Mkuu ishia hapohapo. utasababisha foleni.
Kwa wale ambao walisoma mkasa wa baa maarufu iliyoko Temeke Wailes iitwayo Junction Pub au Makalio Bar kama inavyofahamika na wengi, hii ni sehemu ya pili ya vituko vya baa hiyo.
Wiki hii nilipita tena katiba baa hiyo na kugundua kuwa Wahudumu wa baa hiyo licha ya kwamba wanavaa visketi vifupi lakini pia hawana chumba cha kubadilishia nguo yaani gheto kama ilivyo kwenye baa nyingine.
Wanachofanya wahudumu hao ikifika saa ya kuingia kazini yaani dakika chache kabla ya saa kumi jioni, wahudumu wanajibanza karibu na choo na kubadilisha nguo kweupee.
Kuonyesha chupi au matiti kwa wateja ni jambo la kawaida kwa wahudumu wa baa hii. Watu wengine kumbe wanakuja kwenye baa hii kusafisha macho; kuangalia mabumunda na mtindi. Kaazi kweli kweli...!
Nakusubiri PM ujue.
Mimi napajua. Ukitaka kufika panda gari shuka Temeke Hospitali; fuata barabara ya lami iendayo uwanja wa taifa. Mbele baada ya shule ya Wailesi kuna baa ya makuti mkono wa kushoto. Pembeni yake ndio kuna hiyo baa ya wahudumu wanaokaa uchi. Watu wengi wanapapenda sana kwenda kuona vitumbua vilivyojaa kwenye chupi.
Ikifika saa tatu ndio balaa maana wahudumu wanakaa juu ya mapaja ya wanaume. Wale mabingwa wa kunawa hapo ndio kambi yao.
Enyi kizazi cha nyoka ni nani kawaloga?
Nakuletea list pm
Watu wengi wanapapenda sana kwenda kuona vitumbua vilivyojaa kwenye chupi.
Elli na wewe pia mpwa wangu!!!............nimecheka sana tu JF raha wajamen
Mimi napajua. Ukitaka kufika panda gari shuka Temeke Hospitali; fuata barabara ya lami iendayo uwanja wa taifa. Mbele baada ya shule ya Wailesi kuna baa ya makuti mkono wa kushoto. Pembeni yake ndio kuna hiyo baa ya wahudumu wanaokaa uchi. Watu wengi wanapapenda sana kwenda kuona vitumbua vilivyojaa kwenye chupi.