Hii raha au karaha?

Siku zote mtu ambaye yuko single hua anaandamwa na kitu kinachoitwa stress zisizo na maana!!yaan ful hasira,wivu,chuki ni shiiiiida yaani mfano mzur cheki lifestyle ya ma-sister wengii huwaga na gubu!hzo ni side effect za kuwa single!! Double raha sana teena upate anayekupeeenda uUuuh!

against who?
 
ha ha ha shem hv kuulizwa kuna raha yake eeh??

Sasa je, mtu unatoka unaingia mpenzi wako hajui ulikotoka wala unapoenda ina maana hajali we hata ukirudi usiku wa manane hajigusi kha lazima ujiulize huyu hana hata kawivu, siulizwi nlikotoka ila ikizidi sana ni maudhi mara mojamoja sio vibaya kuuliza
 
mmh mie mwenzako nilishalazwa roho juu usiku wa manane!!

kila mara sms inaingia, baby naumwa kichwa!! mara ooh baby nimezidiwa!!

mmh, hapo mtoto wa watu anaishi kama km 15 kutoka nilipo!

kesho yake naamka, haraka haraka naenda kumjulia hali, aaargh, nikamkuta yu mzima wa afya tele!

jamani namuuliza honey vipi? homa imeisha?.. mtoto anajibu eti alikuwa ananitania!

dah, mbona nilichoka!

Alikuwa anatafuta Attention yako na alijupata kweli.
 
Sasa je, mtu unatoka unaingia mpenzi wako hajui ulikotoka wala unapoenda ina maana hajali we hata ukirudi usiku wa manane hajigusi kha lazima ujiulize huyu hana hata kawivu, siulizwi nlikotoka ila ikizidi sana ni maudhi mara mojamoja sio vibaya kuuliza
ila kweli shemeji
 
we acha kabisa usiseme hivyo nampenda farkhina mpaka napagawa yaani farkhina ni kila kitu kwangu jamani nampenda sana sana farkhina nakulavulavu mpenzi

Umepagawa nini mbona huokoti makopo na viatu unavaa...
 
Last edited by a moderator:
Ungekuwa single, single, single. Rejea nyuma kidogo kuna msemo usemao ''NATURE IS NEITHER CREATED NO DESTROYED'' Wewe nani alikufundisha kupenda pindi ulipobalehe kama ni mwanaume na ulipovunja ungo kama ni msichana. Hisia zilikubadilika kutoka kwenye penda ya kitoto na kuanza kupata mihemuko ya mwili kutaka tendo jingine la ziada. Dhahiri ni NATURE HAS TAKEN ITS OWN COURSE. Dhahiri kupenda ni RAHA tupu hata maudhi ni sehemu ya hizo raha za kupenda, linganisha kupenda kwa staili ya watani zangu WAKURYA. Yote raha.
 
siku hizi ukipenda wekeza tu nywele au kucha,ukiwekeza roho siku akikubwaga utaumia,ila kiweka kucha zitaota tu tena!!
 
Back
Top Bottom