Mkuu ishia hapohapo. utasababisha foleni.
Mkuu na wewe unapataga hiyo huduma?
Mkuu ishia hapohapo. utasababisha foleni.
Hakika wewe u kijana mwema sana. Leo ntakufanyia maombi.
Unajua maana ya kunawa?
Sisi ni kitu kimoja. Basi fanya ma inbox - nadorection nikupitie tuanze safari. Babu atakuja mwenyewe
naijulia wapi!!!!niambie ni nini
Map reading
Kwa wale ambao walisoma mkasa wa baa maarufu iliyoko Temeke Wailes iitwayo Junction Pub au Makalio Bar kama inavyofahamika na wengi, hii ni sehemu ya pili ya vituko vya baa hiyo.
Wiki hii nilipita tena katiba baa hiyo na kugundua kuwa Wahudumu wa baa hiyo licha ya kwamba wanavaa visketi vifupi lakini pia hawana chumba cha kubadilishia nguo yaani gheto kama ilivyo kwenye baa nyingine.
Wanachofanya wahudumu hao ikifika saa ya kuingia kazini yaani dakika chache kabla ya saa kumi jioni, wahudumu wanajibanza karibu na choo na kubadilisha nguo kweupee.
Kuonyesha chupi au matiti kwa wateja ni jambo la kawaida kwa wahudumu wa baa hii. Watu wengine kumbe wanakuja kwenye baa hii kusafisha macho; kuangalia mabumunda na mtindi. Kaazi kweli kweli...!
Nakusubiri PM ujue.
which is!!!!!!!!!!
Kushikwa shikwa au kutomaswa tomaswa. Kama hujaelewa njoo nikuonyeshe Map Reading ilivyo
hahhaa nataka practically hii ni theoretically sijaelewa kabisaaaaa
Watakatifu huwa hatunyimani ibada. Kaweke kambi kwenye inbox yako.
Hata huku ninapoishi kuna bar inaitwa `------ Bar' yaani kama uko ndoani usikanyage kbs hapo kwani ni lazima uzini hata kama uwe kardinali!
Tehetehe umenikumbusha mambo ya Arusha, mara ya kwanza kufika mwenyeji wangu akaniambia, ukishashuka KIA panda Shuttle za kunifikisha Arusha. Then nichukue tax kwenda MATA-KO BAR, nilijua utani wa rafiki nikauliza jina jingine akanitajia kitu kama Ausha Park. Nilipofika arusha niaona kaa kusema MATA-KO BAR ni tusi nikamuelekeza tax dreva anipeleke Arusha Park, niliposhuka kumpigia mwenyeji ananielekeza mazingira tofauti, tax dreva akaniuliza au ni MATA-KO BAR nikasema ndiyo. Bwana wee kufika hapo wahudumu wote wanavuta tela na watu ni nyomi kuona uumbaji.
Wewe unanichomesha mahindi mie!!!!!
Mkuu na wewe unapataga hiyo huduma?