Hii ni Part 2 ya Makalio Bar Temeke

Hii ni Part 2 ya Makalio Bar Temeke

Wea iz it plz????? Ngoja niuze haya mahindi lazima nikajionee vitumbua.
 
Taratibu kiongozi,
hiyo bar naifahamu vzr,ni ya mhimu sana pande hizo,
hilo jambo ni la kuvumiliana kidogo wkt tunajitahidi kufanya marekebisho,
ila uache umbea mkuu,ila
ki kawaida hakuna choo cha cha kubadirisha nguo huku ukionekana,
acha ushababi.
 
Kwa wale ambao walisoma mkasa wa baa maarufu iliyoko Temeke Wailes iitwayo Junction Pub au Makalio Bar kama inavyofahamika na wengi, hii ni sehemu ya pili ya vituko vya baa hiyo.
Wiki hii nilipita tena katiba baa hiyo na kugundua kuwa Wahudumu wa baa hiyo licha ya kwamba wanavaa visketi vifupi lakini pia hawana chumba cha kubadilishia nguo yaani gheto kama ilivyo kwenye baa nyingine.
Wanachofanya wahudumu hao ikifika saa ya kuingia kazini yaani dakika chache kabla ya saa kumi jioni, wahudumu wanajibanza karibu na choo na kubadilisha nguo kweupee.
Kuonyesha chupi au matiti kwa wateja ni jambo la kawaida kwa wahudumu wa baa hii. Watu wengine kumbe wanakuja kwenye baa hii kusafisha macho; kuangalia mabumunda na mtindi. Kaazi kweli kweli...!


anagalia kama wanavaaga chupi kwa ndani unijulishe mi
ni mpenzi wa fasta ikiwa na ndom sijui wewe
ahsante kwa taarifa
 
Kuna umuhimu wa kwenda mahala hapo kutoa gundu na msongo wa mawazo inapobidi.
 
Hata huku ninapoishi kuna bar inaitwa `------ Bar' yaani kama uko ndoani usikanyage kbs hapo kwani ni lazima uzini hata kama uwe kardinali!
 
Back
Top Bottom