Hii ndio orodha ya Miji na Wilaya za Tanzania zenye watu wenye kipato cha Uhakika

Opportunity Cost

JF-Expert Member
Dec 10, 2020
9,035
6,907
Ifuatayo ni orodha ya Miji na Halmashauri 41 pekee kati ya Halmashauri 165 Tanzania ambazo watu wake Wana kipato cha Uhakika na kuwa na purchasing power inayotoa fursa ya uhakika wa biashara kwa Tanzania.

Orodha imehusisha Halmashauri zenye mapato yanayoanzia shilingi za Tanzania bilioni 3.5 kwenda juu.

Orodha hii imetokana na makusanyo ya ndani ya kila Halmashauri kiutoka kwenye vyanzo vya mapato vya Halmashauri ambavyo ni shughuli za kawaida za wananchi kutoka Tamisemi kwa mwaka wa fedha 2019/2020.

Mapato hayo ni nje ya vyanzo vinavyokusanywa na TRA na wakala zingine za.serikali.

Kama wewe ni mfanyabiashara hii itakuwa picha halisi ya uchaguzi wa sehemu ya kuwekeza.

1.Ilala MC=58.6bln

2. Dodoma CC=53.2bln

3. Kinondoni MC=44.5bln

4. Temeke MC=34.4bln

5.Arusha City=19.2bln

6. Ubungo MC=17.9bln

7. Mbeya City=12.9bln

8. Tanga City=12.8bln

9.Mwanza CC=12.2bln

10.DSM CC=11.4bln

11.Ilemela MC=10.2bln

12. Geita TC=9.2bln.

13. Morogoro MC=7.5bln

14. Kahama MC=7.12bln

15. Chalinze DC=7.1bln

16. Mkuranga DC=6.6bln

17.Kigamboni MC=6.4bln

18.Mufindi DC=6.1bln

19.Moshi MC=5.7bln

20.Iringa MC=5.62bln

21.Njombe TC=5.6bln

22.Tunduma TC=5.4bln

23.Tarime DC=5.2bln

24.Kilolo DC=5.0bln

25.Mtwara MC=4.8bln

26.Mafinga TC=4.7bln

27.Tunduru DC=4.7bln

28.Muleba DC=4.61bln

29.Kilwa DC=4.6bln

30.Geita DC=4.5bln

31.Arusha DC=4.01bln.

32.Mlimba DC=4.0bln

33.Mbozi DC=3.97bln

34.Tandahimba DC=3.92bln

35.Mbarali DC=3.9bln

36.Rungwe DC=3.89bln

37.Kilosa DC=3.8bln

37.Mbeya DC=3.8bln

38.Mbinga DC=3.65bln

39.Chato DC=3.64bln

40.Kibaha TC.3.62bln

41.Chunya DC=3.5bln

My take kuna Mikoa/Miji ni ya kuonea huruma mfano Tabora,Singida,Rukwa,Katavi,Kigoma,Simiyu na Manyara.Hii mikoa haina hata Halmashauri moja yenye mapato kwa kiwango cha kuanzia bilioni 3.5 au zaidi

Kiufupi inatoa picha ya hali mbaya ya umaskini wa kipato kwa wananchi wake.Hali kadharika Mikoa ya Dar, Mbeya,Geita na Iringa ina hali nzuri ya kimapato kwa watu wake.

Pdf ya Tamisemi hii hapa unaweza kujionea mwenyewe
 

Attachments

  • HOTUBA YA WN OR TAMISEMI 2021.22.pdf
    2.3 MB · Views: 120
  • HOTUBA YA WN OR TAMISEMI 2021.22.pdf
    2.3 MB · Views: 62
Naomba taarifa hii nzima kama unayo. Taarifa hii inaweza kutoa direction ya fursa ya uwekezaji.

Ukiacha mkoa wa DSM na majiji ambao vyanzo vyao vinatokana na uchumi wenye mjumuiko wa vitu vingi mikoa mingine ina kitu ambacho data hizo hazijakiweka wazi.

Nimeona Iringa na Njombe, halmashauri zao zinafanya vizuri sana. Na line ya Wilaya zote kutoka Iringa hadi Tunduma zinafanya vizuri sana. Nini kipo nyuma ya mapato hayo?

Nimeangalia baadhi ya sehemu Halmashauri za Wilaya zimefanya vizuri kuliko Manispaa husika. Natamani kujua chanzo cha mapato hayo, mfano Muleba DC imefanya vizuri kuliko Bukoba MC, Kilwa DC kuliko Lindi MC, etc.

Zipo baadhi ya sehemu kama Kahama, Geita TC, Tarime DC sababu ni madini. Halmashauri za Pwani kuna viwanda, hao wengine nini kimewabeba?

Kama ni kilimo tujue ni kilimo kipi kusaidia wananchi wajue walime nini. Pili kama ni kwa sababu ya structure ya kodi/tozo/ushuru kwenye mazao fulani ni vema liwe wazi pia.
 
Ifuatayo ni orodha ya Miji na Halmashauri 36 ambazo watu wake Wana kipato cha Uhakika na kuwa na purchasing power inayotoa fursa ya uhakika wa biashara kwa Tanzania.
Orodha imehusisha Halmashauri zenye mapato yanayoanzia shilingi za Tanzania bilioni 3.5 kwenda juu.

Orodha hii imetokana na makusanyo ya ndani ya kila Halmashauri kiutoka kwenye vyanzo vya mapato vya Halmashauri ambavyo ni shughuli za kawaida za wananchi kutoka Tamisemi kwa mwaka wa fedha 2019/2020.
Mapato hayo ni nje ya vyanzo vinavyokusanywa na TRA na wakala zingine za.serikali.

Kama wewe ni mfanyabiashara hii itakuwa picha halisi ya uchaguzi wa sehemu ya kuwekeza.

1.Dar (Na Halmashauri zake zote)=173.3bln

2.Dodoma CC=53.2bln

3.Mwanza City incl. Ilemela MC=22.4bln

4.Arusha City=19.2bln

5.Mbeya City=13.0bln

6.Tanga City=12.8bln

7.Geita TC=9.2bln.

8.Morogoro MC=7.5bln

9.Kahama MC=7.12bln

10.Chalinze DC=7.1bln

11.Mkuranga DC=6.6bln

12.Mufindi DC=6.1bln

13.Moshi MC=5.7bln

14.Iringa MC=5.62bln

15.Njombe TC=5.6bln

16.Tunduma TC=5.4bln

17.Tarime DC=5.2bln

18.Kilolo DC=5.0bln

19.Mtwara MC=4.8bln

20.Mafinga TC=4.7bln

21.Tunduru DC=4.7bln

22.Muleba DC=4.61bln

23.Kilwa DC=4.6bln

24.Geita DC=4.5bln

25.Arusha DC=4.01bln.

26.Mlimba DC=4.0bln

27.Rungwe DC=3.89bln

28.Mbozi DC=3.97bln

29.Tandahimba DC=3.92bln

30.Mbarali DC=3.9bln

31.Kilosa DC=3.8bln

32.Mbeya DC=3.8bln

33.Mbinga DC=3.65bln

34.Chato DC=3.64bln

35.Kibaha TC.3.62bln

36.Chunya DC=3.5bln

My take kuna Mikoa/Miji ni ya kuonea huruma mfano Tabora,Singida,Rukwa,Katavi,Kigoma,Simiyu na Manyara.Hii mikoa haina hata Halmashauri moja yenye mapato kwa kiwango cha kuanzia bilioni 3.5 au zaidi

Kiufupi inatoa picha ya hali mbaya ya umaskini wa kipato kwa wananchi wake.Hali kadharika Mikoa ya Dar, Mbeya,Geita na Iringa ina hali nzuri ya kimapato kwa watu wake.

Pdf ya Tamisemi hii hapa unaweza kujionea mwenyewe
View attachment 1763405
Moshi inatia huruma na zile safari za kuhesabisa hamna kitu ,kimji cha kizamani kimechoka kama taulo la guest
 
Umeandika mlimba hiyo mlimba ya morogoro? Mbona kilombero umeiyacha, ina maana makusanyo ya tanesco na kilombero suger hawaingizi kipato cha kutosha?
Mimi sijui nachojua kuna Halmashauri inaitwa Mlimba DC ndio nimeweka figure yake

Kama hukuiona Halmashauri yako kwenye orodha ujue haijafikisha vigezo vya mapato nilivyotumia,kuna pdf hapo soma mwishoni utakuta majedwali
 
Bagamoyo imekuwaje tena? Hakuna mkwanja kivipi yaani?
1. Utalii
2. Uvuvi/Samaki
3. Kilimo
4. Viwanda
5. Ukaribu na Dar es salaam
6. Hoteli
7. Heritage site(s) - UNICEF

What is not happening???
Huenda mapato yake mengi yakawa ni vyanzo vya TRA
 
Back
Top Bottom