Mkuu Huyu muuza ubuyu ni hatari kwa vichekesho ni balaa!
Ni Wa nkwela wangu Mentor panakusumbua nikusaidie?
Kha! mapenzi gani sasa haya jamani...nimevumilia sana lakini uvumilivu unanishinda...huyu binti eti anasema anapenda kuniona nikiwa nimevaa pichu zake.....sasa mbaya zaidi yeye pichu zake anavaa zile zenye kamba tu iliyopita kwa nyuma (G-string ?)...Ndugu yangu ni week sasa natembea huku mjini nikiwa nageuka geuka nyuma kama mwizi.....nahisi kama watu wananiona vile.....ngoja nikaivulie mbali bora nitembee hivyohivyo bila pichu. Wadada mnatutesa sasa na haya mapenzi ya hivi.
Nkwela afadhali umejage mwanawane...saasa mimi nilikuwa ninajua 'mwangaruka' ndo salamu sasa huyu nkwela muuza ubuyu akaniambia 'ng'wangaruka' nikahisi ananitukana nikamjibu, 'mwenyewe' sasa amekasirika!
Amenikumbusha wimbo tuliimba depo:
"Iyena mwangaruka X2
Tumekuja kufanya kazi
Hatukuja kuuza sura
Iyena mwangaruka..."
NB: iyo iyena inamaanisha nini apo mwanzoni sasa!??
Kha! mapenzi gani sasa haya jamani...nimevumilia sana lakini uvumilivu unanishinda...huyu binti eti anasema anapenda kuniona nikiwa nimevaa pichu zake.....sasa mbaya zaidi yeye pichu zake anavaa zile zenye kamba tu iliyopita kwa nyuma (G-string ?)...Ndugu yangu ni week sasa natembea huku mjini nikiwa nageuka geuka nyuma kama mwizi.....nahisi kama watu wananiona vile.....ngoja nikaivulie mbali bora nitembee hivyohivyo bila pichu. Wadada mnatutesa sasa na haya mapenzi ya hivi.
Nkwela afadhali umejage mwanawane...saasa mimi nilikuwa ninajua 'mwangaruka' ndo salamu sasa huyu nkwela muuza ubuyu akaniambia 'ng'wangaruka' nikahisi ananitukana nikamjibu, 'mwenyewe' sasa amekasirika!
Amenikumbusha wimbo tuliimba depo:
"Iyena mwangaruka X2
Tumekuja kufanya kazi
Hatukuja kuuza sura
Iyena mwangaruka..."
NB: iyo iyena inamaanisha nini apo mwanzoni sasa!??
Ahahahahahahaa
Sezae muuza ubuyu umenichekesha sana
muuza ubuyu kweli wewe mamy!
Sipati picha ukiwa umevaa ka g string kanakong'aa kama latex then umepiga jeans yako halafu ukashusha ka'mlegezo!! :-O
Kha! mapenzi gani sasa haya jamani...nimevumilia sana lakini uvumilivu unanishinda...huyu binti eti anasema anapenda kuniona nikiwa nimevaa pichu zake.....sasa mbaya zaidi yeye pichu zake anavaa zile zenye kamba tu iliyopita kwa nyuma (G-string ?)...Ndugu yangu ni week sasa natembea huku mjini nikiwa nageuka geuka nyuma kama mwizi.....nahisi kama watu wananiona vile.....ngoja nikaivulie mbali bora nitembee hivyohivyo bila pichu. Wadada mnatutesa sasa na haya mapenzi ya hivi.