Hii tabia wanaume wengi wanayo

Hii tabia wanaume wengi wanayo

Mtu akitimiza lengo lake mchezo umeisha ulitaka aendelee ili iweje

Mfano mwanaume akiwa na lengo la kukuoa hata ukimpaje ataendeleza tu mpaka akuoe akishakuoa lengo limetimia hamna cha ziada

Wengine akikufyatilia unajidai mgumu saaaana anafika kipindi anakata tamaa inabaki sasa ni kukutafuta ili akuamange tu harafu anatimua mbiyo

Kingine wanaogopa mizinga maana ni hawala tu lkn unakuawa zaidi ya ndoa mbili ukimuoa itakuwaje anaingia mitini
Loh! Mungu anawaona nyie
 
Loh,! Wiki mbili too fast hata kama nimekupenda,unajua naweza kukupenda sana ila nikachelewa kukubalia kukupa mwili ila nakupenda hapa huwa naangalia bidii yako katika upendo unaosema unanipenda,na wivu ninao kwako ila naangalia hali kwanza

Hayo yatakuwa mapenzi ya agape.

Endelea kuchelewa hivyohivyo ndio utashangaa unapishana na mambo mazuri
 
Asipo kurudia ujue round ya kwanza ilikua hovyo. Embu mpe mautundu uone ile kasi ya 4G
Kama round ya kwanza hakuridhika talk,mapenzi ni kuongea na kuelekezana,hakuna anayezaliwa akiwa anajua kila kitu ,tunajifunza kutoka kwa mwingine
 
Kipi kinakusukuma kumpokea ilihali mikono iko nyuma... Ushauuliza moyo wako kabla ya kuumpokea?, ktk kutambua upendo wa kweli huko wapi? Je umeuuliza moyo wako kuwa unafaa na yeye anafaa kuwa wako? Au ni matamanio tu ya muda ndyo yamekupelekea kuwa naye?

Ukiwa ktk hatua ya kupenda, hatusemi moyo ndyo unapenda kama haujauuliza maswali ya kumpokea huyo.
Kazi kweli kweli!
 
Kama round ya kwanza hakuridhika talk,mapenzi ni kuongea na kuelekezana,hakuna anayezaliwa akiwa anajua kila kitu ,tunajifunza kutoka kwa mwingine
Sasa nikuambie tuu, mwanaume sio Kila kitu aseme, mautundu tuu ndio yatamfanya Anyooshe mikono juu na kusema HALELUJAH
 
Mnashindwa kuchagua. Anayekupenda kweli unamkataa na unakuja kuangukia kwenye mikono ya viwembe.
 
Unaona[emoji16] [emoji16] [emoji16]
Katika umri wa miaka 20-30 ni vijana wachache sana wanaomfuata mwanamke na kumtongoza kwa nia tofauti na ngono.

Sasa baada ya kutimiza lengo ni nini kingine anataka kutoka kwako?
 
Katika umri wa miaka 20-30 ni vijana wachache sana wanaomfuata mwanamke na kumtongoza kwa nia tofauti na ngono.

Sasa baada ya kutimiza lengo ni nini kingine anataka kutoka kwako?
Shida kweli!
 
Back
Top Bottom