Hii ndio Lamborghini ya kwanza kuingia bongo

Hii ndio Lamborghini ya kwanza kuingia bongo

Mh kumbe mimi nilidhani ni bei kama ya duet!
Lkn haina mvuto sana imekaa kama vigari vya kuchezea watoto.lol!
 
Mh kumbe mimi nilidhani ni bei kama ya duet!
Lkn haina mvuto sana imekaa kama vigari vya kuchezea watoto.lol!

Basi nunua bugatti veyron au Lamborghini aventedor.
 
Hivi gari kama hii sisi wenye kimo kama cha Hashim Thabeet si mateso tu. Hicho kinamfaa huyo mmiliki wake na wale wenzetu kutoka misitu ya Kongo.
 
Hii ndio Lamborghini ya kwanza kuingia hapa bongo. Gari hii inamilikiwa na alikuwa makamu wa zamani wa Yanga Davis Mosha. Gari ya hii ina thamani ya zaidi ya shilingi bilioni moja na aliinunua kwa Yusuph Bakhresa.

481172_144091479092772_630914720_n.jpg


Ukitaka kujua maajabu ya Bongo nenda TRA ukaulizie huyu Bwana Kodi amelipa kiasi gani mpaka sasa unaweza kukuta hata 2m haifiki pamoja na kumiliki gari kama hiyo,wakati mfanya kazi anayepata chochote zaidi ya 170,000 hukatwa 14% kama kodi.
 
Ukitaka kujua maajabu ya Bongo nenda TRA ukaulizie huyu Bwana Kodi amelipa kiasi gani mpaka sasa unaweza kukuta hata 2m haifiki pamoja na kumiliki gari kama hiyo,wakati mfanya kazi anayepata chochote zaidi ya 170,000 hukatwa 14% kama kodi.

Ndio serikali yetu hii mkuu...full uchakachuaji kila kona.
 
Hivi gari kama hii sisi wenye kimo kama cha Hashim Thabeet si mateso tu. Hicho kinamfaa huyo mmiliki wake na wale wenzetu kutoka misitu ya Kongo.
ndo mana mkaletewa RANGE ROVER.
 
Mkuu Young Master nimependa signature yako, imekaa kiujasiriamali zaidi, si wote wanaweza kugundua hilo. Adios Amigo...
 
Back
Top Bottom