Hii ndio Lamborghini ya kwanza kuingia bongo

Hii ndio Lamborghini ya kwanza kuingia bongo

wadau hata hao wanaolalamika kwamba kununua gari ya
thamani kubwa hivyo ni ulimbukeni wanatudanganya
hakuna mtu ambaye hapendi kumiliki kitu cha tofauti
na mwenzie kadiri ya uwezo wa kiuchumi
alionao, ww unaemiliki vitz pia kuna ndugu zako
wana shida zaidi yako je umewapa msaada
gani kwa hivyo tu vijisenti vyako ulivyowazidi navyo?
tutegemee pia ungekua bilionea usingetembelea vitz, unatudanganya
kwa Davis nayemjua mimi kitakachomuathiri kwenye hiyo
gari ni barabara zetu mbovu tu, na acheze nayo zaidi huko masaki kwake na ikizd sana kijitonyama ofisini, lakini kwa swala la mafuta yeye ni mmoja wa wauzaji wakuu shida hapo ya consumption ataipataje?
 
hivi kana nini na nini vyenye burudani.....I mean ukiendesha unapata nini zaidi ya mimi ninayeendesha vitz....kwa mfano tu.....
preta waltwambia wahenga fahari mama wa ujinga na binaadamu ndivyo tulivyo
 
Mh Gallardo sku hizi BILLIONI? hahahaa, zimejaa tele autotrader kwa paundi elfu70 CIF Dar, ina maana ushuru ni millioni mia nane? watu kwa kujiongezea ujiko, kwani imekuwa BUGATI?
 
DSC02066.JPG DSC02061.JPG
Mimi nimo humu KABLI GADO!!Sawa kwa sawa!kasoro rangi!loz!
 
Nilichokigundua hapa wachangiaji wengi wanazungumzia gari kutokana na financial position zao na upeo wao mdogo kuhusu magari,ubora wa gari ni pamoja na engine perfomance + driving experience,na tatizo la wabongo wengi wanakimbilia kununua magari yenye perfomance ndogo na wakifikiri magagri yote yanafanana,kama huyo jamaa mwenye hiyo Lamborghini ungekuwa mna fahamiana nae ningekushauri umuombe akuazime hiyo gari u-drive kwa angalau 10kms then ungejua kuwa hizo gari zenu mmnazoendesha si lolote si chohote,gari kuuzwa kwa zaidi ya sh.bilioni moja kama alivosema Young Master ni lazima iwe ina something very different to other cars,just imagine mwingine ana-compare na Vitz,anyways poleni najua ni ufahamu mdogo wa magari ndio unawafanya mtoe hizo comments.

Truuuuuuueeeee...ni sawa na kufananisha mtu anayekaa kule tandale kwenye nyumba ya mbavu za mbwa(samahani kwa wanaokaa huko nimetoa mfano tu,unaoendana na ukweli) na mtu anayekaa kwenye bangaloo kule mbezi beach,wote wapo kwenye nyumba hizo kutokana na financial posstion zao,na mwenye kibanda sio kwamba hataki kuwa na mjumba mkubwa,sema tatizo ni pesoooo,hapo ndo inafika hatua ya yeye kusema akilini mwake ilimladi nina sehemu ya kujiegesha tu...jamaa anaishi maisha ambayo kwa wengine ni ndoto,sio kujidai ila ni uwezo wake tu,me sijaridhika na ka kivits cha mbavu za mbwa,i want to drive gari sio mfano wa gari..kama we umeridhika shauri yako.utaishia kuita watu majina ti ooh mala feemason,mala fisadi,am out...


Never give up in life....
 
Back
Top Bottom