Hii ni 'pure class'...

Hii ni 'pure class'...

Naomba niwe host wa hii makitu tebo fo foo kwenye mghahawa wa faivu staa gharama zote juu yangu, naweka nadhiri wallah ................

long live mtambuzi wewe ni mmoja ya watu muhimu wanaofanya dunia kuwa sehemu bora ya kuishi.

hakuna haja ya kiapo najuwa umemaanisha kutoka moyoni, masomo yako nayo yamekuwa msaada mpaka Lara 1 to accept me.
 
Mentor una mwallu wako nyumbani na mimi nna charminglady wangu nyumbani chuki ya nini kati yangu mimi na wewe, nasema sina makosa ooooh baba wataka kuniua bure Mentor

shkamoo Ntuzu


Marihyaba @c6


Teh Teh Teh Teh Teh

Yani na nyie Shemeji zangu nashindwa kuwaelewa sasa!

Dada zangu charminglady na mwallu mniambie vzr inakuaje Hawa Shemeji zangu wanahitilafiana kwa sababu yenu?
 
Last edited by a moderator:
Marihyaba @c6


Teh Teh Teh Teh Teh

Yani na nyie Shemeji zangu nashindwa kuwaelewa sasa!

Dada zangu charminglady na mwallu mniambie vzr inakuaje Hawa Shemeji zangu wanahitilafiana kwa sababu yenu?

Kaka yangu Ntuzu....shemeji yako kwangu unamfahamu..
 
Last edited by a moderator:
Salute kwako babu na hongera kwa bibi for the party she is giving you, no matter.....

I like this babu

Wewe mwenyewe unajua...

Ninao akina mama wawili tu dunia hii.....Bibi DC na Mama yake DC!! Bila hawa hakuna babu wala unyayo wake...

Sasa party ikizimika ghafla (if it may sadly happen) kwa nini nisishukuru?

Bila kufanya hivyo huwa tunakuwa watumwa wa mambo yasio na tija yoyote kwenye maisha yetu. Kuweza kusamehe kunatupa uwezo wa kuangalia mambo mapya kwa macho angavu zaidi.

Word!

Babu nimecheka hadi machozi yananitoka, kwani mwaaaah ya bibi huwa unaipokeaje?

Sisi hatufanyi mambo hayo bwana....

Tuna njia zetu ambazo bila shaka ni tofauti na zenu!

We bwana Jana usiku Mimi nimecheeeeeeka!

Unacheka nini wakati unaamua kumchokoza babu makusudi?

Na mbaya zaidi umemwita Fixed Point naye akaja kuharibu mambo. Habari za ex na mazaga zaga yao zinakujaje kwenye party takatifu?

Yaani huyu babu yangu Dark City anataka kutwambia amezeeka hadi zila laws za use and disuse zina apply moja kwa moja kwake.
Kweliametuhekesha. Lol

Tatizo lenu ni kudai ushahidi hata katima mambo ambayo hata kipofu anayaona!
 
Last edited by a moderator:
snowhite, tuna nini mimi na wewe?
Mstaafu Dark City, salamu zimefika....... msalimu sana bibi and the party should go on and on.......
Ila nikukumbushe tu hapa The Boss anasema usisahau kusema thank you for the party kwa wale waliopita, bibi yeye anashukuruwa na ataendelea kushukuruwa tu no matter what..... una choice na wewe ulishastaafu? ha haaaaa

Najua huu ni uchokozi kama wa mdogo wako snowhite....

Sasa wewe unaanzia wapi kuingiza mambo ya ....ya kale kwenye party yetu??

Natamani nikuone sasa hivi tumalizane!!
 
Last edited by a moderator:
The Boss,

Wadamu sisi ni watu wa ajabu sana, tunajua kuna mabaya na wabaya katika jamii zetu. Tunajua kuwa kuna makosa wanadamu tunafanya (regardless ni kwa bahati mbaya ama nzuri), na tunaelewa si wakati wote tunaweza kupata kile tunachokitaka ama kupanga.

Pamoja na kuelewa yote haya, bado huwa tunajisahau na kila mmoja wetu kupenda kujiona yupo special na hawezi kujitazama kwa misingi ya makosa ila kama malaika tu. Tunapenda sana kutafuta wa kumlaumu kila litokeapo lile ambalo hatujalipenda katika maisha yetu. Mfano huo wa mahusiano umetoa ni mfano mzuri sana, mafanikio ama kushindikana kwa mahusiano it takes two. Ni nadra utakuta mtu ata acknowledge mazuri ya ex wake, mara zote tunapenda kujipaka rangi ya kuwa ulikuwa bora kuliko mwenzio na lawama kibao.

Tukijifunza kukubali kuwa wanadamu tuna kasoro na madhaifu (na kwamba na sis ni moja wa wanadamu hao), kutakuwa na hekima na busara kabla ya kulamu.

snowhite, I am humbled. Nashukuru pia Dearest.

Veeeeeeeeeery classy!
Nimesikiaje raha
Mwaaaaah!
 
Najua huu ni uchokozi kama wa mdogo wako snowhite....

Sasa wewe unaanzia wapi kuingiza mambo ya ....ya kale kwenye party yetu??

Natamani nikuone sasa hivi tumalizane!!

Kaizer ukujeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Babu kaamua liwalo na liwe!
Fixed Point Apigweeeh tu!
Babu thank you!
Mwaaaaaaaah(demo inabadilika sasa ni we we na Dada kubwa!
 
