Hii ni 'pure class'...

Hii ni 'pure class'...

Ingawa inahusu world cup but inahusu hadi kwenye MMU .....Timu ya Spain ilikuwa ina mategemeo tele
kwa kila mshabiki wa timu hiyo....nina uhakika wapo walioweka pesa za kamari kwa timu hiyo..mamilioni .wapo waliosafiri kutoka Spain hadi Brazil...na kulanguliwa tiketi za dola 90 kwa kuuziwa dola 1000...na kadhalika...kilichotokea kila mtu anakijua...wamepigwa 5-1,halafu 2-0...out....na walifungwa kizembe pia..kipa wao Cassilas alisababisha magoli kadhaa
kocha nae akamng'ang'ania mechi ya pili na wachezaji wengine huku akiacha wachezaji tele bench wenye vipaji..sasa

Baada ya kufungwa na kutolewa kwa kipigo cha aibu nikawa najiuliza hasa mashabiki watakuwa na hasira kiasi gani kwa Cassilas na Kocha....na nini kitafuata.....je watawasulubu wachezaji na kocha? media zao zitasemaje?hasira zao zitatulizwa vipi?.......kilichotokea ndicho kilichonifurahisha....first mashabiki wamesikitika tu bila kutukana wala kulaumu sana..

Media za kwao ndo kabisa....wameweka picha za timu yao huku vichwa vya habari vikisema tu 'the end' wengine waliandika 'thank you' 'it was beautiful' na kadhalika...magazeti na mshabiki kwa ujumla yalikuwa yanatoa shukrani kwa wachezaji kwa 'mafanikio ya Spain toka mwaka 2008 walipokuwa mabingwa wa Ulaya,2010 mabingwa wa dunia,2012 tena mabingwa wa ulaya...mwandishi mmoja alisema 'it was the end of the six years party' thank you.. hakuna aliejishughulisha na what is...or what could have been na kadhalika...watu hasa media wametoa tu shukrani kwa ujumla kwa timu hii kwa kipindi chote walichowapa furaha ya ushindi... mpaka siku ile party ilipoisha...pure class

Tunaweza kujifunza....kitu hapo iwe mahusiano ya mtu na mtu au mtu na taasisi....siku yakiisha no matter how dissapointed you are...angalau shukuru for the' party before' ...kuliko ku spend muda mwingi kulaumu,kutukana kulalamika about the dissapointment.......ukifukuzwa kazi shukuru tu.sema thank you ..it was beautifull..sio kuwalaani watu waliokufanyia fitina milele hadi ukafukuzwa kazi...the same goes for broken hearts.. sometimes tukumbuke 'the party before' dissapointment na kusema thank you..it was beautifull.......and that is pure class...
wapo waliowatukana pia, but all in all it was a good gesture
 
All is said here, niseme nini tena?
I am a happy person not because everything that happens to me is great,
But because I see everything in its most positive angle. At least I try to
Naamini kabisa kua the way we see things influences what happens next.

If you lock yourself in a spiral of negative thought you miss out on the positive.
Good opportunities to turn your life around will pass you by because
You will be reminiscing the past and wondering who did it to you.
Pull yourself up, dust your behind, smile and move on. Tha't the thing!
 
All is said here, niseme nini tena?
I am a happy person not because everything that happens to me is great,
But because I see everything in its most positive angle. At least I try to
Naamini kabisa kua the way we see things influences what happens next.

If you lock yourself in a spiral of negative thought you miss out on the positive.
Good opportunities to turn your life around will pass you by because
You will be reminiscing the past and wondering who did it to you.
Pull yourself up, dust your behind, smile and move on. Tha't the thing!
Thank you...
 
Hii staili ya kumtongoza mai waifu mwallu mi siikubali mkuu @c6...tuheshimiane sana aisee!

