mkulungwa02
Senior Member
- May 24, 2020
- 193
- 155
Natumia I phone 6+Usiwe hapa unapinga Tecno, halafu kumbe unatumia infinix hot 6
Natumia I phone 6+Usiwe hapa unapinga Tecno, halafu kumbe unatumia infinix hot 6
Wewe ndie mshamba sijawahi kuona.Pole sana mkuu huna exposure ya nje ya nchi na wala hujui teknolojia
Huawei ana simu kali na nzuri kuliko hayo mauchafu yako ya iphone na samsung...
Pole sana mkuu huna exposure ya nje ya nchi na wala hujui teknolojia
Huawei ana simu kali na nzuri kuliko hayo mauchafu yako ya iphone na samsung...
Acha Uongo.Pole sana mkuu huna exposure ya nje ya nchi na wala hujui teknolojia
Huawei ana simu kali na nzuri kuliko hayo mauchafu yako ya iphone na samsung
Vivo ana simu kali sana kama za nex ,Teknolojia ambayo samsung na iphone bado,Hujatembea wewe na unategemea simu za kibongo bongo
One plus series ni simu kali kuliko hizo samsung na iphone
Hebu jaribu kutembea kidogo
Mimi binafsi siwezi beba simu ambayo kila mtu ana hiyo brand mfano samsung au iphone
Simu kama one plus 8 pro,Vivo nex dual screen,Huawei P 40 huwezi linganisha na takataka za samsung au iphone
Wewe unanunua simu Tanzania ,kuna simu hapa Tanzania haziletwi kutokana na umaskini wa watu ila mtandaoni unanunua
Simu ya Vivo nex 1805 ya mwaka 2017 imeizidi hata samsung galaxy s10+ ya mwaka jana 2019
Yani wewe ni limbukeni na mshamba sana, wewe ni calibre ya tecno aliechangamka.Jichange pesa achana na takataka kama samsung na iphone kila mtu anayo
Nunua simu unique hata ukitoa watu wanatikisika na hawawezi kuipata kirahisi
Simu kama. Vivo nex dual screen
Huawei P40 pro
Nokia 8 siroco
Huawei nova 5T
One plus 8 pro
Vivo nex 1805,Hii ni ya mwaka 2017 ila ni kali kuliko hata samsung za mwaka 2020 kwa matumizi na teknolojia,ni super technology
Achana na mauchafu samsung au iphone kila mtu anayo kama sare za shule
Hiyo list ya simu bora umeitoa wapi?Smart phone 3 bora Dunia
1)iPhone
2) sumsung
3)Sony experia...
Unasifia Sony eperia halafu unaidiss Huawei , kweli ?Smart phone 3 bora Dunia
1)iPhone
2) sumsung
3)Sony experia...
Kichaa sio lazima aokote makopoWewe ndie mshamba sijawahi kuona.
Wewe ndio unaambia watu watafte exposure wakati wewe huna? Vivo nex uilinganishe na s10+? Una akili timamu kweli? Hizo ranking umezitoa wapi?.
Simu hazilinganishwi umekaa kwenu mbagala maji matitu huko na vivo nex yako ukasema hii simu ni nzuri kuliko simu zote Duniani...
Mbona una hasira sana mkuu,Mawazo yako ya kufikiri yanaishia kwenye i phone na samsungYani wewe ni limbukeni na mshamba sana, wewe ni calibre ya tecno aliechangamka.
Uwezo wa kununua samsung au iphone huna sasa unabaki unaponda hapa. Samsung na Iphone ndio brand pekee zinazotawala Dunia kutoa product za kiwango kinachokubalika.
Hizo takataka zako unazozitaka haziwafikii hao. Kama kitu huna uwezo nacho usikiponde.
Ukichomeka chaja inalia kama ka PC 😝😝 ukichomoa pia inalia.Tecno nisimu ya watu wenye kipato cha chini..... #Kila mtu anafahamu.
Simu ni iPhone tu
Mkuu watu hawaelewi hapa JFUkweli ni kwamba pia watanzania wengi wanajua brands chache za simu hasa Samsung na iPhone tena nyingi tunanua copy... Kuna simu nzuri zaidi ya hizo tena bei za kawaida