Last edited by a moderator:
Aaaaaaaaaaaw! THANK YOU BABY WANGU, PIKO WA MOYO WANGU, MY LOVE, FRIEND, RELATIVE, PARTNER Matola for comming in my life! I will always love you, and you will have a special place in my heart always!
Safi sana!
Lakini just in case:
Kama maudhui ya uzi yanavyotuelekeza,
Mkizinguana.***'Thank you for the-party-before inahusuka'.
 
ooh!thank you ..it was beautful
kwa ma-x wangu woteee!
 
Kaizer ukujeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Babu kaamua liwalo na liwe!
Fixed Point Apigweeeh tu!
Babu thank you!
Mwaaaaaaaah(demo inabadilika sasa ni we we na Dada kubwa!

Ukitaka kuona mtoto mchokozi wa kutisha basi mtu hana haja ya kwenda mbali.....

Babu na demo wapi na wapi??
 
mbona unaanza kutuombea mabaya? au wewe ni muumini wa serikali ya nkataba?
Tunachotaka ni Tanzanyika yetu na Zanzibar huru.
Mkataba,Mka taba,Nkataba, MKAaTABAh haijalishi tuingie wapi yakhe!

Back to ze topic:
Nawaombea kila lililo jema kwenye uhusiano wako wewe na bibie mtata (nimuonavyo miye)
Hilo angalizo nimeweka tu 'Just in case' kwani ilishasemwa- Nothing lasts forever.
 
Wewe mwenyewe unajua...

Ninao akina mama wawili tu dunia hii.....Bibi DC na Mama yake DC!! Bila hawa hakuna babu wala unyayo wake...

Sasa party ikizimika ghafla (if it may sadly happen) kwa nini nisishukuru?



Word!



Sisi hatufanyi mambo hayo bwana....

Tuna njia zetu ambazo bila shaka ni tofauti na zenu!



Unacheka nini wakati unaamua kumchokoza babu makusudi?

Na mbaya zaidi umemwita Fixed Point naye akaja kuharibu mambo. Habari za ex na mazaga zaga yao zinakujaje kwenye party takatifu?



Tatizo lenu ni kudai ushahidi hata katima mambo ambayo hata kipofu anayaona!

Hahahahahaa...babu nakukubali sana mwaya.
Hakuna haja ya ushahidi tena
 
Letit go.
By T. D. Jakes

There are people who can walk away from you. And hear me when I tell you this!When people can walk away from you: LET THEM WALK!!

I don’t want you to try to talk another person into staying with you, lovingyou, calling you, caring about you, coming to see you, staying attached to you.I mean, hang up the phone.

When people can walk away from you let them walk. Your destiny is never tied to anybody that left.

The bible said that, they came out from us that it might be made manifest thatthey were not for us. For had they been of us, no doubt they would havecontinued with us. [1John 2:19]

People leave you because they are not joined to you. And if they are not joinedto you, you can’t make them stay. Let them go.

And it doesn’t mean that they are a bad person it just means that their part inthe story is over. And you’ve got to know when people’s part in your story isover so that you don’t keep trying to raise the dead. You’ve got to know whenit’s dead.

You’ve got to know when it’s over. Let me tell you something. I’ve got thegift of good-bye. It’s the tenth spiritual gift, I believe in good-bye.It’s not that I’m hateful, it’s that I’m faithful, and I know whateverGod means for me to have, He’ll give it to me. And if it takes too muchsweat I don’t need it. Stop begging people to stay.

Let them go!!
If you are holding on to something that doesn’t belong to you and was neverintended for your life, then you need to......

LET IT GO!!!If you are holding on to past hurts and pains ......

LET IT GO!!!If someone can’t treat you right, love you back, and see your worth.....

LET IT GO!!!If someone has angered you ........

LET IT GO!!!If you are holding on to some thoughts of evil and revenge......

LET IT GO!!!
If you are involved in a wrong relationship or addiction......

LET IT GO!!!
If you are holding on to a job that no longer meets your needs or talents .
LET IT GO!!!
If you have a bad attitude.......

LET IT GO!!!
If you keep judging others to make yourself feel better......

LET IT GO!!!!
If you’re stuck in the past and God is trying to take you to a new level inHim......

LET IT GO!!!
If you are struggling with the healing of a broken relationship.......

LET IT GO!!!
If you keep trying to help someone who won’t even try to help themselves......

LET IT GO!!!
If you’re feeling depressed and stressed ........

LET IT GO!!!
If there is a particular situation that you are so used to handling yourselfand God is saying “take your handsoff of it,” then you need to......

LET IT GO!!!
Let the past be the past. Forget the former things. GOD is doing a new thing.

LET IT GO!!!

Get Right or Get Left .. think about it, and then ..

LET IT GO!!!


cc. The Boss ladyfurahia snowhite Mtambuzi Ntuzu mwallu watu8 miss neddy benteke miss chagga Mr Rocky Mentor Heaven on Earth @et al

I wanted to read this again before I go to sleep
thank you for the useful post muuza ubuyu
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli TB lakini kwa upande mwingine kuna tofauti kidogo na matukio uliyotumia kufanya mlinganisho. Kwa mfano suala la watu kukufanyia fitina ufukuzwe kazi ni kwamba wanakuwa wamekusudia tofauti na hawa Spain wao hawakukusudia kutolewa kizembe vile ila ndo hivyo imetokea.
 
Ni kweli TB lakini kwa upande mwingine kuna tofauti kidogo na matukio uliyotumia kufanya mlinganisho. Kwa mfano suala la watu kukufanyia fitina ufukuzwe kazi ni kwamba wanakuwa wamekusudia tofauti na hawa Spain wao hawakukusudia kutolewa kizembe vile ila ndo hivyo imetokea.
Hata ukiwa chukia haisaidii...waambie tu inatosha ..all the best..
 
Back
Top Bottom