Wakati naswaga ng'ombe kupeleka kwa babu yake kule Ntuzu au wakati napeleka blanketi Gamboshi kwa nkwela muuza ubuyu naamini hukwepo na hukujua shida nilizopitia.

Mwache kabisa mke wangu mwallu..nampenda..nampenda..nampenda...
charminglady..mto mumeo hapa la sivyo next time utaitwa kwenda kumtambua Bugando Mortuary!!!


Alipitiwa kidogo tu, afu alikuwa anatania bana don;t take it serious!!
 
Kwa kweeeeli Thank you the party!
Cc @gfsowin cacico Mtambuzi SnowBall Mr Rocky The Finest Fixed Point King'asti Kaunga Kongosho Boflo madame x Passion Lady Kaizer Asprin Nicas Mtei Mentor KOKUTONA Nyamayao mwaJ Kaka Kiiza amu nyumbakubwa BAK Zion Daughter farkhina watu8 Eiyer Sikonge Madame B EMT jouneGwalu dah hii list inavoendelea the party inazid kuwa alive aseee !
Miss you guys!

Miss you too mwanangu snowhite.
Mama yako nimerudi tena baada ya safari ya mbali.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Ingawa inahusu world cup but inahusu hadi kwenye MMU .....Timu ya Spain ilikuwa ina mategemeo tele
kwa kila mshabiki wa timu hiyo....nina uhakika wapo walioweka pesa za kamari kwa timu hiyo..mamilioni .wapo waliosafiri kutoka Spain hadi Brazil...na kulanguliwa tiketi za dola 90 kwa kuuziwa dola 1000...na kadhalika...kilichotokea kila mtu anakijua...wamepigwa 5-1,halafu 2-0...out....na walifungwa kizembe pia..kipa wao Cassilas alisababisha magoli kadhaa
kocha nae akamng'ang'ania mechi ya pili na wachezaji wengine huku akiacha wachezaji tele bench wenye vipaji..sasa

Baada ya kufungwa na kutolewa kwa kipigo cha aibu nikawa najiuliza hasa mashabiki watakuwa na hasira kiasi gani kwa Cassilas na Kocha....na nini kitafuata.....je watawasulubu wachezaji na kocha? media zao zitasemaje?hasira zao zitatulizwa vipi?.......kilichotokea ndicho kilichonifurahisha....first mashabiki wamesikitika tu bila kutukana wala kulaumu sana..

Media za kwao ndo kabisa....wameweka picha za timu yao huku vichwa vya habari vikisema tu 'the end' wengine waliandika 'thank you' 'it was beautiful' na kadhalika...magazeti na mshabiki kwa ujumla yalikuwa yanatoa shukrani kwa wachezaji kwa 'mafanikio ya Spain toka mwaka 2008 walipokuwa mabingwa wa Ulaya,2010 mabingwa wa dunia,2012 tena mabingwa wa ulaya...mwandishi mmoja alisema 'it was the end of the six years party' thank you.. hakuna aliejishughulisha na what is...or what could have been na kadhalika...watu hasa media wametoa tu shukrani kwa ujumla kwa timu hii kwa kipindi chote walichowapa furaha ya ushindi... mpaka siku ile party ilipoisha...pure class

Tunaweza kujifunza....kitu hapo iwe mahusiano ya mtu na mtu au mtu na taasisi....siku yakiisha no matter how dissapointed you are...angalau shukuru for the' party before' ...kuliko ku spend muda mwingi kulaumu,kutukana kulalamika about the dissapointment.......ukifukuzwa kazi shukuru tu.sema thank you ..it was beautifull..sio kuwalaani watu waliokufanyia fitina milele hadi ukafukuzwa kazi...the same goes for broken hearts.. sometimes tukumbuke 'the party before' dissapointment na kusema thank you..it was beautifull.......and that is pure class...

This thread is "pure class"!
 
Halafu watu wananiuliza nimekung'ang'ania nini kwa sukari ya warembo.

Word, being bitter is harmful to ones health.
 
Nimeipenda..ni jambo la msingi sana katika maisha..kila mtu ana mchango wake katika jambo, tujifunze kushukuru mchango wa kila mmoja
 
Ingawa inahusu world cup but inahusu hadi kwenye MMU .....Timu ya Spain ilikuwa ina mategemeo tele
kwa kila mshabiki wa timu hiyo....nina uhakika wapo walioweka pesa za kamari kwa timu hiyo..mamilioni .wapo waliosafiri kutoka Spain hadi Brazil...na kulanguliwa tiketi za dola 90 kwa kuuziwa dola 1000...na kadhalika...kilichotokea kila mtu anakijua...wamepigwa 5-1,halafu 2-0...out....na walifungwa kizembe pia..kipa wao Cassilas alisababisha magoli kadhaa
kocha nae akamng'ang'ania mechi ya pili na wachezaji wengine huku akiacha wachezaji tele bench wenye vipaji..sasa

Baada ya kufungwa na kutolewa kwa kipigo cha aibu nikawa najiuliza hasa mashabiki watakuwa na hasira kiasi gani kwa Cassilas na Kocha....na nini kitafuata.....je watawasulubu wachezaji na kocha? media zao zitasemaje?hasira zao zitatulizwa vipi?.......kilichotokea ndicho kilichonifurahisha....first mashabiki wamesikitika tu bila kutukana wala kulaumu sana..

Media za kwao ndo kabisa....wameweka picha za timu yao huku vichwa vya habari vikisema tu 'the end' wengine waliandika 'thank you' 'it was beautiful' na kadhalika...magazeti na mshabiki kwa ujumla yalikuwa yanatoa shukrani kwa wachezaji kwa 'mafanikio ya Spain toka mwaka 2008 walipokuwa mabingwa wa Ulaya,2010 mabingwa wa dunia,2012 tena mabingwa wa ulaya...mwandishi mmoja alisema 'it was the end of the six years party' thank you.. hakuna aliejishughulisha na what is...or what could have been na kadhalika...watu hasa media wametoa tu shukrani kwa ujumla kwa timu hii kwa kipindi chote walichowapa furaha ya ushindi... mpaka siku ile party ilipoisha...pure class

Tunaweza kujifunza....kitu hapo iwe mahusiano ya mtu na mtu au mtu na taasisi....siku yakiisha no matter how dissapointed you are...angalau shukuru for the' party before' ...kuliko ku spend muda mwingi kulaumu,kutukana kulalamika about the dissapointment.......ukifukuzwa kazi shukuru tu.sema thank you ..it was beautifull..sio kuwalaani watu waliokufanyia fitina milele hadi ukafukuzwa kazi...the same goes for broken hearts.. sometimes tukumbuke 'the party before' dissapointment na kusema thank you..it was beautifull.......and that is pure class...



HALA HALA ! YASIJE YAKAWA MANENO YA KEJELI...


Hii Inanikumbushu Mwalimu Wangu wa Kiswahili MR KIGUKU alipokuwa akimwambia Chenga mmoja Hivi '' Dah ! Hongera sana ! Hakuna aliyepata Alama kama zako... Wewe ni wa kipekee sana ''


Hizo ALAMA Zenyewe sasa !!!! Below 20%...
 
Unacheka nini wakati unaamua kumchokoza babu makusudi?

Na mbaya zaidi umemwita Fixed Point naye akaja kuharibu mambo. Habari za ex na mazaga zaga yao zinakujaje kwenye party takatifu?
Labda sikumwelewa The Boss, nilichoelewa ni kwamba tunatakiwa tukumbuke mazuri ya waliopita na siyo kuzungumzia mabaya tu. tunatakiwa tusema Thank you kwa starehe tulizopata tulipokuwa nao kwani kwa kuwa nao tu kunadhihirisha kuna mazuri yalikuwepo.......
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom