Hii ndio orodha ya Miji na Wilaya za Tanzania zenye watu wenye kipato cha Uhakika

Wewe hili povu kawatolee National Bureau of Statistics,sio mimi nilisema Kagera ni Kati ya mikoa maskini Sana hapa Tzn yaani mko top 5 ya maskini .

Kumbuka mjumbe hauwawi.Ni uzwazwa kukana credible sources huku ukitaka kutuaminisha feelings zako,hiyo haipo.

By the way wewe ni nani hadi ushindwe kutoa heshima kwa wachapa Kazi wa Mkoa wa Njombe ? Tunajulikana Tzn nzima kwamba nyuma ya Wachaga kuna Wakinga sijui wewe nshomile unataka kusemaje.

Tumejenga miji zaidi ya 10 Tzn hii,imagine hadi Mwenyekiti wa wachimbaji madini wadogo Tzn hii ni mwamba kutoka Njombe lakini kwetu hatuchombi dhahabu.

Unatujua au unasimuliwa mkuu.Nyie nshomile endeeni kuajiriwa na kujisifia kwa makaratasi tuu.
Mbona unawaabudu Sana hao wachaga?
Eti nyumba ya wachaga kuna nyie. Mzee mbona unaabudu watu.


Hivyo vikabila vidogo vya huko ndo viwe top Kwa idadi ya watu wenye hela nchini.



Anyway sitaki ligi na kabila ambalo Kwa wahaya ni subtribe ndogo .


Sijawahi ona mkinga kagera kama yupo nitajie. Nyie mmejazana kariakoo tu.mwanza huko sijawahi ona mkinga.

Na nenda kaulizie huko bukoba kama wakinga wanafahamika hata hawajulikani.


Bado unamentality ya kuwa wahaya ni wasomi Tu sio wafanyabiashara wahaya sio wachuuzi mzee .Iangalie Dar watu wenye hela ni wakina Nani ,nenda mwanza ,angalia idadi ya wasafiri wa ndege kuelekea bukoba kila siku mji mdogo but Una abiria wengi wa ndege. Hiv huko njombe kuna airport kweli
 
Mbona unawaabudu Sana hao wachaga?
Eti nyumba ya wachaga kuna nyie. Mzee mbona unaabudu watu.


Hivyo vikabila vidogo vya huko ndo viwe top Kwa idadi ya watu wenye hela nchini.



Anyway sitaki ligi na kabila ambalo Kwa wahaya ni subtribe ndogo .


Sijawahi ona mkinga kagera kama yupo nitajie. Nyie mmejazana kariakoo tu.mwanza huko sijawahi ona mkinga.

Na nenda kaulizie huko bukoba kama wakinga wanafahamika hata hawajulikani.


Bado unamentality ya kuwa wahaya ni wasomi Tu sio wafanyabiashara wahaya sio wachuuzi mzee .Iangalie Dar watu wenye hela ni wakina Nani ,nenda mwanza ,angalia idadi ya wasafiri wa ndege kuelekea bukoba kila siku mji mdogo but Una abiria wengi wa ndege. Hiv huko njombe kuna airport kweli
Kama alikuwa hajui, Mhaya ndio alisababisha changamoto ya LUKU juzi kati hapa. Alinunua units zote Tanesco ili wajukuu / vitukuu na vilembwe visipate shida ya umeme hapo baadae.
 
Wewe hili povu kawatolee National Bureau of Statistics,sio mimi nilisema Kagera ni Kati ya mikoa maskini Sana hapa Tzn yaani mko top 5 ya maskini .

Kumbuka mjumbe hauwawi.Ni uzwazwa kukana credible sources huku ukitaka kutuaminisha feelings zako,hiyo haipo.

By the way wewe ni nani hadi ushindwe kutoa heshima kwa wachapa Kazi wa Mkoa wa Njombe ? Tunajulikana Tzn nzima kwamba nyuma ya Wachaga kuna Wakinga sijui wewe nshomile unataka kusemaje.

