ni ngumu kukwepa hatari ya ghafla.

Usishindane na watu wa magazeti, hao wanapita hiyo njia kila siku tena usiku. Wanaifahamu vizuri sana.

Na usiku kuna ajali nyingi sana za uzembe na kukosa umakini.

Kuwa makini, usishindane na usiemjua.
Kama mtu hajui njia au mgeni usishindane tulia.

Kuna dereva wa wakala wa misitu kuna siku nimebeba gunia 2 za mkaa kaanza kufukuza gari na ni mgeni. Mimi hiyo njia naijua kila kona katika mbio zake akaishia kuingia shambani na Land Cruiser LX.
 
Ile benz inakimbia lakini hiyo scania Konyo nimepanda zote na kitaka kwenda mbeya napanda sauli au jinja hapo hata jaja na linyama na Deer zao wamesanda
Asaaaa ukutee ile sauli Benz ni hatari sana
 
M5 zinakuaga V8 naona Russia zimetakapaa za kutosha jamaa wanazipiga sana 360 degrees kibongo bongo ni ngumu sana kuziona M3 au M5 CIF zake zinakuaga hatari kushinda hizo 320i-330i

Hizo M-series ndio kitu cha kujitambia huko kwny bimmer lkn hizo 3/5 series kawaida tu.

CIF yake+Tra=Mtaji wa kutosha.

Sema bongo kuona vitu kama Supra/nissan nsx/mazda rx 7/nissan silvia/M3/M5/AMG’s ni kama kuona nyeti za kuku mkuu,Kenya wanajitahidi tahidi.
 
waambie hao.
na huu na msimamo(updates) wa leo wa basi za mwanza dar. tizama huyo kisbo alivyoachwa. tungis kaingia msamvu saa nne na dakika saba usiku. yupo namba moja.
View attachment 1223052
Tungis kwa sasa kanda ya ziwa hana mpinzani,, hizo kisbo zimebaki jina kwa njia ya mwz-dsm,, anayemfatia Tungi labda Allys, Tungi wanachonifuraisha wako on time,, hawapotez hata mda kabisa,,

Kama huamini jaribu uone,,

Mi nlikuwa mbishi ila kuna siku nikasema ngoja nisafiri nayo nione inakuaje,,

Dodoma stand88 tuliingia saa kumi na dk kama ishirini,, 🍻

Mbona moro saa mbili kasoro ndani ya msamvu,,🍻
 
Tutake radhi
Gari ya miaka 20 huwezi ingiza Tz kwa sasa
Nyingi miaka 16
Gari zenyewe mnazotumia ni Used more than 20 yrs old, mjapani kajambiaa weeee...nawe huku udereva umejifunzia ukubwani baada ya kuanza kazi na kumaliza Chuo basi unajiona derevaaa..ukifa kwenye ajali ndugu zako wanasema umerogwa kumbe ushamba ndio umekuua
 
Mwananchi bado wana Pickup zao
Ajabu niliyooiona kwenye noah ya magazeti ndio kama,niko na beast mmoja ninayemuamini,niko 140,kinoah kilinikata kama upepo dk tu sikukiona tena,jamaa niliekua nae akaniambia ya magazeti ile,ilikua njia ya bagamoyo-msata,wale madereva wa gari za magazeti si binadamu wa kawaida,noah si gari ya kukimbiza namna ile!!
 
Ligi za barabarani ndio ilikuwa michezo yangu but toka nimeoa na kuwa na familia nimepunguza manake naogopa kupasua nyanya/kupata ajali.....
Hereinbelow is one of my race nikiwa na Crown Athlete....
I was a dumb mthefcker racer...
With the check engine light on? Hahaha you were dump mthoer fckuer
 
Hata mfumo wa ligi uko hivi hivi mkuu.
Sijakataa ligi, ila nimesema ligi za usiku ni hatari sana hasa kama huipiti hiyo njia mara kwa mara.

Ni rahisi kupata ajali kizembe sana.
 
Back
Top Bottom