Hii ni Part 2 ya Makalio Bar Temeke

Hii ni Part 2 ya Makalio Bar Temeke

Hakika wewe u kijana mwema sana. Leo ntakufanyia maombi.

Ha ha haaa, abarikiwe sio? Ila mleta uzi una akili sana, yaani umeleta kitu watu roho inapenda, ila wadau mkienda kama itabidi kufanya drilling basi chondechonde msiuze mechi, kumbukeni kuvaa jezi.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Napajua sana hapo.. ila huwa sipapendi bora ninywee pale kwa masangati kwa Anna 'binti mpoleeee'
 
Nipe ranan vizuri babu yakoi nikatize ya dunia

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Kwa wale ambao walisoma mkasa wa baa maarufu iliyoko Temeke Wailes iitwayo Junction Pub au Makalio Bar kama inavyofahamika na wengi, hii ni sehemu ya pili ya vituko vya baa hiyo.
Wiki hii nilipita tena katiba baa hiyo na kugundua kuwa Wahudumu wa baa hiyo licha ya kwamba wanavaa visketi vifupi lakini pia hawana chumba cha kubadilishia nguo yaani gheto kama ilivyo kwenye baa nyingine.
Wanachofanya wahudumu hao ikifika saa ya kuingia kazini yaani dakika chache kabla ya saa kumi jioni, wahudumu wanajibanza karibu na choo na kubadilisha nguo kweupee.
Kuonyesha chupi au matiti kwa wateja ni jambo la kawaida kwa wahudumu wa baa hii. Watu wengine kumbe wanakuja kwenye baa hii kusafisha macho; kuangalia mabumunda na mtindi. Kaazi kweli kweli...!

Nyuke bei gani?!
 
Mbeya kuna ------ pub huko wahudumu wake wanavaa madera tu na wote mashallha.
 
Tehetehe umenikumbusha mambo ya Arusha, mara ya kwanza kufika mwenyeji wangu akaniambia, ukishashuka KIA panda Shuttle za kunifikisha Arusha. Then nichukue tax kwenda MATA-KO BAR, nilijua utani wa rafiki nikauliza jina jingine akanitajia kitu kama Ausha Park. Nilipofika arusha niaona kaa kusema MATA-KO BAR ni tusi nikamuelekeza tax dreva anipeleke Arusha Park, niliposhuka kumpigia mwenyeji ananielekeza mazingira tofauti, tax dreva akaniuliza au ni MATA-KO BAR nikasema ndiyo. Bwana wee kufika hapo wahudumu wote wanavuta tela na watu ni nyomi kuona uumbaji.
 
Tehetehe umenikumbusha mambo ya Arusha, mara ya kwanza kufika mwenyeji wangu akaniambia, ukishashuka KIA panda Shuttle za kunifikisha Arusha. Then nichukue tax kwenda MATA-KO BAR, nilijua utani wa rafiki nikauliza jina jingine akanitajia kitu kama Ausha Park. Nilipofika arusha niaona kaa kusema MATA-KO BAR ni tusi nikamuelekeza tax dreva anipeleke Arusha Park, niliposhuka kumpigia mwenyeji ananielekeza mazingira tofauti, tax dreva akaniuliza au ni MATA-KO BAR nikasema ndiyo. Bwana wee kufika hapo wahudumu wote wanavuta tela na watu ni nyomi kuona uumbaji.

Christmas nakuja Arusha siendi Rombo
 
Back
Top Bottom