Tumejenga miji zaidi ya 10 Tzn hii,imagine hadi Mwenyekiti wa wachimbaji madini wadogo Tzn hii ni mwamba kutoka Njombe lakini kwetu hatuchombi dhahabu.

Unatujua au unasimuliwa mkuu.Nyie nshomile endeeni kuajiriwa na kujisifia kwa makaratasi tuu.
Eti tumejenga miji zaidi ya kumi.

Sidhan kama kuna mwananchi wa bukoba anamfahamu mkinga.

Nyie ni maarufu kariakoo Tu


Hiv mshawahi ingiza hata tajiri top ten bongo Kwa matajiri?

Bora hata wahaya walishaingia top ten ya matajiri nchini akina mfuruki na mshumbusi endelea kuamini wahaya ni kusoma Tu wakati wanafanya biashara kubwa Tu za makampuni sio za kichuuzi .hebu nikutajie kidogo makampuni makubwa na taasisi kubwa zinazomilikiwa na wahaya nchni.
1.Biotech companies iliyokuwa inamilikiwa na tajiri no 9 nchini marehemu Mfuruki
2.kampuni ya ujenzi luganuza building agency
3. Kampuni ya ujenzi abemulo construction
4.kampuni ya usambazi umeme IPTL
5.Kampuni ya mafuta mkwano inamilikiwa na tajiri maarufu wa kihaya Dr remmy.
6.kampuni ya uvuvi ya kareju huko bukoba
7.Taasisi ya Afya ya kairuki hospital na kairuki university
8.Taasisi ya Afya ya Cosad Bukoba yenye Cosad hospital
9.Taasisi ya shule mfano
kaizirege kemebos
Tusiime schools
St Mary's schools
Babro Johnson
St Anne Marie
Ni nyingi Sana kuanzia bukoba Hadi Dar


10. Bado sijataja makampuni ya kifamilia mfano mushumba family,mushumbusi,katabaro family,Rwegena family, nk nk nk



11. Hotel maarufu za mesuma zenye matawi yake Dar,Dodoma na bukoba
12. Hotel za walkguard,prince IP,victorious zenye matawi mbali mbali nchini


Bado sijataja upande. Wa elimu huko kulikojaa maprofesa,madokta,mainjinia nk nk
Tafiti zinaonyesha mtu mmoja Kati ya watano mkoani kagera ana degree.
 
Kama alikuwa hajui, Mhaya ndio alisababisha changamoto ya LUKU juzi kati hapa. Alinunua units zote Tanesco ili wajukuu / vitukuu na vilembwe visipate shida ya umeme hapo baadae.
nakubali wahaya wanapenda sifa but sifa zao huwa sio uongo.

Akijisifia ana hela basi anazo kweli,na akijisifia amesoma basi amesoma kweli.



Juzi nilienda kijiji Fulani cha huko kashozi bukoba vijiji mtu kaamua kujiwekea lami mwenyew amechoka na serikali.
 
Mbona unawaabudu Sana hao wachaga?
Eti nyumba ya wachaga kuna nyie. Mzee mbona unaabudu watu.


Hivyo vikabila vidogo vya huko ndo viwe top Kwa idadi ya watu wenye hela nchini.



Anyway sitaki ligi na kabila ambalo Kwa wahaya ni subtribe ndogo .


Sijawahi ona mkinga kagera kama yupo nitajie. Nyie mmejazana kariakoo tu.mwanza huko sijawahi ona mkinga.

Na nenda kaulizie huko bukoba kama wakinga wanafahamika hata hawajulikani.


Bado unamentality ya kuwa wahaya ni wasomi Tu sio wafanyabiashara wahaya sio wachuuzi mzee .Iangalie Dar watu wenye hela ni wakina Nani ,nenda mwanza ,angalia idadi ya wasafiri wa ndege kuelekea bukoba kila siku mji mdogo but Una abiria wengi wa ndege. Hiv huko njombe kuna airport kweli
Mwanza,Kahama na Arusha wako wa kutosha kama hujawaona ni wewe.

