Hii ni 'pure class'...

Hii ni 'pure class'...

nishauona...na utuache tulale
cc: Mentor

Hii staili ya kumtongoza mai waifu mwallu mi siikubali mkuu @c6...tuheshimiane sana aisee!

Wakati naswaga ng'ombe kupeleka kwa babu yake kule Ntuzu au wakati napeleka blanketi Gamboshi kwa nkwela muuza ubuyu naamini hukwepo na hukujua shida nilizopitia.

Mwache kabisa mke wangu mwallu..nampenda..nampenda..nampenda...
charminglady..mto mumeo hapa la sivyo next time utaitwa kwenda kumtambua Bugando Mortuary!!!
 
Last edited by a moderator:
Hii staili ya kumtongoza mai waifu mwallu mi siikubali mkuu @c6...tuheshimiane sana aisee!

Wakati naswaga ng'ombe kupeleka kwa babu yake kule Ntuzu au wakati napeleka blanketi Gamboshi kwa nkwela muuza ubuyu naamini hukwepo na hukujua shida nilizopitia.

Mwache kabisa mke wangu mwallu..nampenda..nampenda..nampenda...
charminglady..mto mumeo hapa la sivyo next time utaitwa kwenda kumtambua Bugando Mortuary!!!

Makopa Mengi sana kwako hubi.
 
Last edited by a moderator:
The Boss,

Wadamu sisi ni watu wa ajabu sana, tunajua kuna mabaya na wabaya katika jamii zetu. Tunajua kuwa kuna makosa wanadamu tunafanya (regardless ni kwa bahati mbaya ama nzuri), na tunaelewa si wakati wote tunaweza kupata kile tunachokitaka ama kupanga.

Pamoja na kuelewa yote haya, bado huwa tunajisahau na kila mmoja wetu kupenda kujiona yupo special na hawezi kujitazama kwa misingi ya makosa ila kama malaika tu. Tunapenda sana kutafuta wa kumlaumu kila litokeapo lile ambalo hatujalipenda katika maisha yetu. Mfano huo wa mahusiano umetoa ni mfano mzuri sana, mafanikio ama kushindikana kwa mahusiano it takes two. Ni nadra utakuta mtu ata acknowledge mazuri ya ex wake, mara zote tunapenda kujipaka rangi ya kuwa ulikuwa bora kuliko mwenzio na lawama kibao.

Tukijifunza kukubali kuwa wanadamu tuna kasoro na madhaifu (na kwamba na sis ni moja wa wanadamu hao), kutakuwa na hekima na busara kabla ya kulamu.

snowhite, I am humbled. Nashukuru pia Dearest.
 
Nani tena nkwela anataka kukusumbua?



Hii staili ya kumtongoza mai waifu mwallu mi siikubali mkuu @c6...tuheshimiane sana aisee!

Wakati naswaga ng'ombe kupeleka kwa babu yake kule Ntuzu au wakati napeleka blanketi Gamboshi kwa nkwela muuza ubuyu naamini hukwepo na hukujua shida nilizopitia.

Mwache kabisa mke wangu mwallu..nampenda..nampenda..nampenda...
charminglady..mto mumeo hapa la sivyo next time utaitwa kwenda kumtambua Bugando Mortuary!!!
 
Last edited by a moderator:
Awwwwwww ..What a nice msg!!!! Ukishukuru kwa kila jambo unakuwa na amani moyoni nami nasema 'thank you for having you it but I have to let you go'
 
Nani tena nkwela anataka kukusumbua?

kuna member anajiita C6 naona anakuja kwa staili ya kum-dis mai waifu ndo nisimshtukie anarusha mistari!


Nina hasira za kimasai mwambie..
 
Last edited by a moderator:
Nipo hapa kakangu.. Aisee... Hongera sana. Kitendo cha kumlainisha roho lara 1 hadi roho inadunda kwako linastahili pongezi. Nimefurahi sana! Best of Luck :cool2:

kila shetani na mbuyu wake, finally Lara she decide to be a woman not a gal anymore. i will introduce her officially to u.
 
Last edited by a moderator:
kila shetani na mbuyu wake, finally Lara she decide to be a woman not a gal anymore. i will introduce her officially to u.

Nasubiri kwa hamu Matola. Itabidi iwe dinner kabisa. :A S wink:
 
Ingawa inahusu world cup but inahusu hadi kwenye MMU .....Timu ya Spain ilikuwa ina mategemeo tele
kwa kila mshabiki wa timu hiyo....nina uhakika wapo walioweka pesa za kamari kwa timu hiyo..mamilioni .wapo waliosafiri kutoka Spain hadi Brazil...na kulanguliwa tiketi za dola 90 kwa kuuziwa dola 1000...na kadhalika...kilichotokea kila mtu anakijua...wamepigwa 5-1,halafu 2-0...out....na walifungwa kizembe pia..kipa wao Cassilas alisababisha magoli kadhaa
kocha nae akamng'ang'ania mechi ya pili na wachezaji wengine huku akiacha wachezaji tele bench wenye vipaji..sasa

Baada ya kufungwa na kutolewa kwa kipigo cha aibu nikawa najiuliza hasa mashabiki watakuwa na hasira kiasi gani kwa Cassilas na Kocha....na nini kitafuata.....je watawasulubu wachezaji na kocha? media zao zitasemaje?hasira zao zitatulizwa vipi?.......kilichotokea ndicho kilichonifurahisha....first mashabiki wamesikitika tu bila kutukana wala kulaumu sana..

Media za kwao ndo kabisa....wameweka picha za timu yao huku vichwa vya habari vikisema tu 'the end' wengine waliandika 'thank you' 'it was beautiful' na kadhalika...magazeti na mshabiki kwa ujumla yalikuwa yanatoa shukrani kwa wachezaji kwa 'mafanikio ya Spain toka mwaka 2008 walipokuwa mabingwa wa Ulaya,2010 mabingwa wa dunia,2012 tena mabingwa wa ulaya...mwandishi mmoja alisema 'it was the end of the six years party' thank you.. hakuna aliejishughulisha na what is...or what could have been na kadhalika...watu hasa media wametoa tu shukrani kwa ujumla kwa timu hii kwa kipindi chote walichowapa furaha ya ushindi... mpaka siku ile party ilipoisha...pure class

Tunaweza kujifunza....kitu hapo iwe mahusiano ya mtu na mtu au mtu na taasisi....siku yakiisha no matter how dissapointed you are...angalau shukuru for the' party before' ...kuliko ku spend muda mwingi kulaumu,kutukana kulalamika about the dissapointment.......ukifukuzwa kazi shukuru tu.sema thank you ..it was beautifull..sio kuwalaani watu waliokufanyia fitina milele hadi ukafukuzwa kazi...the same goes for broken hearts.. sometimes tukumbuke 'the party before' dissapointment na kusema thank you..it was beautifull.......and that is pure class...

mmmmh am speechless, u made me think twice again thanks, though aliyenileta kwenye huu uzi ni snowhite my former wifi, wifi snow asante kunikumbuka na kuni-appreciate pamoja sana.
 
Last edited by a moderator:
Imekaa poa The Boss....
Sio kuichukia nguo ilichakaa na kusahau ilikupendezesha kabla!!!
Ila kuna matimbili mengine ni balaa....hata muda wa kukumbuka wema unakua haupo! Best friend anakua adui mkubwa! Ni kama woga wa kuwa na adui anayefahamu udhaifu wako.

Umeongea the truth in a poetic way...thank you a lot
 
  • Thanks
Reactions: RR
The Boss,

Wadamu sisi ni watu wa ajabu sana, tunajua kuna mabaya na wabaya katika jamii zetu. Tunajua kuwa kuna makosa wanadamu tunafanya (regardless ni kwa bahati mbaya ama nzuri), na tunaelewa si wakati wote tunaweza kupata kile tunachokitaka ama kupanga.

Pamoja na kuelewa yote haya, bado huwa tunajisahau na kila mmoja wetu kupenda kujiona yupo special na hawezi kujitazama kwa misingi ya makosa ila kama malaika tu. Tunapenda sana kutafuta wa kumlaumu kila litokeapo lile ambalo hatujalipenda katika maisha yetu. Mfano huo wa mahusiano umetoa ni mfano mzuri sana, mafanikio ama kushindikana kwa mahusiano it takes two. Ni nadra utakuta mtu ata acknowledge mazuri ya ex wake, mara zote tunapenda kujipaka rangi ya kuwa ulikuwa bora kuliko mwenzio na lawama kibao.

Tukijifunza kukubali kuwa wanadamu tuna kasoro na madhaifu (na kwamba na sis ni moja wa wanadamu hao), kutakuwa na hekima na busara kabla ya kulamu.

snowhite, I am humbled. Nashukuru pia Dearest.


karibu sana....kuna mtu aliwahi sema kuna watu 7 billion why do you think you are special?
nikaona it make sense a lot....some people have pride na their pride inawafanya wajidanganye but wakiwa alone ukweli wanauona....
 
my lara 1 come this way ufanye appointment ya mtoko na wifi yako ili nifanye table reservation mapema.

kwa heshima ya Ashadii kwangu siwezi kumtambulisha kwako kienyejienyeji tu.
Naomba niwe host wa hii makitu tebo fo foo kwenye mghahawa wa faivu staa gharama zote juu yangu, naweka nadhiri wallah ................
 
Back
Top Bottom