Vp CV ya Mh. Mbowe, our chairman? Somebody bring it here!
Jimbo la ubunge la KINONDONI ndio jimbo linalokaliwa na wasomi wengi kuliko jimbo jingine Tanzania. Mbunge wake ni kati ya wale wawili wasio na elimu Tz yaani Maji machafu na Azam. Hii inatupa picha gani ? wasomi mnatuaibisha.
Kwa mujibu wa kanuni za chaguzi za CCM, sifa ya elimu anayotakiwa kuwa nayo mbunge ni Elimu ya Darasa la Saba. Nadhani mjadala ukielekea huko utakuwa na tija zaidi ili kama kuna haja ya kufanya marekebisho basi hoja zijengwe in that context. Vinginevyo kwa mujibu wa kanuni za chaguzi za CCM, Mheshimiwa Azzan ni mbunge halali kwani Per kanuni za chama cha mapinduzi as of today, mgombea akiwa na kiwango cha elimu cha form four, form six, certificate, diploma, degree, n.k, hiyo inachukuliwa kama ni ziada tu na haipewi uzito na vikao vya kupitisha/kuchuja wagombea. Suala la elimu kwa sasa ni suala la wapiga kura mmoja kwa mmoja kuwa na uelewa tu kwamba je, itumike kama kigezo au lah.
Na mara nyingi ukiwa mgombea mwenye elimu kubwa, ni kawaida sana kujengewa fitina kwamba umechakachua au kampeni zako haziwatendei haki wagombea wasio na elimu, au kwamba peleka elimu yako kwingine ukajenge taifa, sio kwenye nafasi ya ubunge kwani mujibu wa kanuni ya CCM, darasa la saba linatosha, na wananchi hawana haja ya kuzingatia kiwango cha elimu kama ni kigezo cha kukuchagua kama mgombea/mbunge. Nadhani mjadala ungeelekezwa zaidi juu ya kanuni hii badala ya kumjadili Mh Azzan ambae katika mazingira haya, hana hatia na ni mwakilishi halali wa wananchi wa jimbo la Kinondoni.
wewe lazima Azan anakufanya kinyume nyume. Issue hapa ni Azan wewe unataja majina ya wengine. kampanguse huyo bashar wako na wewe ukaoge. najisi wewe.
Mbonamnakuwa na chuki za kijinga na azani,hajakuchukulia mama ako unaleta pumba hapa mbona cv ya baba ako huiweke.sasa iyo ndo cv yake so what?
Kwa mujibu wa kanuni za chaguzi za CCM, sifa ya elimu anayotakiwa kuwa nayo mbunge ni Elimu ya Darasa la Saba. Nadhani mjadala ukielekea huko utakuwa na tija zaidi ili kama kuna haja ya kufanya marekebisho basi hoja zijengwe in that context. Vinginevyo kwa mujibu wa kanuni za chaguzi za CCM, Mheshimiwa Azzan ni mbunge halali kwani Per kanuni za chama cha mapinduzi as of today, mgombea akiwa na kiwango cha elimu cha form four, form six, certificate, diploma, degree, n.k, hiyo inachukuliwa kama ni ziada tu na haipewi uzito na vikao vya kupitisha/kuchuja wagombea. Suala la elimu kwa sasa ni suala la wapiga kura mmoja kwa mmoja kuwa na uelewa tu kwamba je, itumike kama kigezo au lah.
Na mara nyingi ukiwa mgombea mwenye elimu kubwa, ni kawaida sana kujengewa fitina kwamba umechakachua au kampeni zako haziwatendei haki wagombea wasio na elimu, au kwamba peleka elimu yako kwingine ukajenge taifa, sio kwenye nafasi ya ubunge kwani mujibu wa kanuni ya CCM, darasa la saba linatosha, na wananchi hawana haja ya kuzingatia kiwango cha elimu kama ni kigezo cha kukuchagua kama mgombea/mbunge. Nadhani mjadala ungeelekezwa zaidi juu ya kanuni hii badala ya kumjadili Mh Azzan ambae katika mazingira haya, hana hatia na ni mwakilishi halali wa wananchi wa jimbo la Kinondoni.
Ya Zungu ni hii hapa kaka/dada!
EDUCATION School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level Tambaza Secondary School Ordinary Level Education 1968 1969 SECONDARY Tanzania/NCC Procurement Course 2002 DIPLOMA Cairo Diplomatic Studies 2007 DIPLOMA Military College of Aviation Aviation Studies 1970 1973 ADV DIPLOMA Sound Air Canada Aviation Studies 1979 1980 ADV DIPLOMA
EMPLOYMENT HISTORY Company Name Position From Date To Date Public Procuring Regulator Authority Board Director 2007 The Parliament of Tanzania Member - Ilala Constituency 2005 2015 Ilalla Municipal Deputy Mayor 2003 2005 Ilala Municipal Councilor 2001 2002 UAE Material Manager 1983 1993 Military College of Aviation Principal Aircraft Maintanance Engineer 1970 1982
POLITICAL EXPERIENCE Ministry/Political Party/Location Position From To Commonwealth Parliamentary Association Tanzania Br Chairman 2011 City Council Investment Committee Chairman 2007 Foreign,Defence Home Security Committee Vice Chairman 2007 2011
kabla ya umri1970 mfumo wa elimu ulikuwa hadi darasa la nane na kuendelea .jamaa kasoma tambaza o level 2yrs nadhani mfumo mpya ulikuwa haujatengemaa .otherwise ananlea cv nzuri tu ni mtaalamu wa aircraft
GENERAL | ||
---|---|---|
Salutation | Honourable | Member picture |
First Name: | Livingstone | |
Middle Name: | Joseph | |
Last Name: | Lusinde | |
Member Type: | Constituency Member | |
Constituent: | Mtera | |
Political Party: | CCM | |
Office Location: | Box 50, Dodoma | |
Office Phone: | +255 755 453327/+255 785 679927 | |
Ext.: | ||
Office Fax: | ||
Office E-mail: | llusinde@parliament.go.tz | |
Member Status: | Current Member | |
Date of Birth | 4 March 1972 |
EDUCATION | ||||
---|---|---|---|---|
School Name/Location | Course/Degree/Award | Start Date | End Date | Level |
CCM College Ihemi | Certificate | 2007 | 2008 | CERTIFICATE |
Mbigili Primary School | Primary Education | 1980 | 1987 | PRIMARY |
EMPLOYMENT HISTORY | |||
---|---|---|---|
Company Name | Position | From | To |
The Parliament of Tanzania | Member - Mtera Constituency | 2010 | 2015 |
POLITICAL EXPERIENCE | |||
---|---|---|---|
Ministry/Political Party/Location | Position | From | To |
Chama Cha Mapinduzi, CCM | Secretary - Tarime District | 2006 | 2010 |
Chama Cha Mapinduzi, CCM | Assistant Secretary/Accountant | 2006 | 2007 |
CHADEMA | Member - National Executive Board | 1995 | To Date |
Civic United Front, CUF | Secretary - Kawe Constituency | 1992 | 1995 |
Chama Cha Mapinduzi, CCM | Secretary | To date |
Ya Zungu ni hii hapa kaka/dada!
EDUCATION School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level Tambaza Secondary School Ordinary Level Education 1968 1969 SECONDARY Tanzania/NCC Procurement Course 2002 DIPLOMA Cairo Diplomatic Studies 2007 DIPLOMA Military College of Aviation Aviation Studies 1970 1973 ADV DIPLOMA Sound Air Canada Aviation Studies 1979 1980 ADV DIPLOMA
EMPLOYMENT HISTORY Company Name Position From Date To Date Public Procuring Regulator Authority Board Director 2007 The Parliament of Tanzania Member - Ilala Constituency 2005 2015 Ilalla Municipal Deputy Mayor 2003 2005 Ilala Municipal Councilor 2001 2002 UAE Material Manager 1983 1993 Military College of Aviation Principal Aircraft Maintanance Engineer 1970 1982
POLITICAL EXPERIENCE Ministry/Political Party/Location Position From To Commonwealth Parliamentary Association Tanzania Br Chairman 2011 City Council Investment Committee Chairman 2007 Foreign,Defence Home Security Committee Vice Chairman 2007 2011