Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 16,775
- 28,222
itakuwa inatoka kwake nadhaniRandrover inatoka taifa gani mkuu?
itakuwa inatoka kwake nadhaniRandrover inatoka taifa gani mkuu?
Ni kweli mkuu nilowahi fuatana na IST moja kuanzia Ruvu chini hadi Mabibo External akihama huku na mimi nimo ilivyofika Mabibo External wakati yeye yupo kwenye foleni nikapiga honi mara mbili jamaa nae akajibu nikasema yees..jamaa tulishafahamianaSiyo ligi, mimi binafsi huwa napenda kumark gari moja na kutembea nyuma yake na huwa sipendi aniache sana, mkitembea kwa pamoja muda mrefu mnakuwa kama ndugu kiasi kwamba akikuacha muda hasikuone hujikuta akijiuliza yule jamaa kapata shida gani, na husishangae anakusubiri na ukipata shida husishangae mnakesha wote barabarani, so huu ni urafiki wa magari unaojijenga automatically. Magari yanafahamiana bwana!
Tungi anakuwa mchovu akianzia dsm,, lakini mkijichanganya anawaacha pia TungisNo Tungis hapana ila kuna Ally's
Kwa bus za kichina huyo mnyama dragon ni hatari sanaaa,,maana yuko chinichinilicha ya changamoto za barabarani, kwa upande wa ligi za mabasi ya abiria nasikia kwa sasa anayesumbua route ya dar - mwanza ni tungis express na anayesumbua route ya dar - mbeya ni sauli express. imefika kipindi mpaka watu wanabet kuhusu haya mabasi.
View attachment 1222485View attachment 1222488
Ni kweli mkuu nilowahi fuatana na IST moja kuanzia Ruvu chini hadi Mabibo External akihama huku na mimi nimo ilivyofika Mabibo External wakati yeye yupo kwenye foleni nikapiga honi mara mbili jamaa nae akajibu nikasema yees..jamaa tulishafahamiana
Nilikuwa naendesha Ford Escape Mkuu, ilijitahidi sana kunipa heshima.
View attachment 1222295
Ajabu niliyooiona kwenye noah ya magazeti ndio kama,niko na beast mmoja ninayemuamini,niko 140,kinoah kilinikata kama upepo dk tu sikukiona tena,jamaa niliekua nae akaniambia ya magazeti ile,ilikua njia ya bagamoyo-msata,wale madereva wa gari za magazeti si binadamu wa kawaida,noah si gari ya kukimbiza namna ile!!Na mashine yako iwe ya ukweli, na unaofanya nao ligi wawe na mashine nzuri.
Kuna muda uko speed 180km/h, lakini unashangaa kuna mjinga anakuovertake, sio mchezo!!! kwanini mnapenda ligi? [emoji3]
wewe ulikuwa na gari gani??Ajabu niliyooiona kwenye noah ya magazeti ndio kama,niko na beast mmoja ninayemuamini,niko 140,kinoah kilinikata kama upepo dk tu sikukiona tena,jamaa niliekua nae akaniambia ya magazeti ile,ilikua njia ya bagamoyo-msata,wale madereva wa gari za magazeti si binadamu wa kawaida,noah si gari ya kukimbiza namna ile!!
Subaru legacy gt twin turbowewe ulikuwa na gari gani??
Kwaio ulitaka awe na M3 au M5 mkuu?
STI ni kelele tupu.
Nazifahamu, nimeshaendesha.
Labda uzishindanishe na kina Noah.
Hakuna kitu mule.
Mkubwa mzima unajisifia kufanya mambo ya kijinga. Shame!
M5 zinakuaga V8 naona Russia zimetakapaa za kutosha jamaa wanazipiga sana 360 degrees kibongo bongo ni ngumu sana kuziona M3 au M5 CIF zake zinakuaga hatari kushinda hizo 320i-330iNaam mkuu sasa wewe ndio tunaweza kuongea lugha moja.
Ambulance hakuna kitu zaidi ya kelele ya ving'ora.Au Ambyulensi.