Hii sasa laana, uvumilivu baasi

Hii sasa laana, uvumilivu baasi

Si uwe unamvalia huko ndani mkiwa wenyewe sasa huko barabarani unakuwa naye muda wote
 
Huyo ndo benteke bwana...mkuu nakusihi tu usije kutuambia amekulazimisha uvae pedi yake. Maana naona unaelekea huko
 
Kwa hizi mada zako mkuu benteke, naona Bujibuji sasa hivi hafui dafu, dah!
Kha! mapenzi gani sasa haya jamani...nimevumilia sana lakini uvumilivu unanishinda...huyu binti eti anasema anapenda kuniona nikiwa nimevaa pichu zake.....sasa mbaya zaidi yeye pichu zake anavaa zile zenye kamba tu iliyopita kwa nyuma (G-string ?)...Ndugu yangu ni week sasa natembea huku mjini nikiwa nageuka geuka nyuma kama mwizi.....nahisi kama watu wananiona vile.....ngoja nikaivulie mbali bora nitembee hivyohivyo bila pichu. Wadada mnatutesa sasa na haya mapenzi ya hivi.
 
Last edited by a moderator:
Nilikua napita....!ila nahis nimesahau pa kuelekea.
 
Ama nimecheka, kweli kuna watu hamueshi vituko....wiki nzima na bado umekomaa! Kweli mahaba niteketeze....
 
Eti mwanaume kapost huu utumbo

Angalieni vya kupost jamani
 
Mwenzio mke wangu ana tabia ya kuvaa boksa zangu kabla cjamshtukia nlikua nashangaa zinapanuka tuu, kumbe nikienda kazini ndio anashindiaga hm
 
we muendekeze utajavishwa skin tight na wigi,mapenzi gani yasio na mpaka
 
ndugu kama ni mapenzi basi hayo yemepitiliza. Mwambie huwezi kuvaa hizo vitu aisee, halafu mbona kama huna msimamo mchimbe biti huyo hata kama kuna mapenzi lazima kuwe na mipaka. So kama hupendi kuvaa hizo pichu mwambie mkuu.
 
@Benteke
Sa ww baada ya kuivaa ungemwonesha
jinsi inavyokukaa.
Ili akubali usivae, kisa cha kutembea dushe linatingishika
kwa kutoshikwa vema na G-String
Nimecheka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom