Hii ni Part 2 ya Makalio Bar Temeke

Hii ni Part 2 ya Makalio Bar Temeke

Mkuu ishia hapohapo. utasababisha foleni.

Ha ha haaaa! mastori km haya pipo hawaondoki onLINE! m2 mweupe akiamka Kitu cha kwanza kushika nikichwa kwamaana yakuumiza AKILI lkn m2 Mweusi akiamka kitu ya kwanza kushika mavituz huko chini maana hiyo ndo hazina yake! kaazi kweli kweli
 
Kwa wale ambao walisoma mkasa wa baa maarufu iliyoko Temeke Wailes iitwayo Junction Pub au Makalio Bar kama inavyofahamika na wengi, hii ni sehemu ya pili ya vituko vya baa hiyo.
Wiki hii nilipita tena katiba baa hiyo na kugundua kuwa Wahudumu wa baa hiyo licha ya kwamba wanavaa visketi vifupi lakini pia hawana chumba cha kubadilishia nguo yaani gheto kama ilivyo kwenye baa nyingine.
Wanachofanya wahudumu hao ikifika saa ya kuingia kazini yaani dakika chache kabla ya saa kumi jioni, wahudumu wanajibanza karibu na choo na kubadilisha nguo kweupee.
Kuonyesha chupi au matiti kwa wateja ni jambo la kawaida kwa wahudumu wa baa hii. Watu wengine kumbe wanakuja kwenye baa hii kusafisha macho; kuangalia mabumunda na mtindi. Kaazi kweli kweli...!

Doh....!!
Mkuu, nikirudi Tz lazima nitie mguu hapo maana pananihusu. Asante kwa taarifa
 
Mimi napajua. Ukitaka kufika panda gari shuka Temeke Hospitali; fuata barabara ya lami iendayo uwanja wa taifa. Mbele baada ya shule ya Wailesi kuna baa ya makuti mkono wa kushoto. Pembeni yake ndio kuna hiyo baa ya wahudumu wanaokaa uchi. Watu wengi wanapapenda sana kwenda kuona vitumbua vilivyojaa kwenye chupi.

Ahsanta mkuu
 
shetani anatikuzwa kiliko Mungu mwenyewe, ole wako we mwanadamu ushabikiaye mambo ya dunia hii yasiyompendeza Mungu
 
Picha hii hapa
 

Attachments

  • 2013-12-06 16.14.30.jpg
    2013-12-06 16.14.30.jpg
    487.8 KB · Views: 279
Mimi napajua. Ukitaka kufika panda gari shuka Temeke Hospitali; fuata barabara ya lami iendayo uwanja wa taifa. Mbele baada ya shule ya Wailesi kuna baa ya makuti mkono wa kushoto. Pembeni yake ndio kuna hiyo baa ya wahudumu wanaokaa uchi. Watu wengi wanapapenda sana kwenda kuona vitumbua vilivyojaa kwenye chupi.

kwa hii ramani lazima mtu apotee!
mi napafahamu lakini chichemi
 
Back
Top Bottom