Vp CV ya Mh. Mbowe, our chairman? Somebody bring it here!
Jimbo la ubunge la KINONDONI ndio jimbo linalokaliwa na wasomi wengi kuliko jimbo jingine Tanzania. Mbunge wake ni kati ya wale wawili wasio na elimu Tz yaani Maji machafu na Azam. Hii inatupa picha gani ? wasomi mnatuaibisha.
Kwa mujibu wa kanuni za chaguzi za CCM, sifa ya elimu anayotakiwa kuwa nayo mbunge ni Elimu ya Darasa la Saba. Nadhani mjadala ukielekea huko utakuwa na tija zaidi ili kama kuna haja ya kufanya marekebisho basi hoja zijengwe in that context. Vinginevyo kwa mujibu wa kanuni za chaguzi za CCM, Mheshimiwa Azzan ni mbunge halali kwani Per kanuni za chama cha mapinduzi as of today, mgombea akiwa na kiwango cha elimu cha form four, form six, certificate, diploma, degree, n.k, hiyo inachukuliwa kama ni ziada tu na haipewi uzito na vikao vya kupitisha/kuchuja wagombea. Suala la elimu kwa sasa ni suala la wapiga kura mmoja kwa mmoja kuwa na uelewa tu kwamba je, itumike kama kigezo au lah.
Na mara nyingi ukiwa mgombea mwenye elimu kubwa, ni kawaida sana kujengewa fitina kwamba umechakachua au kampeni zako haziwatendei haki wagombea wasio na elimu, au kwamba peleka elimu yako kwingine ukajenge taifa, sio kwenye nafasi ya ubunge kwani mujibu wa kanuni ya CCM, darasa la saba linatosha, na wananchi hawana haja ya kuzingatia kiwango cha elimu kama ni kigezo cha kukuchagua kama mgombea/mbunge. Nadhani mjadala ungeelekezwa zaidi juu ya kanuni hii badala ya kumjadili Mh Azzan ambae katika mazingira haya, hana hatia na ni mwakilishi halali wa wananchi wa jimbo la Kinondoni.
wewe lazima Azan anakufanya kinyume nyume. Issue hapa ni Azan wewe unataja majina ya wengine. kampanguse huyo bashar wako na wewe ukaoge. najisi wewe.
Mbonamnakuwa na chuki za kijinga na azani,hajakuchukulia mama ako unaleta pumba hapa mbona cv ya baba ako huiweke.sasa iyo ndo cv yake so what?
Kwa mujibu wa kanuni za chaguzi za CCM, sifa ya elimu anayotakiwa kuwa nayo mbunge ni Elimu ya Darasa la Saba. Nadhani mjadala ukielekea huko utakuwa na tija zaidi ili kama kuna haja ya kufanya marekebisho basi hoja zijengwe in that context. Vinginevyo kwa mujibu wa kanuni za chaguzi za CCM, Mheshimiwa Azzan ni mbunge halali kwani Per kanuni za chama cha mapinduzi as of today, mgombea akiwa na kiwango cha elimu cha form four, form six, certificate, diploma, degree, n.k, hiyo inachukuliwa kama ni ziada tu na haipewi uzito na vikao vya kupitisha/kuchuja wagombea. Suala la elimu kwa sasa ni suala la wapiga kura mmoja kwa mmoja kuwa na uelewa tu kwamba je, itumike kama kigezo au lah.
Na mara nyingi ukiwa mgombea mwenye elimu kubwa, ni kawaida sana kujengewa fitina kwamba umechakachua au kampeni zako haziwatendei haki wagombea wasio na elimu, au kwamba peleka elimu yako kwingine ukajenge taifa, sio kwenye nafasi ya ubunge kwani mujibu wa kanuni ya CCM, darasa la saba linatosha, na wananchi hawana haja ya kuzingatia kiwango cha elimu kama ni kigezo cha kukuchagua kama mgombea/mbunge. Nadhani mjadala ungeelekezwa zaidi juu ya kanuni hii badala ya kumjadili Mh Azzan ambae katika mazingira haya, hana hatia na ni mwakilishi halali wa wananchi wa jimbo la Kinondoni.
Ya Zungu ni hii hapa kaka/dada!
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 5, align: left"]EDUCATION[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="width: 35%"]School Name/Location [/TH]
[TH="width: 27%"]Course/Degree/Award [/TH]
[TH="width: 15%, align: center"]Start Date[/TH]
[TH="width: 13%, align: center"]End Date[/TH]
[TH="width: 10%, align: center"]Level[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Tambaza Secondary School[/TD]
[TD="align: center"]Ordinary Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1968[/TD]
[TD="align: center"]1969[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanzania/NCC[/TD]
[TD="align: center"]Procurement Course[/TD]
[TD="align: center"][/TD]
[TD="align: center"]2002[/TD]
[TD="align: center"]DIPLOMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Cairo[/TD]
[TD="align: center"]Diplomatic Studies[/TD]
[TD="align: center"][/TD]
[TD="align: center"]2007[/TD]
[TD="align: center"]DIPLOMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Military College of Aviation[/TD]
[TD="align: center"]Aviation Studies[/TD]
[TD="align: center"]1970[/TD]
[TD="align: center"]1973[/TD]
[TD="align: center"]ADV DIPLOMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Sound Air Canada[/TD]
[TD="align: center"]Aviation Studies[/TD]
[TD="align: center"]1979[/TD]
[TD="align: center"]1980[/TD]
[TD="align: center"]ADV DIPLOMA[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]EMPLOYMENT HISTORY [/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]Company Name [/TH]
[TH="align: center"]Position [/TH]
[TH="align: center"]From Date[/TH]
[TH="align: center"]To Date[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Public Procuring Regulator Authority[/TD]
[TD]Board Director[/TD]
[TD="align: center"]2007[/TD]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]The Parliament of Tanzania[/TD]
[TD]Member - Ilala Constituency[/TD]
[TD="align: center"]2005[/TD]
[TD="align: center"]2015[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ilalla Municipal[/TD]
[TD]Deputy Mayor[/TD]
[TD="align: center"]2003[/TD]
[TD="align: center"]2005[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ilala Municipal[/TD]
[TD]Councilor[/TD]
[TD="align: center"]2001[/TD]
[TD="align: center"]2002[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]UAE[/TD]
[TD]Material Manager[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[TD="align: center"]1993[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Military College of Aviation[/TD]
[TD]Principal Aircraft Maintanance Engineer[/TD]
[TD="align: center"]1970[/TD]
[TD="align: center"]1982[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]POLITICAL EXPERIENCE [/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="class: text_menu, width: 47%"]Ministry/Political Party/Location [/TH]
[TH="class: text_menu, width: 31%, align: center"]Position [/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%, align: center"]From[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%, align: center"]To[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Commonwealth Parliamentary Association Tanzania Br[/TD]
[TD]Chairman[/TD]
[TD="align: center"]2011[/TD]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]City Council Investment Committee[/TD]
[TD]Chairman[/TD]
[TD="align: center"]2007[/TD]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Foreign,Defence Home Security Committee[/TD]
[TD]Vice Chairman[/TD]
[TD="align: center"]2007[/TD]
[TD="align: center"]2011[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
kabla ya umri1970 mfumo wa elimu ulikuwa hadi darasa la nane na kuendelea .jamaa kasoma tambaza o level 2yrs nadhani mfumo mpya ulikuwa haujatengemaa .otherwise ananlea cv nzuri tu ni mtaalamu wa aircraft
| Salutation | Honourable |
| First Name: | Livingstone |
| Middle Name: | Joseph |
| Last Name: | Lusinde |
| Constituent: | Mtera |
| Political Party: | CCM |
| Office Location: | Box 50, Dodoma |
| Office Phone: | +255 755 453327/+255 785 679927 |
| Ext.: | |
| Office Fax: | |
| Office E-mail: | llusinde@parliament.go.tz |
| Member Status: | Current Member |
| Date of Birth | 4 March 1972 |
| CCM College Ihemi |
| Mbigili Primary School |
| Company Name | |
|---|---|
| The Parliament of Tanzania | Member - Mtera Constituency |
| Chama Cha Mapinduzi, CCM | Secretary - Tarime District |
| Chama Cha Mapinduzi, CCM | Assistant Secretary/Accountant |
| CHADEMA | Member - National Executive Board |
| Civic United Front, CUF | Secretary - Kawe Constituency |
| Chama Cha Mapinduzi, CCM | Secretary |
Ya Zungu ni hii hapa kaka/dada!
