Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
- Thread starter
- #41
Halafu wewe Young Master una mambo kweli, hizo namba ndefu hadi nashindwa kusoma napata wapi mimi hayo mafao?
Mbona rahisi sana...nenda kavunje benki.
Halafu wewe Young Master una mambo kweli, hizo namba ndefu hadi nashindwa kusoma napata wapi mimi hayo mafao?
hivi kana nini na nini vyenye burudani.....I mean ukiendesha unapata nini zaidi ya mimi ninayeendesha vitz....kwa mfano tu.....
Mkuu Young Master nimependa signature yako, imekaa kiujasiriamali zaidi, si wote wanaweza kugundua hilo. Adios Amigo...
raha yake ni kwamba linabugia mafuta mengi zaidi tofauti hivi vya akina kajamba nani!!!???hivi kana nini na nini vyenye burudani.....I mean ukiendesha unapata nini zaidi ya mimi ninayeendesha vitz....kwa mfano tu.....
Mkuu hebu weka aise Young Master
Standard Engine | 5.0L 500 hp V10 |
Horsepower | 500 @ 7800 RPM |
Torque (lb-ft) | 369 @ 4500 RPM |
Haya Magari kwa nchi masikini ni shida tu. Hebu ona Mhindi na Bugatti Veyron yake akihangaika kutambaa huko India.
Nahisi harufu ya Kaka Jambazi. Njoo huku unaitwa..Mbona rahisi sana...nenda kavunje benki.
raha yake ni kwamba linabugia mafuta mengi zaidi tofauti hivi vya akina kajamba nani!!!???
Mbona rahisi sana...nenda kavunje benki.
It is against my religion mkuu!
dah hapo sikuwezi mkuu Young Master mi wacha niendelee na ki-IST changu bana
Hii ndio Lamborghini ya kwanza kuingia hapa bongo. Gari hii inamilikiwa na alikuwa makamu wa zamani wa Yanga Davis Mosha. Gari ya hii ina thamani ya zaidi ya shilingi bilioni moja na aliinunua kwa Yusuph Bakhresa.
Kama unaogopa utakufa na umasikini wako wakati wenzako wanjichotea neema.