Hii ndio orodha ya Miji na Wilaya za Tanzania zenye watu wenye kipato cha Uhakika

Njombe kama kawaida inazidi kuchanja mbuga ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™
๐Ÿ‘‡

Screenshot_20210731-104537.png


Screenshot_20210731-104459.png
 
Njombe TC imeongoza kwa asilimia ya mapato kwa ngazi ya Halmashauri za miji๐Ÿ‘‡

Screenshot_20210729-210228.png
 

Attachments

  • KIAMBATANISHO 1-3.pdf
    81.5 KB · Views: 5
  • KIAMBATAMISHO 4-5.pdf
    161 KB · Views: 4
Unaweza kuta mengi ya mapato ya Bukoba ni yale ambayo TRA wanakusanya ,tafuta regional statistics za TRA unaweza kuta Kagera iko vizuri

Lakini kwa mapato ya mtu mmja mmja na vyanzo ambavyo Tamisemi inasimamia basi huo ndio ukweli kwamba mna pesa kiduchu hapo Manispaa uchwara ya Bukoba,TRA hiyo hapo check kama mpo
Hapa ndio tunaona umwamba wa Arusha ๐Ÿ‘Š
 
Muleba imeizid bukoba mjini yenye bandari na viwanda na viwanja vya ndege naomba nielimishwe kidogo.

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Muleba mnaichukulia poa sana, kisa haina maghorofa, asilimia kubwa ya Ziwa Victoria lipo Muleba ikiwa ni pamoja uwepo wa visiwa vingi vya uvuvi na sio Bukoba, mapato ya uvuvi (leseni/ vibali vya usafirshaji) mazao ya uvuvi yanaingia Muleba, bado usajili wa vyombo vya uvuvi, mialo. Bado ujagusa kilimo, hasa ndizi, maharage, vanilla, parachichi, misitu ya mbao, eneo ambalo Muleba ina uwezo wa kufanya vzuri zaidi kuliko Bukoba kutokana na uwepo mkubwa wa aridhi ya Kilimo kuliko Bukoba mji na Bukoba Vijijini.
Map-of-Kagera-Region.jpg
 
Back
Top Bottom