Hii sasa laana, uvumilivu baasi

Hii sasa laana, uvumilivu baasi

yani wewe umenichekesha umenichekesha umenichekesha hamna mfano lol hahahhahahhahahahhahahha nahisi ntacheke siku nzima leo hahahhahhahahhaha

mrsleo usicheke ati. Mwenzio nshakua mtumwa wa mapenzi
 
Last edited by a moderator:
Hahaaa! nahic unaumwa hauko vzur la cvyo kashakuvuruga huyo bint!
 
Kha! mapenzi gani sasa haya jamani...nimevumilia sana lakini uvumilivu unanishinda...huyu binti eti anasema anapenda kuniona nikiwa nimevaa pichu zake.....sasa mbaya zaidi yeye pichu zake anavaa zile zenye kamba tu iliyopita kwa nyuma (G-string ?)...Ndugu yangu ni week sasa natembea huku mjini nikiwa nageuka geuka nyuma kama mwizi.....nahisi kama watu wananiona vile.....ngoja nikaivulie mbali bora nitembee hivyohivyo bila pichu. Wadada mnatutesa sasa na haya mapenzi ya hivi.

We hohehahe wa akili. Yaani umeshawishiwa ujinga ukakubali afu unatuletea jf! Kama uliweza kushangaa hadi umeleta hapa na bado unavaa huoni ulivopunguani. Uambiwe kuvaa ww. Ushangae ww. Uvae ww na utangaze ww. Ngoja waje wakurekodi kwny kitabu cha guiness.
 
Utazoea banaaaa jikaze tu.... siri za ndani usizianike humu. Mbona wanaume wenzio wengi tu wanavaa hizo na wamezoea bila kelele???
 
Utazoea banaaaa jikaze tu.... siri za ndani usizianike humu. Mbona wanaume wenzio wengi tu wanavaa hizo na wamezoea bila kelele???

sasa mimi mwembamba hainibani vizuri.....achilia mbali dushe basi mbupu zote nazo zinatoka kwa pembeni. ni balaa.
 
Kha! mapenzi gani sasa haya jamani...nimevumilia sana lakini uvumilivu unanishinda...huyu binti eti anasema anapenda kuniona nikiwa nimevaa pichu zake.....sasa mbaya zaidi yeye pichu zake anavaa zile zenye kamba tu iliyopita kwa nyuma (G-string ?)...Ndugu yangu ni week sasa natembea huku mjini nikiwa nageuka geuka nyuma kama mwizi.....nahisi kama watu wananiona vile.....ngoja nikaivulie mbali bora nitembee hivyohivyo bila pichu. Wadada mnatutesa sasa na haya mapenzi ya hivi.


I think she has a thing for strings!!!Try the alternative.... it's called a T-String! Strings are positioned sideways. Unlike what u wearing now,you wont feel n thing go through ur sit-hole.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom