Hii ndiyo mikoa yenye wanawake wavumilivu katika ndoa

kyanyangwe

JF-Expert Member
Oct 31, 2018
1,147
2,746
Wakuu, za siku nyingi?

Ebana nilikua busy na kautafiti kanakohusu mikoa ya Tanzania

yenye makabila yenye wanawake wavumiivu katika ndoa na haya ndio matokeo ya kautafiti kangu.

1. Iringa
2. Mara
3. Shinyqnga
4. Mwanza
5. Kigoma
6. Simiyu
7. Geita.
8. Mbeya
9. Ruvuma
10. Njombe
11. Tabora
12. Dodoma
 
Mama yangu wa iringa,mtoa mada kunywa pepsi
Mwanamke wa iringa usijidanganye wengi wanaviburi,malaya na walevi kuna idadi kubwa ya wanawake single maza huu mkoa

Wabena na wakinga wapo vizuri watakufaa kama unamalengo yakufika mbali kiuchumi

Wasukuma wapo vizuri sana ila kuna wengine walikuja mjini wanashida wanaulimbukeni

Wanawake wa tanga wapo vizuri pia
 
Wakuu, za siku nyingi?
Ebana nilikua busy na kautafiti kanakohusu mikoa ya Tanzania
yenye makabila yenye wanawake wavumiivu katika ndoa na haya ndio matokeo ya kautafiti kangu.
1.Iringa
2.Mara
3.Shinyqnga
4.Mwanza
5.Mwanza
6.Simiyu
7.Geita.
8.Mbeya
9.Ruvuma
10.Njombe
11.Tabora
12.Dodoma
Sisi hatuhitaji wanawake wavumilivu halafu tunachapiwa
 
Back
Top Bottom