Kagera ni mkoa maskini sasa wakinga waje kufanya nini? Kulima migomba au?

Wachaga ni legendary kwenye elimu na biashara lazima wapate heshima yao hata kama wewe hutaki au unawachukia
 
nakubali wahaya wanapenda sifa but sifa zao huwa sio uongo.

Akijisifia ana hela basi anazo kweli,na akijisifia amesoma basi amesoma kweli.



Juzi nilienda kijiji Fulani cha huko kashozi bukoba vijiji mtu kaamua kujiwekea lami mwenyew amechoka na serikali.
 
Uzi ulikuwa unaenda vizuri sana hadi tulipoanza kujimwambafai dhidi ya mikoa na makabila ya wenzetu.
Turudini nyuma tuongelee mikoa inayofanya vizuri kiuchumi na fursa zinazopatikana huko ili sisi watanzania tuje kujitafutia riziki
Mkoa wako ukiwa na kipato cha 6bln halafu wewe huna mia mfukoni unageuka kituko.
Kazi iendelee
 
Sio mimi huwa napanga Takwimu bali ni NBS sasa labda hao ndio ukawatolee povu na hasira.

Mkoa wa wachapakazi na Mji wa wastaarabu.Takwimu zinaongea wewe unaleta porojo
Nimetoka Njombe juzi, pale mahala ni patamu sana, juhudi za watu wa mikoa ya nyanda za juu Kusini kwenye Kilimo zimefanya mikoa hii kuwa stable sana kiuchumi na kuwa na pato ambalo ni sustainable, kuanzia miji hadi wilaya zake,
Yaani ukienda sehemu kama Makete ni kama paradiso fulani hivi,
Nenda Mufindi au Kilolo au Makambako,
Nenda Rungwe, au Chunya, au Kyela utakubaliana nami kuwa mikoa hii watu wamepiga hatua.
(Picha ni Makete na Njombe )
IMG_20200603_124152.jpg
IMG_20200603_124136.jpg
IMG_20200603_165642.jpg
IMG_20200603_165650.jpg
IMG_20200603_165844.jpg
 
Wewe hili povu kawatolee National Bureau of Statistics,sio mimi nilisema Kagera ni Kati ya mikoa maskini Sana hapa Tzn yaani mko top 5 ya maskini .

Kumbuka mjumbe hauwawi.Ni uzwazwa kukana credible sources huku ukitaka kutuaminisha feelings zako,hiyo haipo.

By the way wewe ni nani hadi ushindwe kutoa heshima kwa wachapa Kazi wa Mkoa wa Njombe ? Tunajulikana Tzn nzima kwamba nyuma ya Wachaga kuna Wakinga sijui wewe nshomile unataka kusemaje.

Tumejenga miji zaidi ya 10 Tzn hii,imagine hadi Mwenyekiti wa wachimbaji madini wadogo Tzn hii ni mwamba kutoka Njombe lakini kwetu hatuchombi dhahabu.

Unatujua au unasimuliwa mkuu.Nyie nshomile endeeni kuajiriwa na kujisifia kwa makaratasi tuu.
Wewe acha wehu, sisi watu wa Nyanda za juu Kusini hatuko nyuma ya yeyote, sisi ni watu tunaochapa kazi, tunaojituma, shule tumesoma, ajira tunazo ila ujasirimali ni kama utamaduni. Tumewekeza kwenye misitu kwa ajili ya vizazi vyetu,
Nakubaliana na wewe kwenye uchapa kazi ila hatupo nyuma ya yoyote. Jisemee mwenyewe. That cowardice is not part of our life na hatufanyi mambo kushindana na mtu, tunafanya mambo kuboresha maisha yetu na vizazi nyetu.
Grow up.
 
Back
Top Bottom