The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,586
- 14,138
Moja kwa Moja kwenye mada,
Leo nawajuza List ya Majiji,Miji,Manispaa na Wilaya 50 Zenye Mzunguko Mkubwa wa Hela hapa Tanzania ambazo zinafaa kwa biashara na uwekezaji..
Kigezo kinachotumika ni Makusanyo ya Mapato ya Ndani kuanzia shilingi Bilioni 4 na kuendelea kama yalivyoandaliwa na Tamisemi kwa mwaka 2021/2022.
Makusanyo hayo yanaashiria kwamba maeneo hayo yana shughuli za Kiuchumi zinazoleta pesa kwa watu na hivyo watu Wana purchasing power nzuri..
Figures are in Billions Tanzania Shilling.
1. Dar es Salaam CC=167.557
2. Dodoma CC=45.108,
3. Mwanza CC=27.688,
4. Arusha CC=24.333'
5. Tanga CC=17.392,
6. Mbeya CC=15.228,
7. Chalinze DC=10.240,
8. Mkuranga DC=10.011,
9. Kahama MC=9.957,
10. Morogoro MC=9.353,
11. Geita TC=9.024,
12. Tunduma TC =8.593,
13. Njombe TC=8.473,
14. Mufindi DC=8.232,
15. Moshi MC=7.570,
16. Tarime DC=6.718,
17.Mafinga TC=6.306,
18. Mbarali DC=6.241,
19. Rufiji DC=6.040,
20. Muleba DC=5.718,
21. Hanang' DC=5.655,
22. Mbinga DC=5.578,
23. Rungwe DC=5.521,
24.Kibaha TC=5.352,
25. Morogoro DC=5.268,
26. Geita DC=5.186,
27. Chunya DC=5.113,
28. Shinyanga MC=5.100,
29. Kilosa DC=5.093,
30. Iringa MC=5.018,
31. Kaliua DC=4.981,
32. Songea MC=4.912,
33. Ifakara TC=4.898,
34. Tabora MC=4.827,
35. Kilwa DC=4.779,
36. Mbeya DC=4.778,
37. Karatu DC=4.746,
38. Kibaha DC=4.664,
39. Msalala DC=4.634,
40. Misenyi DC=4.595,
41. Tandahimba DC=4.507,
42. Tanganyika DC=4.452,
43. Rungwe DC=4.421,
44. Tunduru DC=4.400,
45. Bagamoyo DC=4.322,
46. Singida MC=4.286,
47. Igunga DC=4.207,
48. Wanging'ombe DC=4.186,
49. Ngara DC=4.142,
50. Njombe DC=4.001..
My Take..
Mikoa ya Dsm, Pwani, Mbeya, Morogoro, Njombe na Shinyanga Wilaya zake ziko vizuri sana.👇
Leo nawajuza List ya Majiji,Miji,Manispaa na Wilaya 50 Zenye Mzunguko Mkubwa wa Hela hapa Tanzania ambazo zinafaa kwa biashara na uwekezaji..
Kigezo kinachotumika ni Makusanyo ya Mapato ya Ndani kuanzia shilingi Bilioni 4 na kuendelea kama yalivyoandaliwa na Tamisemi kwa mwaka 2021/2022.
Makusanyo hayo yanaashiria kwamba maeneo hayo yana shughuli za Kiuchumi zinazoleta pesa kwa watu na hivyo watu Wana purchasing power nzuri..
Figures are in Billions Tanzania Shilling.
1. Dar es Salaam CC=167.557
2. Dodoma CC=45.108,
3. Mwanza CC=27.688,
4. Arusha CC=24.333'
5. Tanga CC=17.392,
6. Mbeya CC=15.228,
7. Chalinze DC=10.240,
8. Mkuranga DC=10.011,
9. Kahama MC=9.957,
10. Morogoro MC=9.353,
11. Geita TC=9.024,
12. Tunduma TC =8.593,
13. Njombe TC=8.473,
14. Mufindi DC=8.232,
15. Moshi MC=7.570,
16. Tarime DC=6.718,
17.Mafinga TC=6.306,
18. Mbarali DC=6.241,
19. Rufiji DC=6.040,
20. Muleba DC=5.718,
21. Hanang' DC=5.655,
22. Mbinga DC=5.578,
23. Rungwe DC=5.521,
24.Kibaha TC=5.352,
25. Morogoro DC=5.268,
26. Geita DC=5.186,
27. Chunya DC=5.113,
28. Shinyanga MC=5.100,
29. Kilosa DC=5.093,
30. Iringa MC=5.018,
31. Kaliua DC=4.981,
32. Songea MC=4.912,
33. Ifakara TC=4.898,
34. Tabora MC=4.827,
35. Kilwa DC=4.779,
36. Mbeya DC=4.778,
37. Karatu DC=4.746,
38. Kibaha DC=4.664,
39. Msalala DC=4.634,
40. Misenyi DC=4.595,
41. Tandahimba DC=4.507,
42. Tanganyika DC=4.452,
43. Rungwe DC=4.421,
44. Tunduru DC=4.400,
45. Bagamoyo DC=4.322,
46. Singida MC=4.286,
47. Igunga DC=4.207,
48. Wanging'ombe DC=4.186,
49. Ngara DC=4.142,
50. Njombe DC=4.001..
My Take..
Mikoa ya Dsm, Pwani, Mbeya, Morogoro, Njombe na Shinyanga Wilaya zake ziko vizuri sana.👇