Hii tabia wanaume wengi wanayo

Hii tabia wanaume wengi wanayo

Uliona wapi mchezaji anayefunga goli anasimama tu ndio ilivyo kwa wanaume nao wanakimbia kushangilia
 
akikaa kimya mtafute mwisho mara tatu akijifanya hana akili nawe fanya yako mpotezee kabisa.mwanaume mjinga asiejitambua wa nini..na ujue huyo hafai
 
akikaa kimya mtafute mwisho mara tatu akijifanya hana akili nawe fanya yako mpotezee kabisa.mwanaume mjinga asiejitambua wa nini..na ujue huyo hafai
Kweli kabisa
 
kwani ukishavua unampa tena samaki chambo ?? au chambo unatumia vulia samaki wengine
 
Mabinti mnapenda sana kusifiwa. Mtoto wa kike hata akiwa mbaya vipi, umampamba kwa maneno mazuri hadi anajihisi yupo juu. Akifika hapo juu sasa, anaanza kukuona hata wewe upo chini.

Kiufupi hayo maneno yanatumika kama kilainishi ili muingie kingi. Mana kama ulivyosema mnapenda mtu anaeonesha anakupenda, sasa tutakujaje kwa sura za uadui.
 
Tatizo lenu hamjui ,
Mwanaume anapokufata huwa anakuwa na upendo mwingi ila kadri mnavyokuwa wasumbufu ndipo nnapopunguza upendo kwa wanaume ,

Punguzeni Usumbufu wa kufatiliana na wakati mwingine kashfa na dharau zenu kipindi mnafatiliwa ndicho kinachokuja kuwacost
Kweli mkuu, huwa tunabadili mawazo usumbufu ukizidi 😀.
 
Pia usisahau kuna baadhi ya wadada akujua anapendwa sana na mvulana anageuka kuwa mwiba kwa mwenziye
 
Wanawake wasumbufu tu,kuna moja alinivutia,kakataa weee,nikanyamaza baada ya mda kajileta mwenyewe,ishu inakuja sasa kila baada ya tendo anadai anataka hela,mara kusuka,mara vile vitu kibao.

Naona live nachunwa,nikabadilika ghafla sina time na kumwambia nimekuchoka.

Nimemdanganya kwamba nina mtu,sasa hivi analeta kipapa kiwizi nakula halafu haombi hela kisha anaondoka fasta akidhani nina mtu.

Kupenda mwanamke sometimes inahitaji moyo
 
Kinachoniudhi ni kukuta mtu ni mfanyabiashara halafu anajidai kukuletea mapozi kisa ameona wewe ni mtu serious katika maisha...
 
Ungeendelea kumnyima tu mpaka atoe mahari
Hamjifunzi tu
Basi liwe onyo kwa watoto wenu
 
Ukishamvua samaki na kumla, outcome yake ni kinyesi, huwezi kula kinyesi hicho pale njaa na hamu ya samaki itapokuja tena, bali unaingia chomboni kwenda kutafuta samaki ingine
 
Mwanaume anaweza akawa anamfukuzia mwanamke kabla hajampata,ataonyesha anakupenda sana,atakuwa anaongea na hisia kali sana

Kabla hujamkubalia kila baada ya lisaa anakupigia sim,SMS kila wakati,zawadi hazihesabiki

Ila ukishampa mchezo tu hali hubadilika ,sim alizokuwa anapiga kila lisaa atakuwa anakupigia baada ya masaa 12,SMS zinakata,zawadi zinaisha

Na cha ajabu mwezi mzima alikuwa anakufukuzia bila kukata tamaa,spidi zile zile lakini baada ya mchezo mambo hubadilika
Je wanaume kwa nini unaonyesha kumpenda mwanamke kwa hisia kali kabla ya kukupa mchezo na akisha kupa tu kwa nini hisia zako zinapungua?

Ni kweli wanaume huwa wanatamaa tu au ni kuprend kupenda kumbe ni kuzuga mwanamke aingie 18 apate anachotaka na kupotea?

Na mwanamke hupenda zaidi pale anapokutana kimwili na mwanaume ambaye anaonekana kumpenda

Na baada ya hapo humuachia mzigo wa mawazo mwanamke baada ya kutoa mzigo

Wanaume tuambieni kwa nini huwa na tabia hii lakini sio wote ila asilimia kubwa kabla na baada ya kukutana kimwili huwa ni tofauti
Ngoja nikujibu sasa maana post ya juu nimefanya mitani. Tatizo kubwa linalowafanya wanaume watimue mbio wakishapewa ni kukimbia majukumu. Maana wanawake wa siku hizi wanawakabidhi wapenzi wao majukumu ya mume ilhali wao hawatekelezi majukumu ya mke. Mwanaume mwenye nia ya kuwa na uhusiano wa muda mrefu na wewe ukishaanza kumkabidhi majukumu hayo basi na wewe tekeleza ya mke. Vinginevyo unampoteza. Shida ya wadada wa leo unamtongoza mchana jioni kakuita mume kesho mama anaumwa au kodi imeisha. What a coincidence? Yaani matatizo hayo yalikuwa yanasubiri nikutongoze? Kama wanawake hawatabadilika basi njemba zitaendelea kupita tu. Bahati mbaya zaidi sasa hivi ukitongoza demu inakuwa kama vile umekopa hela. Maana kila siku ni mwendo wa kudaiwa..
 
Back
Top Bottom