Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,035
- 6,907
Ifuatayo ni orodha ya Miji na Halmashauri 41 pekee kati ya Halmashauri 165 Tanzania ambazo watu wake Wana kipato cha Uhakika na kuwa na purchasing power inayotoa fursa ya uhakika wa biashara kwa Tanzania.
Orodha imehusisha Halmashauri zenye mapato yanayoanzia shilingi za Tanzania bilioni 3.5 kwenda juu.
Orodha hii imetokana na makusanyo ya ndani ya kila Halmashauri kiutoka kwenye vyanzo vya mapato vya Halmashauri ambavyo ni shughuli za kawaida za wananchi kutoka Tamisemi kwa mwaka wa fedha 2019/2020.
Mapato hayo ni nje ya vyanzo vinavyokusanywa na TRA na wakala zingine za.serikali.
Kama wewe ni mfanyabiashara hii itakuwa picha halisi ya uchaguzi wa sehemu ya kuwekeza.
1.Ilala MC=58.6bln
2. Dodoma CC=53.2bln
3. Kinondoni MC=44.5bln
4. Temeke MC=34.4bln
5.Arusha City=19.2bln
6. Ubungo MC=17.9bln
7. Mbeya City=12.9bln
8. Tanga City=12.8bln
9.Mwanza CC=12.2bln
10.DSM CC=11.4bln
11.Ilemela MC=10.2bln
12. Geita TC=9.2bln.
13. Morogoro MC=7.5bln
14. Kahama MC=7.12bln
15. Chalinze DC=7.1bln
16. Mkuranga DC=6.6bln
17.Kigamboni MC=6.4bln
18.Mufindi DC=6.1bln
19.Moshi MC=5.7bln
20.Iringa MC=5.62bln
21.Njombe TC=5.6bln
22.Tunduma TC=5.4bln
23.Tarime DC=5.2bln
24.Kilolo DC=5.0bln
25.Mtwara MC=4.8bln
26.Mafinga TC=4.7bln
27.Tunduru DC=4.7bln
28.Muleba DC=4.61bln
29.Kilwa DC=4.6bln
30.Geita DC=4.5bln
31.Arusha DC=4.01bln.
32.Mlimba DC=4.0bln
33.Mbozi DC=3.97bln
34.Tandahimba DC=3.92bln
35.Mbarali DC=3.9bln
36.Rungwe DC=3.89bln
37.Kilosa DC=3.8bln
37.Mbeya DC=3.8bln
38.Mbinga DC=3.65bln
39.Chato DC=3.64bln
40.Kibaha TC.3.62bln
41.Chunya DC=3.5bln
My take kuna Mikoa/Miji ni ya kuonea huruma mfano Tabora,Singida,Rukwa,Katavi,Kigoma,Simiyu na Manyara.Hii mikoa haina hata Halmashauri moja yenye mapato kwa kiwango cha kuanzia bilioni 3.5 au zaidi
Kiufupi inatoa picha ya hali mbaya ya umaskini wa kipato kwa wananchi wake.Hali kadharika Mikoa ya Dar, Mbeya,Geita na Iringa ina hali nzuri ya kimapato kwa watu wake.
Pdf ya Tamisemi hii hapa unaweza kujionea mwenyewe
Orodha imehusisha Halmashauri zenye mapato yanayoanzia shilingi za Tanzania bilioni 3.5 kwenda juu.
Orodha hii imetokana na makusanyo ya ndani ya kila Halmashauri kiutoka kwenye vyanzo vya mapato vya Halmashauri ambavyo ni shughuli za kawaida za wananchi kutoka Tamisemi kwa mwaka wa fedha 2019/2020.
Mapato hayo ni nje ya vyanzo vinavyokusanywa na TRA na wakala zingine za.serikali.
Kama wewe ni mfanyabiashara hii itakuwa picha halisi ya uchaguzi wa sehemu ya kuwekeza.
1.Ilala MC=58.6bln
2. Dodoma CC=53.2bln
3. Kinondoni MC=44.5bln
4. Temeke MC=34.4bln
5.Arusha City=19.2bln
6. Ubungo MC=17.9bln
7. Mbeya City=12.9bln
8. Tanga City=12.8bln
9.Mwanza CC=12.2bln
10.DSM CC=11.4bln
11.Ilemela MC=10.2bln
12. Geita TC=9.2bln.
13. Morogoro MC=7.5bln
14. Kahama MC=7.12bln
15. Chalinze DC=7.1bln
16. Mkuranga DC=6.6bln
17.Kigamboni MC=6.4bln
18.Mufindi DC=6.1bln
19.Moshi MC=5.7bln
20.Iringa MC=5.62bln
21.Njombe TC=5.6bln
22.Tunduma TC=5.4bln
23.Tarime DC=5.2bln
24.Kilolo DC=5.0bln
25.Mtwara MC=4.8bln
26.Mafinga TC=4.7bln
27.Tunduru DC=4.7bln
28.Muleba DC=4.61bln
29.Kilwa DC=4.6bln
30.Geita DC=4.5bln
31.Arusha DC=4.01bln.
32.Mlimba DC=4.0bln
33.Mbozi DC=3.97bln
34.Tandahimba DC=3.92bln
35.Mbarali DC=3.9bln
36.Rungwe DC=3.89bln
37.Kilosa DC=3.8bln
37.Mbeya DC=3.8bln
38.Mbinga DC=3.65bln
39.Chato DC=3.64bln
40.Kibaha TC.3.62bln
41.Chunya DC=3.5bln
My take kuna Mikoa/Miji ni ya kuonea huruma mfano Tabora,Singida,Rukwa,Katavi,Kigoma,Simiyu na Manyara.Hii mikoa haina hata Halmashauri moja yenye mapato kwa kiwango cha kuanzia bilioni 3.5 au zaidi
Kiufupi inatoa picha ya hali mbaya ya umaskini wa kipato kwa wananchi wake.Hali kadharika Mikoa ya Dar, Mbeya,Geita na Iringa ina hali nzuri ya kimapato kwa watu wake.
Pdf ya Tamisemi hii hapa unaweza kujionea mwenyewe