Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,252
- 11,648
Labda sikumwelewa The Boss, nilichoelewa ni kwamba tunatakiwa tukumbuke mazuri ya waliopita na siyo kuzungumzia mabaya tu. tunatakiwa tusema Thank you kwa starehe tulizopata tulipokuwa nao kwani kwa kuwa nao tu kunadhihirisha kuna mazuri yalikuwepo.......
Don't worry babu, tumeshayamaliza
Kweli utu uzima dawa aisee.....
Yaani hapa ndipo huwa nakuvulia kofia....
Ngoja nisiseme mengi ila kuna watu mna vipaji vya level ya stars kibao....
Ubarikiwe sana Fixed Point,
Last edited by a moderator: