Hii simu ijae picha zangu tuuu

Hii simu ijae picha zangu tuuu

Nakadori

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
8,779
Reaction score
21,048
Hayo ni maneno ya bidada bi harusi mtarajiwa (aliyenyimwa tunyama nyama) kwa muweme mtarajiwa baada ya kumnunulia simu.

Kila zawadi huja na masharti yake.... japo me sipendi sana masharti.... jambo jema ni lile linalofanywa kwa hiyari na sio kwa lazima.....

Kaka kazi unayo

Ila mwenzenu week hii nzima naumwa sema tu ya jf hayanipitii. Mniombee
 
Aisee mada nyingine ngumu sana kuchangia nataka nichangie unachotaka wewe ili ujisikie walau vzr maana ni week ya kuchanganyikiwa hii anyway nachotaka unielewe mimi sijaelewa kwanza anavyomwelekeza matumizi ya simu huku anaiangalia mboto ni kweli anamaanisha simu au dudu nijuzwe nina dirty mind kinyana
 
Hayo ni maneno ya bidada bi harusi mtarajiwa (aliyenyimwa tunyama nyama) kwa muweme mtarajiwa baada ya kumnunulia simu.

Kila zawadi huja na masharti yake.... japo me sipendi sana masharti.... jambo jema ni lile linalofanywa kwa hiyari na sio kwa lazima.....

Kaka kazi unayo

Ila mwenzenu week hii nzima naumwa sema tu ya jf hayanipitii. Mniombee
View attachment 2485447
Getwell soon
 
😂😂😂😂maigizo ya tamthilia kaanza kuyatekeleza kwa vitendo, mwanaume hafanywi hivyo tena siku ya sendoff!! Mbele za wakwe na wazazi wako huko ndani itakuwaje,, bwana harusi mwenyewe kakosa raha kabisa, sendoff, zawadi ndo kumpelekesha mume mtarajiwa namna hii kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom