Hadrianus
JF-Expert Member
- Feb 19, 2020
- 2,112
- 5,208
hili kundi la U23 limeruhusiwa kuongeza wachezaji wa3 waliozidi 23 Lusajo ni mmojawapo.Angalia wamewekewa nyota wote wa3. Mfano LUSAJO*Kikoti si ni Mzee wa Busara!
Metacha naye ni U23 kweli? Mbona hili taifa linacheza na hisia za watu hivi.
Reliants Lusajo naye eti ni U23.
hapo inahitaji ufuatiliaji wa mpira? au kujua kosama na umri wa wachezaji?
Metacha anacheza timu ya taifa tangu under 17 kwa hiyo taarifa zake zipo kwenye databaseKikoti si ni Mzee wa Busara!
Metacha naye ni U23 kweli? Mbona hili taifa linacheza na hisia za watu hivi.
Reliants Lusajo naye eti ni U23.
khaaaah
Mbna amekomaa hivyo?Wachezaji watatu ndio wamezidi umri na inaruhusiwa ..
Ila kwa metacha ni Under 23 no jamaa nilicheza nae kikuyu huku
Ina maaan we ndo umemaliza 4m 6 mwaka huu? Kumbe kuna watoto humu daaah.Bongo ndio maisha yetu haya. Mbona jana Paula ametimiza miaka 19 wakati tulisoma nae mwaka mmoja O Level akafeli. Wanataka kusema alianza shule akiwa na miaka mitatu
Hapo kikoti kadanganya Sana si chini ya 27Mwenda,Kikoti na Mgore je
Ndio hiyo database imedanganywa sasaMetacha anacheza timu ya taifa tangu under 17 kwa hiyo taarifa zake zipo kwenye database
Lusajo nasikia ana degree ya biashara yule lakini bado ni under 23Kikoti si ni Mzee wa Busara!
Metacha naye ni U23 kweli? Mbona hili taifa linacheza na hisia za watu hivi.
Reliants Lusajo naye eti ni U23.
HahahahahahaAbdulmajid Mangalo U23
soma asterik (*) chiniLusajo nasikia ana degree ya biashara yule lakini bado ni under 23
Kwani Paula alitakiwa amalize form 6 mwaka huu? NECTA form four si kafanya 2016, yeye na Jennifer Kanumba ndio mastaa wa mwaka huo. Sasa anatimizaje miaka 19 jana.Ina maaan we ndo umemaliza 4m 6 mwaka huu? Kumbe kuna watoto humu daaah.
Ndio maana nasema jamaa kavuka miaka 23 huyu sio under 23Mbna amekomaa hivyo?
Mbona yule babu onyango mnatuambiaga ana miaka 29 unashangaa nn sasa?