Hii ndio orodha ya Miji na Wilaya za Tanzania zenye watu wenye kipato cha Uhakika

Mbona unawaabudu Sana hao wachaga?
Eti nyumba ya wachaga kuna nyie. Mzee mbona unaabudu watu.


Hivyo vikabila vidogo vya huko ndo viwe top Kwa idadi ya watu wenye hela nchini.



Anyway sitaki ligi na kabila ambalo Kwa wahaya ni subtribe ndogo .


Sijawahi ona mkinga kagera kama yupo nitajie. Nyie mmejazana kariakoo tu.mwanza huko sijawahi ona mkinga.

Na nenda kaulizie huko bukoba kama wakinga wanafahamika hata hawajulikani.


Bado unamentality ya kuwa wahaya ni wasomi Tu sio wafanyabiashara wahaya sio wachuuzi mzee .Iangalie Dar watu wenye hela ni wakina Nani ,nenda mwanza ,angalia idadi ya wasafiri wa ndege kuelekea bukoba kila siku mji mdogo but Una abiria wengi wa ndege. Hiv huko njombe kuna airport kweli
Kila mtu afanye mambo kwa maslahi ya Jamii yake,
Huku kwetu Kusini hatufanyi mambo kwa kushindana na fulani, and the fact is tumeshapiga hatua sana na Jamii zetu zimesoma ,
Ndio maana ni nadra sana kuona nyuzi za kujimwambafai eti sisi ni zaidi ya fulani ikiwa waafrica wote ni watu masikini..
Suala la kusoma dunia ya leo sio la kujisifia tena maana kila mtu amesoma,
Tena elimu ni basic need, wala halimfanyi mtu awe na significant advantage kuliko mwingine kwenye maisha kwa upana wake,
Niseme tu, Mikoa kama Iringa ukianzia mji na wilaya zake kwakweli tumefika mahala na tunaona tulikotoka, si haba. Na hapa tulipofika haikuwa juhudi za wasomi pekee bali ni collective efforts za watu wenye uchu wa kujikwamua kwenye umaskini wa Kiafrica,
Njombe pia na wilaya zake na Mbeya as well,
Tukiendelea hivi miaka 20 mbele tutakuwa mbali zaidi.
Ndugu zangu wana Iringa tuendelee kuchapa kazi. Mashindano ya nani anamzidi nani ni mambo ya kishamba na ya kizamani.
 
Mufindi as a district is very rich ...fursa ni nyingi mno...mbao, mahindi, chai, matunda, ulezi, asali, Hali ya hewa nzuri, karanga, mboga Kama kabichi, nyanya, vitunguu, viazi, maboga...
Mufindi na Kilolo. Kama una pesa fanya kununua ardhi haya maeneo, utanishukuru miaka 10 ijayo.
 
Nimetoka Njombe juzi, pale mahala ni patamu sana, juhudi za watu wa mikoa ya nyanda za juu Kusini kwenye Kilimo zimefanya mikoa hii kuwa stable sana kiuchumi na kuwa na pato ambalo ni sustainable, kuanzia miji hadi wilaya zake,
Yaani ukienda sehemu kama Makete ni kama paradiso fulani hivi,
Nenda Mufindi au Kilolo au Makambako,
Nenda Rungwe, au Chunya, au Kyela utakubaliana nami kuwa mikoa hii watu wamepiga hatua.
(Picha ni Makete na Njombe )
View attachment 1814425View attachment 1814434View attachment 1814441View attachment 1814442View attachment 1814443
🙏 🙏 🙏 🙏 for appreciation
 
Kwa mujibu wa Waziri Biteko Ilemela MC na Geita TC wataanza kupiga pesa ya kiwanda cha kusafisha dhahabu zaidi ya bil.30 kwa mwaka pindi viwanda hivi vikiwa operational at their full capacity.

Hili likiwa materialised itaziboost sana hizo Halamshauri na kuanza kushindana na Manispaa za Dar,ni vyema wakazitumia vizuri kuwekeza kwenye mahitaji ya wananchi

Sijawahi mpongeza mwendazake ila kwa hili natoa kongole za kutosha maana watu walikuwa wanatorosha dhahabu kwa njia ya makinikia
 
Wewe acha wehu, sisi watu wa Nyanda za juu Kusini hatuko nyuma ya yeyote, sisi ni watu tunaochapa kazi, tunaojituma, shule tumesoma, ajira tunazo ila ujasirimali ni kama utamaduni. Tumewekeza kwenye misitu kwa ajili ya vizazi vyetu,
Nakubaliana na wewe kwenye uchapa kazi ila hatupo nyuma ya yoyote. Jisemee mwenyewe. That cowardice is not part of our life na hatufanyi mambo kushindana na mtu, tunafanya mambo kuboresha maisha yetu na vizazi nyetu.
Grow up.
Raha ya maisha ni ligi mkuu na kujilinganisha bila hivyo haina maana kabisa
 
Jamaa anaipamba njombe wee alafu watu wa njombe wanahamia makambako hahaha makambako imekuwa mji mkubwa kuliko njombe na bado wataisoma tu mapato yanabadilika kila mwaka nenda kaanga wamejengewa soko wote wamerundikana barabaran si mji wa kishamba huo
Mbona hakuna Makambako kwenye orodha wafanyabiashara wanakokimbili? 😆😆😆😆
 
nakubali wahaya wanapenda sifa but sifa zao huwa sio uongo.

Akijisifia ana hela basi anazo kweli,na akijisifia amesoma basi amesoma kweli.



Juzi nilienda kijiji Fulani cha huko kashozi bukoba vijiji mtu kaamua kujiwekea lami mwenyew amechoka na serikali.
Kilomita ngapi hiyo lami?! Labda mita 20 yaani kutoka getini mpaka kwenye nyjmba yake
 
Umeandika mlimba hiyo mlimba ya morogoro? Mbona kilombero umeiyacha, ina maana makusanyo ya tanesco na kilombero suger hawaingizi kipato cha kutosha?
Kilombero ina halmashauri mbili kama sijapokea,halmashauri ya mji Ifakara na halmashauri ya Mlimba.Hapo yametajwa mapato ya halmashauri na siyo ya wilaya nzima ya Kilombero.
 
Tunduma TC mwaka 2020/21= 6.3bln👇👇

Screenshot_20210728-081251.png
 
Back
Top Bottom