Hii tabia wanaume wengi wanayo

Hii tabia wanaume wengi wanayo

Kinachoniudhi ni kukuta mtu ni mfanyabiashara halafu anajidai kukuletea mapozi kisa ameona wewe ni mtu serious katika maisha...
Hahaha!... wanajaribu kupata uhakika wa pesa na wakiingia kufanya biashara jinsi watafaidika na wewe kama mdhamini/mwekezaji wao!
 
Hii sired n kama imenilenga
Maana kama namfukuzia dem mwez
Mmoja ndo aje akubali walaaaaah wabilah baada ya kupewa tunda hata mm naonesha maringo yang
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mmh. Rafikii
 
Hahahaaa, kasoro mimi tu Hajar, speed yangu ni ileile kwa nimpendae....wakati naanza kumfukuzia, wakati kashanipa "mzigo", na hata baada ya hapo ni speed 320😛😀😀,
Wacha Weeee.

Hahahaaa. Na kweli kasoro wewe tu japokuwa kwa mbaali waeza kuta na wewe ni mkumbo huo huo. [emoji12] [emoji12] [emoji12] maana nimesoma Post za watu humo. Duuh. Ni hatari.

Ila Wanaume Mungu anawaona kwa kweli.
 
Wacha Weeee.

Hahahaaa. Na kweli kasoro wewe tu japokuwa kwa mbaali waeza kuta na wewe ni mkumbo huo huo. [emoji12] [emoji12] [emoji12] maana nimesoma Post za watu humo. Duuh. Ni hatari.

Ila Wanaume Mungu anawaona kwa kweli.
Unajua kuna methali nyingine zimeshafutwa hazitumiki tena Hajar? kama ile ya "samaki mmoja akioza basi ni wote wameoza"😀😀😛
 
Mwanaume anaweza akawa anamfukuzia mwanamke kabla hajampata,ataonyesha anakupenda sana,atakuwa anaongea na hisia kali sana

Kabla hujamkubalia kila baada ya lisaa anakupigia sim,SMS kila wakati,zawadi hazihesabiki

Ila ukishampa mchezo tu hali hubadilika ,sim alizokuwa anapiga kila lisaa atakuwa anakupigia baada ya masaa 12,SMS zinakata,zawadi zinaisha

Na cha ajabu mwezi mzima alikuwa anakufukuzia bila kukata tamaa,spidi zile zile lakini baada ya mchezo mambo hubadilika
Je wanaume kwa nini unaonyesha kumpenda mwanamke kwa hisia kali kabla ya kukupa mchezo na akisha kupa tu kwa nini hisia zako zinapungua?

Ni kweli wanaume huwa wanatamaa tu au ni kuprend kupenda kumbe ni kuzuga mwanamke aingie 18 apate anachotaka na kupotea?

Na mwanamke hupenda zaidi pale anapokutana kimwili na mwanaume ambaye anaonekana kumpenda

Na baada ya hapo humuachia mzigo wa mawazo mwanamke baada ya kutoa mzigo

Wanaume tuambieni kwa nini huwa na tabia hii lakini sio wote ila asilimia kubwa kabla na baada ya kukutana kimwili huwa ni tofauti
Kwani nyinyi wanawake amzijui akili zenu jinsi mnavyo ishangiliaga ccm wakati wa kampeni Kwa vidoti Vya kanga na buku 7 baada ya kampeni mnatelekezwa kama mbwa koko na sisi wanaume tunatumia mbinu za ccm kwenye jambo hilo Kwa sababu akili zenu finyu ukiona mwanaume anakuonga sana wakati wa kukutongoza usidhani anakupenda au atasana uenda itakuwa sababu ya kukutema baada ya kukupata akikumbuka taabu aliyo pata wakati anakutongoza anajua umempendea hela
 
Mabinti mnapenda sana kusifiwa. Mtoto wa kike hata akiwa mbaya vipi, umampamba kwa maneno mazuri hadi anajihisi yupo juu. Akifika hapo juu sasa, anaanza kukuona hata wewe upo chini.

Kiufupi hayo maneno yanatumika kama kilainishi ili muingie kingi. Mana kama ulivyosema mnapenda mtu anaeonesha anakupenda, sasa tutakujaje kwa sura za uadui.
Sasa kwa nini umtese mtu usiyempenda si bora umwambie ukweli kuwa sista sikupendi ila nataka kibunye kuliko kumpamba na kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa??
 
Wanawake wasumbufu tu,kuna moja alinivutia,kakataa weee,nikanyamaza baada ya mda kajileta mwenyewe,ishu inakuja sasa kila baada ya tendo anadai anataka hela,mara kusuka,mara vile vitu kibao.

Naona live nachunwa,nikabadilika ghafla sina time na kumwambia nimekuchoka.

Nimemdanganya kwamba nina mtu,sasa hivi analeta kipapa kiwizi nakula halafu haombi hela kisha anaondoka fasta akidhani nina mtu.

Kupenda mwanamke sometimes inahitaji moyo
Huwa mnajishtukia tu,elf 15 ya kusuka nayo ni hela ya kukufanya kumuacha mwanamke,acheni ubahili!
 
Back
Top Bottom