Hii tabia wanaume wengi wanayo

Hii tabia wanaume wengi wanayo

Mwanaume akipenda upenda kweli hata kibanda anaweza jenga.. Ila nyie wanawake hapana sijawahi kuwaamini, ndyo maana wahenga wanasema tuishi na ninyi kwa akili.

Nawapenda sana wanawake ila suala la uaminifu sijawahi kuwa nalo.
Hata Mimi wanaume siwezi nikamwamini,wana makando kando mengi
 
Halaf baada ya miezi 3 nakuta yale nliyotegemea hamna [emoji23][emoji23][emoji23]


Mm napenda nmweleze mtu ukweli kuhusu hisia zangu anielewe sio tuzungushane hayo mambo siwezi
Wewe unapenda ukabaliwe baada ya siku ngapi labda!
 
Wewe unapenda ukabaliwe baada ya siku ngapi labda!

Haraka iwezekanavyo maana kama tumeshaonana zaidi ya mara 3 ndani ya wiki mbili na nmeshakuwa muwazi kwako kwann tusumbuane unless uwe hujanipenda
 
Pole sana...

Maua hunyauka, story huisha na kumbukumbu husahaulika... hii inamanisha kila kitu ni cha kuoita tuu...

Ila inategemea, mimi mbona nampenda mahondaw wangu kama vile ndiyo kwanza namuona leo...


Cc: mahondaw
 
Mpende akupendaye mwenye mapenzi ya kweli, asiyekupenda anafanya utapeli...
Utamjuaje kabla anakuja mikono ipo nyuma anavyokueleza unafikiria kweli nimepata mume,,subutu umpe..umeharibu kila kitu
 
Mtu akitimiza lengo lake mchezo umeisha ulitaka aendelee ili iweje

Mfano mwanaume akiwa na lengo la kukuoa hata ukimpaje ataendeleza tu mpaka akuoe akishakuoa lengo limetimia hamna cha ziada

Wengine akikufyatilia unajidai mgumu saaaana anafika kipindi anakata tamaa inabaki sasa ni kukutafuta ili akuamange tu harafu anatimua mbiyo

Kingine wanaogopa mizinga maana ni hawala tu lkn unakuawa zaidi ya ndoa mbili ukimuoa itakuwaje anaingia mitini
 
Asipo kurudia ujue round ya kwanza ilikua hovyo. Embu mpe mautundu uone ile kasi ya 4G
 
Utamjuaje kabla anakuja mikono ipo nyuma anavyokueleza unafikiria kweli nimepata mume,,subutu umpe..umeharibu kila kitu
Kipi kinakusukuma kumpokea ilihali mikono iko nyuma... Ushauuliza moyo wako kabla ya kuumpokea?, ktk kutambua upendo wa kweli huko wapi? Je umeuuliza moyo wako kuwa unafaa na yeye anafaa kuwa wako? Au ni matamanio tu ya muda ndyo yamekupelekea kuwa naye?

Ukiwa ktk hatua ya kupenda, hatusemi moyo ndyo unapenda kama haujauuliza maswali ya kumpokea huyo.
 
Haraka iwezekanavyo maana kama tumeshaonana zaidi ya mara 3 ndani ya wiki mbili na nmeshakuwa muwazi kwako kwann tusumbuane unless uwe hujanipenda
Loh,! Wiki mbili too fast hata kama nimekupenda,unajua naweza kukupenda sana ila nikachelewa kukubalia kukupa mwili ila nakupenda hapa huwa naangalia bidii yako katika upendo unaosema unanipenda,na wivu ninao kwako ila naangalia hali kwanza
 
Back
Top Bottom