Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,501
- 51,092
Well said Nyani Ngabu
Tulitakiwa twende slow but sure
Tulitakiwa twende slow but sure
Well said Nyani Ngabu
Tulitakiwa twende slow but sure
Huyu nyani ngabu sasa akili zake zimemrudia au ameguswa pabaya
HahahhahaZinakurudi taratibu ama
AiseeeInawabidi walidump tu baharin hapo ferry litengeneze coral reef hili liwe chimbuko la mazalia ya samaki na mimea ya baharini kuvutia watalii mascuber divers
Angalia wasije wakakuita CDM.
Maana Tanzania kuna kaugonjwa kanaitwa CDM na CCM, kuna watu eti wanaitwa wapinga kila kitu.
Kila swali huwa lina jibu sahihi, Tujitahidi kuishi kwa uhalisia na sio hisia.
Hawa jamaa hawana Mpango Kazi wala Mpango Biashara.... Wanachofanya ni kutafuta sifa tu.......Kwa ujumla sioni ubaya wa juhudi za kulifufua shirika letu la ndege.
Ni jambo jema tu.
Ila hii ya kununua lidege likubwa kama hilo li Dreamliner, sioni tija yake kwa sasa.
Wangeanza ufufuzi wa hilo shirika kidogo kidogo na hizo ndege ndogo ndogo.
Halafu baadaye baada ya kutengeneza faida ndo wangehitimu kwenye hayo makubwa makubwa ya masafa marefu.
Kununua dege la masafa marefu na kulirusha kwenye safari fupi za ndani ni uwendawazimu!
Kuna kila dalili hilo li Dreamliner litakuwa grounded.
Hii serikali imechemka kabisa hapa!
No two ways about it.
Tutauza vyuma chakavuLikiwa Grounded itakuwa hasara kubwa sana
Well said mkuu.Man, mbona huwa unaeleweka sana tu. Uzuri wako panapohitaji pongezi, utapongeza, ukiona mambo hayapo shwari napo huwa haufi na tai shingoni, unaweka bayana dukuduku lako.
Tatizo kuna watu kama yuko upande flani anajifunga kitambaa abaki upande mmoja tu, mambo hayaendi hivyo.
Mkiwa humu mnauvua ulumumba, mkisimama kwenye madhabahu mnatukuza fikra za mwenyekiti
Bigg up Nyani Ngabu wewe ni mhenga nakuheshimu sana na naheshimu upeo wako ulitukuka unavyoanza kupambanua zuri na baya (sio lazima usifie / uponde vyote) ila haki lazima isimame
Nadhani ulikuwa usingizini. Zamani ulikuwa na mawazi supa. Au kuna NYANI NGABU tofauti na ninayemjua. Huu uandishi sio wako. Umeandikiwa?
Itakuwa inaenda chato,na koroshow cityNasikia tumenunua Airbus....
Sijui hii itakuwa inapiga masafa ya wapi?? Mtwara labda?