Hii ndio Lamborghini ya kwanza kuingia bongo

Hii ndio Lamborghini ya kwanza kuingia bongo

IMG_8035+copy.jpg


Hiyo gari ni 2 passengers only. Hiyo sehemu ya nyuma yote ni Engine. Nadhani ni Rolls Royce Gasoline turbine. Hosepower yake ni balaa.
 
IMG_8035+copy.jpg


Hiyo gari ni 2 passengers only. Hiyo sehemu ya nyuma yote ni Engine. Nadhani ni Rolls Royce Gasoline turbine. Hosepower yake ni balaa.

Waambie hao mkuu maana wabongo hawaelewi.
 
hivi akiendesha hii kitu hatakufa kwa ajali? au hafi kabisa?
why asiwekeze kijijini kwake wananchi wa pale wakapata ajira?
usije shangaa babake mdogo na ndugu zake wanaishi maisha ya kimaskini yeye anadunda na gari ya Billion
watanzania bwana,wekezeni sio kuwaza kuishi maisha ya kifahari namna hii...
wacha niinjoy na tren letu la mwakyembe raha mustarehe,kivitz hata hela ya mafuta sina.
 
Preta sijui kama kuna la ziada zaidi ya kuwa una gari ya kifahari barabara za bongo matope na mashimo kama mahandaki

acheni wivu Lamborghin in Lamborghin na Virtz ni virtz ingekuwa kama unavyofikiria wewe gari zote zingeuzwa bei sawa, Pita na virtz chako uone kama watu hata watashtuka, no one u dont exist, lakini lambo ikipita kila mtu anataka kupiga picha mwenye kisimu cha torch haya.....That is what makes the difference..... it does not matter anapita barabara ya tope ...... Nani asiyependa attention Bwana...
 
Hii ndio Lamborghini ya kwanza kuingia hapa bongo. Gari hii inamilikiwa na alikuwa makamu wa zamani wa Yanga Davis Mosha. Gari ya hii ina thamani ya zaidi ya shilingi bilioni moja na aliinunua kwa Yusuph Bakhresa.

481172_144091479092772_630914720_n.jpg

hiyo sio ya kwanza kaka coz ipo nyingine ni nyeusi no zake ni T537 BEF,nimeshindwa kutundika picha yake coz natumia cm,ila ni kali hatari
 
maneno ya mkosajiii,,ya mkosajii..naimba tu
well ukiendesha lambo badala ya vits unapata much comfortability, prestige ,space, bigger ego, respect upon other fancargos like vitz etc:rockon:
 
Hii ndio Lamborghini ya kwanza kuingia hapa bongo. Gari hii inamilikiwa na alikuwa makamu wa zamani wa Yanga Davis Mosha. Gari ya hii ina thamani ya zaidi ya shilingi bilioni moja na aliinunua kwa Yusuph Bakhresa.

481172_144091479092772_630914720_n.jpg



Ni vizuri lakini kwangu naona ni ujinga kumiliki gari kama hili hapa Bongo kwa sababu zifuatazo:
1. Hakuna barabara nzuri (hili gari inabidi liendeshwe sehemu kama Ulaya kwenye barabara safi)
2. Hili ni gari la speed (Utakimbiza wapi hapa Bongo na foleni yote hii pamoja na maandaki kibao barabarani)
3. Hakuna kanuni za barabarani hapa Bongo hivyo ni rahisi kukanyangwa na kutupwa mtaroni na madaladala
4. Inakula sana petroli na kwa foleni za Bongo ni sawa na kumwaga pesa shimoni
 
Ni vizuri lakini kwangu naona ni ujinga kumiliki gari kama hili hapa Bongo kwa sababu zifuatazo:
1. Hakuna barabara nzuri (hili gari inabidi liendeshwe sehemu kama Ulaya kwenye barabara safi)
2. Hili ni gari la speed (Utakimbiza wapi hapa Bongo na foleni yote hii pamoja na maandaki kibao barabarani)
3. Hakuna kanuni za barabarani hapa Bongo hivyo ni rahisi kukanyangwa na kutupwa mtaroni na madaladala
4. Inakula sana petroli na kwa foleni za Bongo ni sawa na kumwaga pesa shimoni

Hapa umesema kweli, bado matuta yaliyojaa kila kona, hadi mitaani yapo, me hapa altezza linanitoa jasho, kwenye matuta natamani nilie, naenda kulinyanyua bila kupenda, sembuse hili hata kwenye kijishimo kupita mbinde
 
..wanunuzi wa haya madudu wanataka kuonyesha tofauti ya mafedha tu hamna ziada..

Kuna SUV nzuri za kutumia kwenye barabara zetu mbovu, lakini sio kuwa na hiyo gari kwenye picha. Ni sawa na kuvaa suti ukiwa unaenda kuogelea! Kwa mtu wa namna hiyo, Porsche Cayenne ingemfaa sana tu kwa sababu iko juu, haiwezi kumsumbua kwenye matuta.
 
Ndugu model hyo ya lambourghini haifiki bilioni moja hata ukiinunua kwa milioni 300..bhana..maana ni ya 2004 kushuka chini hiyo
 
Kuna SUV nzuri za kutumia kwenye barabara zetu mbovu, lakini sio kuwa na hiyo gari kwenye picha. Ni sawa na kuvaa suti ukiwa unaenda kuogelea! Kwa mtu wa namna hiyo, Porsche Cayenne ingemfaa sana tu kwa sababu iko juu, haiwezi kumsumbua kwenye matuta.
..mbaya zaidi huku bongo tunajua hammer,vx,benz na vigari vyetu tunavyopigana pasi na daladala kila siku, bilioni moja niitupe kwenye gari !! wakati ka vx keusi tu trafiki wanakaogopa ??
 
Back
Top Bottom