Temeke wapi hiyo,tujuze
katika kitu ambacho Mungu ametujaalia kama kipaji na the best gift ni hiki! Wengine wakazana kufikitia science na tevhnolojia ngumu ngumu mpk wananyonyoka nywele! Sisi aka tunafikiria ni baa gani inawanawake wazuri!
Temeke wapi hiyo,tujuze
Dogo acha utani! .... kwetu huko naingia next week, sitaki mambo ya viwanja vikubwa (actually siyawezi).Ikifika saa tatu ndio balaa maana wahudumu wanakaa juu ya mapaja ya wanaume. Wale mabingwa wa kunawa hapo ndio kambi yao.
weeee hebu rudi huku
Umemdaka pazuri...!!? anataka akawakague hao wahudumu kama ni salama kwa matumizi ya wateja!?
Wewe unanichomesha mahindi mie!!!!!
Achana na ODM bhana.. karibu nipo hapa Lumo pub mida hii..
Tehetehe umenikumbusha mambo ya Arusha, mara ya kwanza kufika mwenyeji wangu akaniambia, ukishashuka KIA panda Shuttle za kunifikisha Arusha. Then nichukue tax kwenda MATA-KO BAR, nilijua utani wa rafiki nikauliza jina jingine akanitajia kitu kama Ausha Park. Nilipofika arusha niaona kaa kusema MATA-KO BAR ni tusi nikamuelekeza tax dreva anipeleke Arusha Park, niliposhuka kumpigia mwenyeji ananielekeza mazingira tofauti, tax dreva akaniuliza au ni MATA-KO BAR nikasema ndiyo. Bwana wee kufika hapo wahudumu wote wanavuta tela na watu ni nyomi kuona uumbaji.
ni wapi mzee hiyo kitu. najitolea nauli ya taxi
Kwa wale ambao walisoma mkasa wa baa maarufu iliyoko Temeke Wailes iitwayo Junction Pub au Makalio Bar kama inavyofahamika na wengi, hii ni sehemu ya pili ya vituko vya baa hiyo.
Wiki hii nilipita tena katiba baa hiyo na kugundua kuwa Wahudumu wa baa hiyo licha ya kwamba wanavaa visketi vifupi lakini pia hawana chumba cha kubadilishia nguo yaani gheto kama ilivyo kwenye baa nyingine.
Wanachofanya wahudumu hao ikifika saa ya kuingia kazini yaani dakika chache kabla ya saa kumi jioni, wahudumu wanajibanza karibu na choo na kubadilisha nguo kweupee.
Kuonyesha chupi au matiti kwa wateja ni jambo la kawaida kwa wahudumu wa baa hii. Watu wengine kumbe wanakuja kwenye baa hii kusafisha macho; kuangalia mabumunda na mtindi. Kaazi kweli
Mmmmmh napitaga lkn mambo hayo cjui kama kweli unayosema...!? Au unausika na bar hiyo wataka kutafuta wateja humu jamvini,maaaaana.............!?
Singida
Achana na ODM bhana.. karibu nipo hapa Lumo pub mida hii..
Najua uko Sugar ray au Sigara club acha kumdanganya Ennie wangu. Mi na Ennie hatujakutana PM
naijulia wapi!!!!niambie ni nini
which is!!!!!!!!!!
Nakuja mwenyekiti
binamu wanishangaza sana.. hujui kunawa...?
Umewapa bonge la promo.weekend hii patakuwa hapatoshiMimi napajua. Ukitaka kufika panda gari shuka Temeke Hospitali; fuata barabara ya lami iendayo uwanja wa taifa. Mbele baada ya shule ya Wailesi kuna baa ya makuti mkono wa kushoto. Pembeni yake ndio kuna hiyo baa ya wahudumu wanaokaa uchi. Watu wengi wanapapenda sana kwenda kuona vitumbua vilivyojaa kwenye chupi.