wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 26,470
- 29,204
Duu ndo maana kakuchoka mapema hivyo asee pole vipi saa hivi ushapata mwingine?
Duu ndo maana kakuchoka mapema hivyo asee pole vipi saa hivi ushapata mwingine?
Kwa hiyo ulipokuwa unawaeleza tu hisia zako unaenda kupewa mzigoMimi mambo ya kusumbuana ndio sipendi..sasa tunasumbuana miezi halaf siku unanipa mchezo nakuta game yenyewe hamna halaf mashine nayo kama ya nyanguni zile expectations zangu zinekuwa zero...nikae kusubiri nn
Wanawake wengi nliodumu nao ktk mahusiano hatukusumbuana pale nlipoelezea hisia zangu
Kumbe huwa hampendi,maana nilitegea baada ya kufanikiwa kumpata umpendae ndo utaongeza upendo kwa nini upungue baada ya kupata
Hapo kuna upendo kweli au huwa ni katamaa kanawasumbuaUshafunga goli na kushinda game unashangilia, kukimbia kimbia uwanjani ya nini... wanaume tunapenda challenge tu, mimi nitakufuata hata mwaka mzima, siku ukinikubalia tu hamu inaanza kupungua. Na nisipokuchapa ndani ya wiki 2 toka umenikubali basi nshakueka kapuni nina project mpya
NB: ngono zembe inaua
Hahaautaendelea kutumika mpaka akili itapokukaa sawa mpaka ujitambue nani wakujenga kambi karne hii
Kusema ukweli sijawahi kupenda labda huko baadae sijajua kwa kweliChangia mada,hii ni tabia mlio nayo wengi,unajifanya kupenda, ukishamvulia kazi imeisha anaanza na mambo mengine au anaanza kutafuta mwanamke mwingine
Kwa hiyo unatushauri tunapotongozwa tukubali muda huo huo bila kufikiriaTatzio lenu nyie ndio mnabugi yaan mnaamini kumsumbuwa mwanaume ndo kumfanya akupende ,kumbe kadri unavyomsumbua ndivyo anavyopunguza upendo ,na akija kukulala ndo anakuona wakawaida zaidi na kujutia muda wake alosumbuka kwako,
wakati huo nyie ndo upendo unaanza kuchanua baada ya mwanaume kukuvuwa