Mnatuumiza mnoFafanua mkuu
Hapana ni baada ya miaka 5Kwani uchaguzi ukiisha harudi jimboni kushukuru kwa kuchaguliwa?
Kwa hiyo ulipokuwa unawaeleza tu hisia zako unaenda kupewa mzigo
Imagine unafwatilia papuch mwez mzma n kamaNa nyie kwanini huwa mnawasumbua wanaume mwezi mzima? Kwanini huwa mnamnyanyasa sana mwanaume kabla ya gemu?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mnatuumiza mno
Mfano; girl wa kwanza niliyempenda aliniacha akaolewa,akala hela zangu
2.akanikataa akaolewa
3.akanicheat then akaolewa
4.ana ni cheat
Unadhani hapo nitakua na moyo wa kupenda ?
Lazima nichape na kuondoka
Asante sana, tunawapenda sana wasichana ila siwaamini.Hongera
Baada ya muda lakini sio siku moja au mbili
Ndio,nalipizaVisasi au