Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 51,721
- 208,993
😂😂😂 hiyo hela bora ukanyweee bia aisee, sio simu ilechangu mwezi dec. kiliangukia screen ,hata mood ya kukitengezeza haipo
😂😂😂 hiyo hela bora ukanyweee bia aisee, sio simu ilechangu mwezi dec. kiliangukia screen ,hata mood ya kukitengezeza haipo
Niuzie mkuu hako kasimuNiliibiwaga W5 yangu, mzee akaniboost na hicho kidudue jamani niliteseka [emoji23] kisimu hakijai hata mkononi, kilijaa fasta kikaanza kustack nikaachana nacho nikanunua kitochi..mpaka sahivi kipo kabatini sina hata pa kukipeleka, nilimpaga mdogo wangu akakikataa
Smart phone 3 bora Dunia
1)iPhone
2) sumsung
3)Sony experia
NA hapo Sony na sumsung wanashinda
wangombania namba mbili
Smart phone za hovyo 3 Dunia
1)Tecno
2)Huawei
3)iflix
Mimi sijawai kutumia simu ya smart ya kichina toka simu za kawaida kipindi hiko nilikuwa natumia Nokia sumsung blackberry hizo ndio simu zangu na Sasa natumia Sony kwa matumizi ya kawaida kwa sababu inabebeka na iPad tablet ni ya nyumbani
😂😂😂 location yako?Niuzie mkuu hako kasimu
Nipo dar Pugu[emoji23][emoji23][emoji23] location yako?
Naiomba mimi mkuu Depal nikutunzie huku nikiwa naitumia.Niliibiwaga W5 yangu, mzee akaniboost na hicho kidudue jamani niliteseka [emoji23] kisimu hakijai hata mkononi, kilijaa fasta kikaanza kustack nikaachana nacho nikanunua kitochi..mpaka sahivi kipo kabatini sina hata pa kukipeleka, nilimpaga mdogo wangu akakikataa
Pamoja sana Mkuu...hebu tunaotumia tecno gonga like tujuane...me sihami tecno hata muisimange na matarumbeta,vijora,ngoma,mipasho.....nkViva Tecno...
Nilianzia tecno nilionunuliwa na baba, baba hiyo siku aliniuliza nikuletee simu aina gani nikamwambia naomba dk 2 nakujibu. Nikamuuliza rafiki angu brand ya kuchukua kati ya Tecno na Huawei, akasema chukua Tecno.
Samsung sikuiweka sababu nilikuwa naona ya mama jinsi ilivyo na camera mbaya mbaya tu
Mpaka sahivi natumia tecno ninazo nunua mwenyewe, sijawahi kuwaza kuhama sijui Tecno wameniroga 😩😩
Me niko mkoani sasaNipo dar Pugu
Pamoja sana Mkuu...hebu tunaotumia tecno gonga like tujuane...me sihami tecno hata muisimange na matarumbeta,vijora,ngoma,mipasho.....nk
Dual screen inafanyaje kazi?Mkuu watu hawaelewi hapa JF
Samsung ana simu yenye screen moja tu pamoja na i phone
Wakati kuna makampuni yana simu zenye screen mbili miaka kibao sana
Kuna Vivo dual screen kitambo sana
Niliibiwaga W5 yangu, mzee akaniboost na hicho kidudue jamani niliteseka [emoji23] kisimu hakijai hata mkononi, kilijaa fasta kikaanza kustack nikaachana nacho nikanunua kitochi..mpaka sahivi kipo kabatini sina hata pa kukipeleka, nilimpaga mdogo wangu akakikataa
Smart phone 3 bora Dunia
1)iPhone
2) sumsung
3)Sony experia
NA hapo Sony na sumsung wanashinda
wangombania namba mbili
Smart phone za hovyo 3 Dunia
1)Tecno
2)Huawei
3)iflix
Mimi sijawai kutumia simu ya smart ya kichina toka simu za kawaida kipindi hiko nilikuwa natumia Nokia sumsung blackberry hizo ndio simu zangu na Sasa natumia Sony kwa matumizi ya kawaida kwa sababu inabebeka na iPad tablet ni ya nyumbani
Doh..nmekosa tena, ukija dar njoo nakoMe niko mkoani sasa
Tecno nisimu ya watu wenye kipato cha chini..... #Kila mtu anafahamu.
Simu ni iPhone tu
Tecno ubora wake n kwenye Battery capacity na Camera kwakwel najivunia Xm yngu camera yke n kam 2 ya samsung galaxy s8 na hapo bado inaizid kwa battery capacity.
Huawei? Ujinga hauna mipakaSmart phone 3 bora Dunia
1)iPhone
2) sumsung
3)Sony experia
NA hapo Sony na sumsung wanashinda
wangombania namba mbili
Smart phone za hovyo 3 Dunia
1)Tecno
2)Huawei
3)iflix
Mimi sijawai kutumia simu ya smart ya kichina toka simu za kawaida kipindi hiko nilikuwa natumia Nokia sumsung blackberry hizo ndio simu zangu na Sasa natumia Sony kwa matumizi ya kawaida kwa sababu inabebeka na iPad tablet ni ya nyumbani