Hii ndiyo CV ya Idd Azzan

Kaa la Moto

JF-Expert Member
Apr 24, 2008
7,903
1,053
Member of Parliament CV

GENERAL
SalutationHonourableMember picture
1346.jpg
First Name: Idd
Middle Name:Mohamed
Last Name:Azzan
Member Type:Constituency Member
Constituent:Kinondoni
Political Party:CCM
Office Location:P.O. Box 22227, Dar es Salaam
Office Phone: +255 713 222201/+255 754 000349
Ext.:
Office Fax: +255 22 2170082
Office E-mail: iazzan@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 8 July 1965
EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start DateEnd DateLevel
Magomeni Primary SchoolPrimary Education19771979PRIMARY
University Computer CentreCertificate in Computer Course20012001CERTIFICATE
Eastern & Southern African Management Institute (ESAMI)Certificate20022004CERTIFICATE
Dar City CollegeDiploma (Management)20042005DIPLOMA
Institute of Adult Education - Dar es SalaamSecondary Education20022003SECONDARY
Local Government Training Institute - Hombolo, DodomaCertificate20032004CERTIFICATE
Vuluni Primary School, MomboPrimary Education19731976PRIMARY
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From DateTo Date
The Parliament of TanzaniaMember - Kinondoni Constituency20052015
Dar es Salaam - Football Association of Tanzania (FAT)Chairman2004To date
Twiga Sports ClubDirector2001To date
Football Association of Tanzania (FAT)- (Kinondoni)Chairman20002004
Kinondoni Municipal CouncilCouncilor20002005
Simba Sports Club -Dar es SalaamManager19982001
Private CompanyManaging Director1990To date
Private CompanyDirector19852005
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/LocationPositionFromTo
Chama Cha Mapinduzi - CCMChairman of Parents Team20042007
Chama Cha Mapinduzi - CCMMember of National Committee20032008
Chama Cha Mapinduzi - CCMWard Councilor20002005
Chama Cha Mapinduzi - CCMYouth Commander (UVCCM-Magomeni Ward)19962000
Chama Cha Mapinduzi - CCMYouth Commander (UVCCM)19921996


Source:Parliament of Tanzania


Akianani vile hii ndio ccm!
 
Jiulize tangu 1979 hadi 2001 alikuwa anafanya nini?
Inaonekana 1985 alikuwa director wa kampuni ya kimachinga (Hajaitaja)
Alafu baada ya miaka 5 hata hajaongeza kisomo ni MD wa kampuni isiyojulikana! lazima itakuwa ni ya briefcase
1998 Meneja wa Simba na hapo aligundua sasa huwezi kuwa meneja bila kisomo kaenda kusomea certificate ESAMI

Sasa tukijiuliza kwa nini hata vilabu vyetu havina mafanikio, au kwa nini soka letu ni bofu bofu miaka yote tunaona ni maswali magumu??? Vilabu vinaongozwa na uneducated!!!! Na fikiri tumewaingiza bungeni what next???

Moja ya sababu kubwa ya kusoma ni kupanua ubongo uweze kuchanganua mambo. Hapa utegemee kusikia "ndiooooooooooo nakubaliana kwa asilimia 100"
 
Kimbunga hii cv utagundua ni ya kuundaunda na imefanywa hivyo kuwababaisha wana ccm! Lakini yeye, Lusinde, Maji marefu na wengine unaoendelea kuwafuatilia hamna kitu.
Ngoja tuangalia na viti maalu huko ndio kabisa!
 
Last edited by a moderator:
CCM kichefuchefu tu!

Kuna nchi hapa East Africa inayoweza kuwa na Mbunge kama huyu?
Hebu tusogee pale DRC, yupo?

Mtu kama huyu alistahili kuwa mbunge kwenye serikali itakayoundwa na Joseph Kony pale Uganda. Basi!

Kuna haya mambo ya uwakilishi wa kila kundi, labda huyu anawawakilisha wasiojua kusoma na Kuandika kinyume cha katiba. Kweli hata zezeta watapeleka mwakilishi.
 
Kwa mujibu wa kanuni za chaguzi za CCM, sifa ya elimu anayotakiwa kuwa nayo mbunge ni Elimu ya Darasa la Saba. Nadhani mjadala ukielekea huko utakuwa na tija zaidi ili kama kuna haja ya kufanya marekebisho basi hoja zijengwe in that context. Vinginevyo kwa mujibu wa kanuni za chaguzi za CCM, Mheshimiwa Azzan ni mbunge halali kwani Per kanuni za chama cha mapinduzi as of today, mgombea akiwa na kiwango cha elimu cha form four, form six, certificate, diploma, degree, n.k, hiyo inachukuliwa kama ni ziada tu na haipewi uzito na vikao vya kupitisha/kuchuja wagombea. Suala la elimu kwa sasa ni suala la wapiga kura mmoja kwa mmoja kuwa na uelewa tu kwamba je, itumike kama kigezo au lah.

Na mara nyingi ukiwa mgombea mwenye elimu kubwa, ni kawaida sana kujengewa fitina kwamba umechakachua au kampeni zako haziwatendei haki wagombea wasio na elimu, au kwamba peleka elimu yako kwingine ukajenge taifa, sio kwenye nafasi ya ubunge kwani mujibu wa kanuni ya CCM, darasa la saba linatosha, na wananchi hawana haja ya kuzingatia kiwango cha elimu kama ni kigezo cha kukuchagua kama mgombea/mbunge. Nadhani mjadala ungeelekezwa zaidi juu ya kanuni hii badala ya kumjadili Mh Azzan ambae katika mazingira haya, hana hatia na ni mwakilishi halali wa wananchi wa jimbo la Kinondoni.
 
Acheni Kejeli. Fursa za vyuo zilikiwa chache. Wewe umebahatika. Hata ndugu zako wengi hawakujaliwa kupata hiyo fursa. Kumbuka kodi ya baba yake Azzan zililipia gharama za Chuo ulipokuwa unatafuta degree zako. Acheni Dharau.



acha kuwa dhaifu kwa kutetea uzembe wewe.....angekua mtu wa kusoma angesoma tu mbona lyatonga kasoma hadi juzijuzi tuu!!??

kama ni mtu wako wa karibu mwambie aanze QT pale perfect vision
 

Similar Discussions

5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom