Rich Pol
JF-Expert Member
- Oct 11, 2013
- 7,877
- 5,694
Nipe dairekshen puliiz!!!
Nipo juction pub au ------ bar! Ktk research yangu, Nilichogungua kwanza cha kwanza Owner wa hii pub ni kama jina la pub yake, ukiwa na vitz ukimpakia kesho ukanunue shock up mpya! Sijui kama na yeye atakubari kupanda! Pili wahudumu wana njaa sana, Tatu ukiwa hapa simu kupokea mpaka toilet au barabarani muziki uko juu sana japo watu wanaangalia mpira, mwisho huwezi kukaa na mtu wako unaemheshimu.
Body without head