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 5, align: left"]EDUCATION[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="width: 35%"]School Name/Location [/TH]
[TH="width: 27%"]Course/Degree/Award [/TH]
[TH="width: 15%, align: center"]Start Date[/TH]
[TH="width: 13%, align: center"]End Date[/TH]
[TH="width: 10%, align: center"]Level[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Tambaza Secondary School[/TD]
[TD="align: center"]Ordinary Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1968[/TD]
[TD="align: center"]1969[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanzania/NCC[/TD]
[TD="align: center"]Procurement Course[/TD]
[TD="align: center"][/TD]
[TD="align: center"]2002[/TD]
[TD="align: center"]DIPLOMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Cairo[/TD]
[TD="align: center"]Diplomatic Studies[/TD]
[TD="align: center"][/TD]
[TD="align: center"]2007[/TD]
[TD="align: center"]DIPLOMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Military College of Aviation[/TD]
[TD="align: center"]Aviation Studies[/TD]
[TD="align: center"]1970[/TD]
[TD="align: center"]1973[/TD]
[TD="align: center"]ADV DIPLOMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Sound Air Canada[/TD]
[TD="align: center"]Aviation Studies[/TD]
[TD="align: center"]1979[/TD]
[TD="align: center"]1980[/TD]
[TD="align: center"]ADV DIPLOMA[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]EMPLOYMENT HISTORY [/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]Company Name [/TH]
[TH="align: center"]Position [/TH]
[TH="align: center"]From Date[/TH]
[TH="align: center"]To Date[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Public Procuring Regulator Authority[/TD]
[TD]Board Director[/TD]
[TD="align: center"]2007[/TD]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]The Parliament of Tanzania[/TD]
[TD]Member - Ilala Constituency[/TD]
[TD="align: center"]2005[/TD]
[TD="align: center"]2015[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ilalla Municipal[/TD]
[TD]Deputy Mayor[/TD]
[TD="align: center"]2003[/TD]
[TD="align: center"]2005[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ilala Municipal[/TD]
[TD]Councilor[/TD]
[TD="align: center"]2001[/TD]
[TD="align: center"]2002[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]UAE[/TD]
[TD]Material Manager[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[TD="align: center"]1993[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Military College of Aviation[/TD]
[TD]Principal Aircraft Maintanance Engineer[/TD]
[TD="align: center"]1970[/TD]
[TD="align: center"]1982[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]POLITICAL EXPERIENCE [/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="class: text_menu, width: 47%"]Ministry/Political Party/Location [/TH]
[TH="class: text_menu, width: 31%, align: center"]Position [/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%, align: center"]From[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%, align: center"]To[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Commonwealth Parliamentary Association Tanzania Br[/TD]
[TD]Chairman[/TD]
[TD="align: center"]2011[/TD]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]City Council Investment Committee[/TD]
[TD]Chairman[/TD]
[TD="align: center"]2007[/TD]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Foreign,Defence Home Security Committee[/TD]
[TD]Vice Chairman[/TD]
[TD="align: center"]2007[/TD]
[TD="align: center"]2011[/TD]
[/TR]
[/TABLE]