Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 18,726
- 29,249
Si kweli wanaume hawana hisia za kimapenzi. Tunazo.. ila tofauti ni jinsi gani zinakuwa activated. hisia za mwanaume zinachukua muda kuwa activated wkt za mwanamke ni dakika chache tu.CutLove,
Pole kwa kukwazwa, kwa taarifa yako wanaume wengi wanapomfukuzia mwanamke huwa na sababu mbalimbali, kubwa ya kwanza kwa walio wengi ni kuwa na wewe kimwili, wengi wakiridhika 'kimwili' na wewe huenda wakaenda hatua zaidi kama kujenga na kuendeleza urafiki na hatimaye ndoa na kujenga familia. Wengi hawana hisia za kimapenzi kama walizonazo wanawake bali walizonazo ni hisia za 'kimwili' na si za kimapenzi. Hata kama atatuma zawadi, sms za mara kwa mara kinachomsukuma kwanza mwanaume ni hisia za ngono au kuwa 'kimwili' na wewe. Asiporidhika/asipofurahia na wewe 'kimwili', hana sababu ya kurudi tena kwako, au kuhangaika tena wewe, hasa kama ulimpa shida wakati anakufukuzia, kwsababu anaona akilinganisha na alivyohangaika na wewe na jinsi mlivyokuwa 'kimwili' anaona hailipi.
Na kuna scenario zingine inatokea umefall kwa demu siku ya kwanza mlipo kutana.
We sema at the beggining ni tamaa, laki kadiri siku zinavyokwenda ndio tunafall in love. Ila hiki kipind demu akizungua ni kibuti