chief_mtemi
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 529
- 121
Mbonamnakuwa na chuki za kijinga na azani,hajakuchukulia mama ako unaleta pumba hapa mbona cv ya baba ako huiweke.sasa iyo ndo cv yake so what?
bora nilihama jimbo la kinondoni na sasa nipo jimbo la Ubungo.
Hahahahahah]
#hatari hii!/ni ujanja ujanja tu,tungepata CV ya jamaa aliemnyang'a malecela sijui ikoje?mwenye nayo?
Mbonamnakuwa na chuki za kijinga na azani,hajakuchukulia mama ako unaleta pumba hapa mbona cv ya baba ako huiweke.sasa iyo ndo cv yake so what?
Kwa mujibu wa kanuni za chaguzi za CCM, sifa ya elimu anayotakiwa kuwa nayo mbunge ni Elimu ya Darasa la Saba. Nadhani mjadala ukielekea huko utakuwa na tija zaidi ili kama kuna haja ya kufanya marekebisho basi hoja zijengwe in that context. Vinginevyo kwa mujibu wa kanuni za chaguzi za CCM, Mheshimiwa Azzan ni mbunge halali kwani Per kanuni za chama cha mapinduzi as of today, mgombea akiwa na kiwango cha elimu cha form four, form six, certificate, diploma, degree, n.k, hiyo inachukuliwa kama ni ziada tu na haipewi uzito na vikao vya kupitisha/kuchuja wagombea. Suala la elimu kwa sasa ni suala la wapiga kura mmoja kwa mmoja kuwa na uelewa tu kwamba je, itumike kama kigezo au lah.
Na mara nyingi ukiwa mgombea mwenye elimu kubwa, ni kawaida sana kujengewa fitina kwamba umechakachua au kampeni zako haziwatendei haki wagombea wasio na elimu, au kwamba peleka elimu yako kwingine ukajenge taifa, sio kwenye nafasi ya ubunge kwani mujibu wa kanuni ya CCM, darasa la saba linatosha, na wananchi hawana haja ya kuzingatia kiwango cha elimu kama ni kigezo cha kukuchagua kama mgombea/mbunge. Nadhani mjadala ungeelekezwa zaidi juu ya kanuni hii badala ya kumjadili Mh Azzan ambae katika mazingira haya, hana hatia na ni mwakilishi halali wa wananchi wa jimbo la Kinondoni.
Suala la Azan kuuza unga si la leo na wala siyo issue ya kuwa na chuki naye, huyu yanki anafahamika sana pale Kino kwa hii biashara na ana mtandao mzuri tu kwani imebainika kuwa anakula na wakubwa. Mh. Sumaye si mjinga kusema kwamba iko siku tutakuja kutawaliwa na wauza unga, si mnaona elimu na wasifu wake ziro, hamna kitu kichwani halafu kesho aje kuwa rais mnafikiri itakuwaje. Hii si chuki baki ukweli lazima usemwe tu.
kwahyo ni zungu la sembe?
Ahh, tanzania ni tanzaniatu haiwezi kuwa marekani. Hakuna uafadhali hapo, std 7 na profesa wote wote wezi, na katika akili wote mbumbumbu. Kawambwa, maghembe, Ghasia wote mbona janga la taifa tu? Mujini mipango nye pigeni kélele mpaka midomo iwakauke.