Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,341
- 201,599
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ukiona Manyoya....
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ukiona Manyoya....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu umeua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Suala si tamaa tu, mwanamme ni mtu anayependa ku-sample vitu, kama demu ni mzuri na mtundu kitandani....huyo ataliliwa mpaka kiama na zawadi zitazidi kila kukicha, atabembelezwa weeeeeee mpaka ajihisi hakuna mwanamke mwingine mzuri dunia hii ila ni yeye tu. Mara nyingi wanaume tunakata tamaa na kupunguza kasi ya kufukuzia baada ya kugundua kuwa mwanamke uliyekuwa unamfukuzia ni mbovu (kunuka papuchi, kunuka mdomo, kunuka makwapa, kunuka mavi, papuchi imepanuka sana baada ya kuchezewa mno, kutojuwa kucheza kitandani, na kuwa omba omba....yaani kila goli unalia kutaka vitu/hongo) kwa hali hii, mwanamke hata awe mzuri kivipi LAZIMA mwanamme atakata kamba tu. Wanawake jitunzeni na kurudisha heshima zenu.
Ni kweli. Hao ni wanaume wenye tamaa. Ukishawapa tamuu basi mchezo umeisha hapo maana wameshapata walichokipata.Hii tabia ni kwa wale wanaume wanaokutamani,ambao wako wengi tu na unakuta kiuhalisia sio kwamba anakupenda bali anachohitaji ni kufanya na wewe tendo la ndoa na kisha anaendelea na maisha yake.Omba Mungu akupe macho ya rohoni ili uweze kumjua mwanaume anaekupenda kwa dhati.LAKINI,huoni pia hapo kinachokuponza ni kukubali kufanya mapenzi na mtu kabla ya ndoa..?
Wahenga si unawajua maneno yao Hajar, maana wanayaweka ki mafumbomafumbooo! Kwa mfano kuna viatu vya wazi vinaitwa sendoz wahenga wanaviita MAKUBAZI sasa hebu soma hilo neno kinyumenyume uone wahenga walivyo na makusudi😀😀😀[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Eti hazitumiki. Lol.
Santi saaana(in Anna Makinda's voice)Hongera
uchaguzi ukishafanyika hakuna tena kampeni.
Rafiki umefufuka?[emoji53][emoji53][emoji53]ha ha ha ha........nimeipenda hii........
Hahahaaaa. Kabisaaaaa.Wahenga si unawajua maneno yao Hajar, maana wanayaweka ki mafumbomafumbooo! Kwa mfano kuna viatu vya wazi vinaitwa sendoz wahenga wanaviita MAKUBAZI sasa hebu soma hilo neno kinyumenyume uone wahenga walivyo na makusudi😀😀😀
Tena uvae miwani kama ya jamaa wa kuchomelea vyuma maana wahenga maneno yao yanaweza kukuharibu macho😎😎😎Hahahaaaa. Kabisaaaaa.
Haya bana. Ila ngoja nikavae miwani kwanza Sesten ndipo nije kusomea hicho kinyume nyume. [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Rafiki umefufuka?[emoji53][emoji53][emoji53]
Mwanaume haswaaa hua mmoja hamtoshi, tumeumbwa hivyo.Hapo kuna upendo kweli au huwa ni katamaa kanawasumbua
Hhaha, mkuu iyo kauli ukienda nayo moja kwa moja huambulii kitu si unajua nyie wadada mnapenda kubembelezwa na kusifiwa. Kwaiyo watu ndo wanaitumia kama advantage.Sasa kwa nini umtese mtu usiyempenda si bora umwambie ukweli kuwa sista sikupendi ila nataka kibunye kuliko kumpamba na kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa??
hahahahahhahaNa nyie kwanini huwa mnawasumbua wanaume mwezi mzima? Kwanini huwa mnamnyanyasa sana mwanaume kabla ya gemu?
hahahhahahahahHivi ukishavua samaki kwa chambo una haja ya kuendelea kumpa chambo?
Sasa nikibadili kabla nitamkomoa vipi!?Kwa nini usibadili kabla ya kumpata,kwa nini iwe baada ya kumpata?