Hii sasa laana, uvumilivu baasi

Hii sasa laana, uvumilivu baasi

benteke

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2014
Posts
1,305
Reaction score
1,069
Kha! mapenzi gani sasa haya jamani...nimevumilia sana lakini uvumilivu unanishinda...huyu binti eti anasema anapenda kuniona nikiwa nimevaa pichu zake.....sasa mbaya zaidi yeye pichu zake anavaa zile zenye kamba tu iliyopita kwa nyuma (G-string ?)...Ndugu yangu ni week sasa natembea huku mjini nikiwa nageuka geuka nyuma kama mwizi.....nahisi kama watu wananiona vile.....ngoja nikaivulie mbali bora nitembee hivyohivyo bila pichu.

Wadada mnatutesa sasa na haya mapenzi ya hivi.
 
Pole mkuu haya mapenzi yenu ya cku hz balaa iko cku atakwambia anataka akugonge na ww
 
Kha! mapenzi gani sasa haya jamani...nimevumilia sana lakini uvumilivu unanishinda...huyu binti eti anasema anapenda kuniona nikiwa nimevaa pichu zake.....sasa mbaya zaidi yeye pichu zake anavaa zile zenye kamba tu iliyopita kwa nyuma (G-string ?)...Ndugu yangu ni week sasa natembea huku mjini nikiwa nageuka geuka nyuma kama mwizi.....nahisi kama watu wananiona vile.....ngoja nikaivulie mbali bora nitembee hivyohivyo bila pichu. Wadada mnatutesa sasa na haya mapenzi ya hivi.

Shauri yako
 
Kwi kwi kwi vitu vingine jamani acha tu nicheke
 
Laana hii ati... dushe kila saa nalirudisha ndani maana linatoka kwa pembeni...yaani ni vituko.

yani wewe umenichekesha umenichekesha umenichekesha hamna mfano lol hahahhahahhahahahhahahha nahisi ntacheke siku nzima leo hahahhahhahahhaha
 
sasa na huo mtekenyo unaoupata huko unajisikiaje? pole kweli mahaba nitekenye kama ze comedy
 
Sipati picha kikojoleo chako kimekaaje kwa sasa

we acha tu....na nilivyo mwembamba basi hainishiki vizuri....dushe linachungulia kwa pembeni...nimelirudisha mpaka nimechoka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom