Hii tabia ya kudharau simu za Tecno itakwisha lini?

Hii tabia ya kudharau simu za Tecno itakwisha lini?

Jichange pesa achana na takataka kama samsung na iphone kila mtu anayo

Nunua simu unique hata ukitoa watu wanatikisika na hawawezi kuipata kirahisi

Simu kama. Vivo nex dual screen

Huawei P40 pro
Nokia 8 siroco

Huawei nova 5T

One plus 8 pro

Vivo nex 1805,Hii ni ya mwaka 2017 ila ni kali kuliko hata samsung za mwaka 2020 kwa matumizi na teknolojia,ni super technology

Achana na mauchafu samsung au iphone kila mtu anayo kama sare za shule
Vivo inachezea bei gan mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana mkuu huna exposure ya nje ya nchi na wala hujui teknolojia

Huawei ana simu kali na nzuri kuliko hayo mauchafu yako ya iphone na samsung

Vivo ana simu kali sana kama za nex ,Teknolojia ambayo samsung na iphone bado,Hujatembea wewe na unategemea simu za kibongo bongo

One plus series ni simu kali kuliko hizo samsung na iphone

Hebu jaribu kutembea kidogo

Mimi binafsi siwezi beba simu ambayo kila mtu ana hiyo brand mfano samsung au iphone

Simu kama one plus 8 pro,Vivo nex dual screen,Huawei P 40 huwezi linganisha na takataka za samsung au iphone


Wewe unanunua simu Tanzania ,kuna simu hapa Tanzania haziletwi kutokana na umaskini wa watu ila mtandaoni unanunua

Simu ya Vivo nex 1805 ya mwaka 2017 imeizidi hata samsung galaxy s10+ ya mwaka jana 2019
Sijaiona hapo Sony Experia sijui unaizungumziaje wewe uliyatembea
 
Pole sana mkuu huna exposure ya nje ya nchi na wala hujui teknolojia

Huawei ana simu kali na nzuri kuliko hayo mauchafu yako ya iphone na samsung

Vivo ana simu kali sana kama za nex ,Teknolojia ambayo samsung na iphone bado,Hujatembea wewe na unategemea simu za kibongo bongo

One plus series ni simu kali kuliko hizo samsung na iphone

Hebu jaribu kutembea kidogo

Mimi binafsi siwezi beba simu ambayo kila mtu ana hiyo brand mfano samsung au iphone

Simu kama one plus 8 pro,Vivo nex dual screen,Huawei P 40 huwezi linganisha na takataka za samsung au iphone


Wewe unanunua simu Tanzania ,kuna simu hapa Tanzania haziletwi kutokana na umaskini wa watu ila mtandaoni unanunua

Simu ya Vivo nex 1805 ya mwaka 2017 imeizidi hata samsung galaxy s10+ ya mwaka jana 2019
Sijaiona hapo Sony Experia sijui unaizungumziaje wewe uliyatembea
 
Pole sana mkuu huna exposure ya nje ya nchi na wala hujui teknolojia

Huawei ana simu kali na nzuri kuliko hayo mauchafu yako ya iphone na samsung

Vivo ana simu kali sana kama za nex ,Teknolojia ambayo samsung na iphone bado,Hujatembea wewe na unategemea simu za kibongo bongo

One plus series ni simu kali kuliko hizo samsung na iphone

Hebu jaribu kutembea kidogo

Mimi binafsi siwezi beba simu ambayo kila mtu ana hiyo brand mfano samsung au iphone

Simu kama one plus 8 pro,Vivo nex dual screen,Huawei P 40 huwezi linganisha na takataka za samsung au iphone


Wewe unanunua simu Tanzania ,kuna simu hapa Tanzania haziletwi kutokana na umaskini wa watu ila mtandaoni unanunua

Simu ya Vivo nex 1805 ya mwaka 2017 imeizidi hata samsung galaxy s10+ ya mwaka jana 2019
Sijaiona hapo Sony Experia sijui unaizungumziaje wewe uliyatembea
 
Viva Tecno...

Nilianzia tecno nilionunuliwa na baba, baba hiyo siku aliniuliza nikuletee simu aina gani nikamwambia naomba dk 2 nakujibu. Nikamuuliza rafiki angu brand ya kuchukua kati ya Tecno na Huawei, akasema chukua Tecno.
Samsung sikuiweka sababu nilikuwa naona ya mama jinsi ilivyo na camera mbaya mbaya tu

Mpaka sahivi natumia tecno ninazo nunua mwenyewe, sijawahi kuwaza kuhama sijui Tecno wameniroga [emoji30][emoji30]
Inaonekana hauna danga wewe.. [emoji23] [emoji23]
 
Nipo na Tecno sparck 4 yangu hapa na napata vyote vilivyopo kwenye hizo kampuni zingine.
Watanzania tupige domo tu lakini mabeberu wanajua mchina kawashika pabaya sana! Hii ikifa au ikiporwa nahamia kwa Huawei, OPPO, Vivo au Tecno tena
 
Nipo na Tecno sparck 4 yangu hapa na napata vyote vilivyopo kwenye hizo kampuni zingine.

Watanzania tupige domo tu lakini mabeberu wanajua mchina kawashika pabaya sana! Hii ikifa au ikiporwa nahamia kwa Huawei, OPPO, Vivo au Tecno tena
Jiandae sasa hivi itakuja Spark 5.
 
naona mmeamua kukaza sasa hampendi dharau[emoji23][emoji23][emoji23].

ila jaman tuache masihara,hivi unatoka nyumbani kwako mpaka kkoo unatoa hela laki ya 1,2,3,4.unachukua tecno[emoji23][emoji23][emoji23],mwanaume na kengere zako mbili.

tv mchina,radio mchina,deki mchin,meza tv mchina.
kaza kidogo mwanaune basi kwenye simu,usikubali kuwa mnyonge kila sehemu.onyesha unajijali.

kununua tecno kwa matumizi rasmi,ni sawa na kutumia soksi kufuta viatu,unaonekana mwanaume fulani usiye makini.sijataja wanawake bado.
 
Sijaiona hapo Sony Experia sijui unaizungumziaje wewe uliyatembea
Sony kwenye segment ya simu kapitwa vibaya sana , siku hizi watu wanzungumzia tech ya 7nm processors ,

Sent
 
Back
Top Bottom